Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 9,836
- 7,231
Nimesema inawezekana, lakini hakuna la zaidi ya lililo kawaida, ambalo halikuwahi kutokea kwa maraisi waliopita.Kwahiyo unasema hatukanwi sawa sawa?
Aanasaga Gagakwani alisema anasaga nn
Mleta Uzi siyo mfuatiliaji wa mambo au hana chanzo sahihi cha kupata habari, Ina maana yeye hajaona Rais alivyotukanwa bali kaona kukosolewa tu...Nafikiri hiki kiswahili kikifika kwako tusi hugeuka kukoselewa hivi mtu anapoambiwa msagaji ndio kukosolewa kwa lugha yenu!
Hili suala anayelikoleza chumvi yule nyamitako,mbona Rais mwenyewe anayasoma na kupuuza tu lakini huyu mjinga aliyejaaliwa kuwekwa makalio ya shangazi yake ndiye analeta shidaHili suala la viongozi kujipendekeza kwa Raisi Samia sasa limeanza kupita kiasi, na lisipodhibitiwa litaleta mtafaruku nchini.
Mfano ni hili suala la Raisi Samia kutukanwa. Siamini kabisa kwamba Raisi Samia anatukanwa, kwamba maneno ya kumkosoa na kumpa majina kama Mama Tozo sijui ni jambo jipya kwa raisi wa Tanzania ambalo halikuwahi kutokea kwa maraisi wengine. Kina Nyerere waliitwa Haambiliki; Mwinyi Koti; Mkapa Fisadi; Kikwete Dhaifu; Magufuli Dikteta Uchwara. Hakuna alieimba eti raisi anatukanwa. Huenda wapo watu wachache wanatukana kama ilivyokuwa kwa maraisi wengine, lakini kumbuka kuna viongozi nchini wametukanwa matusi mabaya na wakakaa kimya. Na baadhi ya waliotukana ni haohao wanaojifanya kuumizwa kuwa wewe unatukanwa.
Ninachoona kikitokea hapa ni viongozi kama Makonda na wengine kama yeye kutafuta kila namna ya kujipendekeza kwa Raisi Samia na kujifanya wana uchungu sana na yale wanayosema Watanzania dhidi ya Raisi Samia, na kuyakuza sana kuwa ni matusi, kama vile Raisi Samia ndie raisi pekee nchini kupitia vitu kama hivyo. Na pia matusi hayawi matusi au kuuma zaidi pale tu unapokuwa raisi.
Ninamtahadharisha Raisi Samia asiache watu hawa kuanza kuingia kichwani kwake, kwa kukubali huruma zao fake na kuanza kuwaona kama watetezi wake waaminifu. Asichoelewa Raisi Samia ni kwamba hawa watu wameshaiona saikolojia yake, kwamba anapenda kusifiwa kama ilivyo silka ya wanawake (maana sijawahi kumsikia akikemea kusifiwa kwa kufanya kazi yake) na sasa, zaidi ya kumsifia, wameamua kumwonyesha kuwa wanaumizwa sana na yanayosemwa dhidi yake.
Hatari sana!Mleta Uzi siyo mfuatiliaji wa mambo au hana chanzo sahihi cha kupata habari, Ina maana yeye hajaona Rais alivyotukanwa bali kaona kukosolewa tu...
Hahaha hata mimi matusi mapya hayaniumizi kichwa mfano shati lako ama android ykHili suala la viongozi kujipendekeza kwa Raisi Samia sasa limeanza kupita kiasi, na lisipodhibitiwa litaleta mtafaruku nchini.
Mfano ni hili suala la Raisi Samia kutukanwa. Siamini kabisa kwamba Raisi Samia anatukanwa, kwamba maneno ya kumkosoa na kumpa majina kama Mama Tozo sijui ni jambo jipya kwa raisi wa Tanzania ambalo halikuwahi kutokea kwa maraisi wengine. Kina Nyerere waliitwa Haambiliki; Mwinyi Koti; Mkapa Fisadi; Kikwete Dhaifu; Magufuli Dikteta Uchwara. Hakuna alieimba eti raisi anatukanwa. Huenda wapo watu wachache wanatukana kama ilivyokuwa kwa maraisi wengine, lakini kumbuka kuna viongozi nchini wametukanwa matusi mabaya na wakakaa kimya. Na baadhi ya waliotukana ni haohao wanaojifanya kuumizwa kuwa wewe unatukanwa.
Ninachoona kikitokea hapa ni viongozi kama Makonda na wengine kama yeye kutafuta kila namna ya kujipendekeza kwa Raisi Samia na kujifanya wana uchungu sana na yale wanayosema Watanzania dhidi ya Raisi Samia, na kuyakuza sana kuwa ni matusi, kama vile Raisi Samia ndie raisi pekee nchini kupitia vitu kama hivyo. Na pia matusi hayawi matusi au kuuma zaidi pale tu unapokuwa raisi.
Ninamtahadharisha Raisi Samia asiache watu hawa kuanza kuingia kichwani kwake, kwa kukubali huruma zao fake na kuanza kuwaona kama watetezi wake waaminifu. Asichoelewa Raisi Samia ni kwamba hawa watu wameshaiona saikolojia yake, kwamba anapenda kusifiwa kama ilivyo silka ya wanawake (maana sijawahi kumsikia akikemea kusifiwa kwa kufanya kazi yake) na sasa, zaidi ya kumsifia, wameamua kumwonyesha kuwa wanaumizwa sana na yanayosemwa dhidi yake.
Mkuu naona hauko peke yako mpo wawili jitahidi ukishabaki peke yako haya njoo tujadili!Kuitwa msagaji sio tusi, ni tuhuma ikiwa bado hazijathibitishwa. Sasa suala ni kwamba ni tuhuma za kweli? Kwa nini useme umetukana kuliko kusema umetuhumu basi?
Kwahiyo haya matusi yamezoeleka watukane mapya?Nimesema inawezekana, lakini hakuna la zaidi ya lililo kawaida, ambalo halikuwahi kutokea kwa maraisi waliopita.
Hakuna tusi jipya dunianiKwahiyo haya matusi yamezoeleka watukane mapya?
Unafuatilia matusi, na mie unataka nifanye hivyo?Mleta Uzi siyo mfuatiliaji wa mambo au hana chanzo sahihi cha kupata habari, Ina maana yeye hajaona Rais alivyotukanwa bali kaona kukosolewa tu...
Basi acheni kuweweseka.Hakuna tusi jipya duniani
Ndio theme ya ya thread hii - oyaaa, acheni kuweweseka, hakuna jipya hapa kwa sababu tu raisi ni Samia!Basi acheni kuweweseka.
Kwanza niulize kwa nini anatukanwa, na pili nikuulize wewe umeenda kuyatafutia wapi matusi anayotukanwa, na tatu nikuulize matusi ya Magufuli au Lowasa uliyaona?Tuache masihara, Mama anatukanwa matisi mazito..
Jana ilikuwa jumatatu leo jumanne. Yule bwana wa kuombewa ombewa hajamaliza tu awataje wanaomtukana raisi???Nafikiri hiki kiswahili kikifika kwako tusi hugeuka kukoselewa hivi mtu anapoambiwa msagaji ndio kukosolewa kwa lugha yenu!
Anamtukana ni mange sasa kila mmoja anamjua umekalia udaku tu!Jana ilikuwa jumatatu leo jumanne. Yule bwana wa kuombewa ombewa hajamaliza tu awataje wanaomtukana raisi???