Paul Makonda ateuliwa kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi

Paul Makonda ateuliwa kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi

.
Screenshot_20231022-153235~2.jpg
 
Hiyo ndio kanuni ya ulimwenguni hasa Afrika.
Ukipata jambo jema wa kwanza kuja kukupongeza ndio maadui wako.
Ukipatwa na msiba wa kwanza kuja kulia au kukufariji ndio adui wako no. 1
asante kwa hii kanuni, itanisaidia
 
Marekani inamhesabu mtu huyu kama muuaji aliyenyimwa haki ya viza ya USA kwa sababu ya matendo yake ya kudhulumu haki ya uhai wa wengine.
Alishiriki katika mipango ya kumuua Lissu, mission ikafeli kwa nguvu za makusudi mazima ya Mungu.
Sasa aliyekuwa makamu wa rais wa wakati ule ndio rais na ni dhahiri alifahamu kuhusu lile shambulizi.
Ameamua kuchukua upande wa siasa za mabavu kwa kimrudisha makonda kwenye uongozi.
Safari hii ni farao na jeshi lake wameamua kushuka pakavu baharini kuwafuatilia wana wa Israel.
Kauli ya machinjio ya baharini ndiicho kitu kitakachoipata ccm kwa sasa.
Wananchi hawapo tena gizani na hakuna raia anaekubali kufiwa na ndugu yake kwa sasa kisa eti makonda amfurahishe aliyemtuma.
 
View attachment 2789085

Ndugu Paul Makonda ameteuliwa na CCM kuwa Katibu Mwenezi.

===

Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) iliyokutana leo tarehe 22 Oktoba, 2023 mjini Dodoma, katika kikao chake maalum, chini ya Mwenyekiti wa CCM, Ndg. Dokta Samia Suluhu Hassan, pamoja na masala mengine, imeridhia kwa kauli moja na kuielekeza Serikali kuendelea na hatua ya utiaji saini mikataba ya uendelezaji na uwekezaji wa bandari.

Aidha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, imefanya mabadiliko madogo ya Sekreterieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, kwa kumteua Ndugu Paul Makonda kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi, akichukua nafasi ya Ndugu Sophia Edward Mjema ambaye ameteuliwa kuwa Mshauri wa Rais Masala ya Wanawake, Watoto na Makundi Maalum.

Halmashauri Kuu ya CM Taifa pia imemteua Ndugu Rabia Abdallah Hamid kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa (SUKI), akichukua nafasi ya Ndugu Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk ambaye ni Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Uhusiano wa Afrika Mashariki.

Aidha katika kikao hicho, Halmashauri Kuu ya CCM Taifa imezipongeza Serikali zake zote mbili, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, chini ya Rais Dokta Samia Suluhu Hassan na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, chini ya Rais Dokta Hussen Ali Mwinyi, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, kwa kazi kubwa na nzuri ya kuendelea kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya Mwaka 2020 - 2025.

===

Pia soma: Paul Makonda kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM!
Acha ahadi ya Bwana itimie , ccm inapita mlemle, kweli Mungu wangu Mwaminifu sana, twende tu
 
Hahaa! Duh! Watu wana mikakati, DPWorld imeunganishiwa juu kwa juu na Makonda. Political strategies, safi sana.
Ila tu huenda alielewa yasiyopendeza ya enzi zile,hivyo naamini atakuwa mtu mpya wa enzi mpya na kwa namna na mikakati mipya.
 
Marekani inamhesabu mtu huyu kama muuaji aliyenyimwa haki ya viza ya USA kwa sababu ya matendo yake ya kudhulumu haki ya uhai wa wengine.
Alishiriki katika mipango ya kumuua Lissu, mission ikafeli kwa nguvu za makusudi mazima ya Mungu.
Sasa aliyekuwa makamu wa rais wa wakati ule ndio rais na ni dhahiri alifahamu kuhusu lile shambulizi.
Ameamua kuchukua upande wa siasa za mabavu kwa kimrudisha makonda kwenye uongozi.
Safari hii ni farao na jeshi lake wameamua kushuka pakavu baharini kuwafuatilia wana wa Israel.
Kauli ya machinjio ya baharini ndiicho kitu kitakachoipata ccm kwa sasa.
Wananchi hawapo tena gizani na hakuna raia anaekubali kufiwa na ndugu yake kwa sasa kisa eti makonda amfurahishe aliyemtuma.
Na bado utaongea yote na huna anayekusikiliza!
Marekani ndo nini? Kwanza unaushahidi gani bado wanalifanyia kazi hilo?.
Leo ni siku yenu chungu sana Kama shubiri!😂😂😂
 
View attachment 2789085

Ndugu Paul Makonda ameteuliwa na CCM kuwa Katibu Mwenezi.

===

Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) iliyokutana leo tarehe 22 Oktoba, 2023 mjini Dodoma, katika kikao chake maalum, chini ya Mwenyekiti wa CCM, Ndg. Dokta Samia Suluhu Hassan, pamoja na masala mengine, imeridhia kwa kauli moja na kuielekeza Serikali kuendelea na hatua ya utiaji saini mikataba ya uendelezaji na uwekezaji wa bandari.

Aidha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, imefanya mabadiliko madogo ya Sekreterieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, kwa kumteua Ndugu Paul Makonda kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi, akichukua nafasi ya Ndugu Sophia Edward Mjema ambaye ameteuliwa kuwa Mshauri wa Rais Masala ya Wanawake, Watoto na Makundi Maalum.

Halmashauri Kuu ya CM Taifa pia imemteua Ndugu Rabia Abdallah Hamid kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa (SUKI), akichukua nafasi ya Ndugu Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk ambaye ni Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Uhusiano wa Afrika Mashariki.

Aidha katika kikao hicho, Halmashauri Kuu ya CCM Taifa imezipongeza Serikali zake zote mbili, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, chini ya Rais Dokta Samia Suluhu Hassan na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, chini ya Rais Dokta Hussen Ali Mwinyi, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, kwa kazi kubwa na nzuri ya kuendelea kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya Mwaka 2020 - 2025.

===

Pia soma: Paul Makonda kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM!
Du!
 
Very disappointed with the appointment,I choose to reserve my comments,BUT LET THEM CCM GO AND LISTEN TO THE SONG OF THE LATE LUCKY DUBE,..,''YOU GONNA REAP,JUST WHAT YOU SOW''...
 
Back
Top Bottom