Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri

Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri

Kutukanwa ni jambo la kawaida kwa viongozi, Mama hatukanwi ila anapashwa ukweli kwani kuna mengine anayoyafanya hayana vichwa wala miguu. Mama anachostahili kukifanya ni kukaa na kutafakari hii support anayopata toka kwa viongozi wa CCM na waandishi wa habari ni support ya ukweli au ni unafiki tu. Mimi nasema ni unafiki kwani wengi wa hawa watu wanataka ulaji tu na ndiyo maana wanampaka Mama mafuta kwa kumpa sifa za kijinga huku wakijuwa kuwa wanamchezea tu. Mama kuwa makini na hizi sifa usizostahili.
 
Hili suala la viongozi kujipendekeza kwa Raisi Samia sasa limeanza kupita kiasi, na lisipodhibitiwa litaleta mtafaruku nchini.

Mfano ni hili suala la Raisi Samia kutukanwa. Siamini kabisa kwamba Raisi Samia anatukanwa, kwamba maneno ya kumkosoa na kumpa majina kama Mama Tozo sijui ni jambo jipya kwa raisi wa Tanzania ambalo halikuwahi kutokea kwa maraisi wengine. Kina Nyerere waliitwa Haambiliki; Mwinyi Koti; Mkapa Fisadi; Kikwete Dhaifu; Magufuli Dikteta Uchwara. Hakuna alieimba eti raisi anatukanwa. Huenda wapo watu wachache wanatukana kama ilivyokuwa kwa maraisi wengine, lakini kumbuka kuna viongozi nchini wametukanwa matusi mabaya na wakakaa kimya. Na baadhi ya waliotukana ni haohao wanaojifanya kuumizwa kuwa wewe unatukanwa.

Ninachoona kikitokea hapa ni viongozi kama Makonda na wengine kama yeye kutafuta kila namna ya kujipendekeza kwa Raisi Samia na kujifanya wana uchungu sana na yale wanayosema Watanzania dhidi ya Raisi Samia, na kuyakuza sana kuwa ni matusi, kama vile Raisi Samia ndie raisi pekee nchini kupitia vitu kama hivyo. Na pia matusi hayawi matusi au kuuma zaidi pale tu unapokuwa raisi.

Ninamtahadharisha Raisi Samia asiache watu hawa kuanza kuingia kichwani kwake, kwa kukubali huruma zao fake na kuanza kuwaona kama watetezi wake waaminifu. Asichoelewa Raisi Samia ni kwamba hawa watu wameshaiona saikolojia yake, kwamba anapenda kusifiwa kama ilivyo silka ya wanawake (maana sijawahi kumsikia akikemea kusifiwa kwa kufanya kazi yake) na sasa, zaidi ya kumsifia, wameamua kumwonyesha kuwa wanaumizwa sana na yanayosemwa dhidi yake.
Hili suala anayelikoleza chumvi yule nyamitako,mbona Rais mwenyewe anayasoma na kupuuza tu lakini huyu mjinga aliyejaaliwa kuwekwa makalio ya shangazi yake ndiye analeta shida
 
Kituko zaidi ni kuwa wale waliokuwa wanamtukana na kufurahia akitukanwa Magufuli na kumuita dikteta leo ndio wanaolalamika Samia akikosolewa.

Mfano Mange kimambi alimtukana sana Magufuli watu wakafurahia na kumpachika jina la dada wa taifa. Magu akakausha tu.
Leo Samia kakutana na mziki wa dada yao wa taifa Fasta account imefungwa.
Tujifunze uvumilivu
 
Kama unamaanisha kwamba Rais anachukulia hayo matusi kama unavyosema wewe, umemchukulia poa Kiongozi wako..
Kama ambavyo ameweza na kumudu kuwa Rais na kuongoza kundi hawez kuwa na mindset dumavu hivyo. Wewe ndo unaeteseka!
 
Hili suala la viongozi kujipendekeza kwa Raisi Samia sasa limeanza kupita kiasi, na lisipodhibitiwa litaleta mtafaruku nchini.

Mfano ni hili suala la Raisi Samia kutukanwa. Siamini kabisa kwamba Raisi Samia anatukanwa, kwamba maneno ya kumkosoa na kumpa majina kama Mama Tozo sijui ni jambo jipya kwa raisi wa Tanzania ambalo halikuwahi kutokea kwa maraisi wengine. Kina Nyerere waliitwa Haambiliki; Mwinyi Koti; Mkapa Fisadi; Kikwete Dhaifu; Magufuli Dikteta Uchwara. Hakuna alieimba eti raisi anatukanwa. Huenda wapo watu wachache wanatukana kama ilivyokuwa kwa maraisi wengine, lakini kumbuka kuna viongozi nchini wametukanwa matusi mabaya na wakakaa kimya. Na baadhi ya waliotukana ni haohao wanaojifanya kuumizwa kuwa wewe unatukanwa.

Ninachoona kikitokea hapa ni viongozi kama Makonda na wengine kama yeye kutafuta kila namna ya kujipendekeza kwa Raisi Samia na kujifanya wana uchungu sana na yale wanayosema Watanzania dhidi ya Raisi Samia, na kuyakuza sana kuwa ni matusi, kama vile Raisi Samia ndie raisi pekee nchini kupitia vitu kama hivyo. Na pia matusi hayawi matusi au kuuma zaidi pale tu unapokuwa raisi.

Ninamtahadharisha Raisi Samia asiache watu hawa kuanza kuingia kichwani kwake, kwa kukubali huruma zao fake na kuanza kuwaona kama watetezi wake waaminifu. Asichoelewa Raisi Samia ni kwamba hawa watu wameshaiona saikolojia yake, kwamba anapenda kusifiwa kama ilivyo silka ya wanawake (maana sijawahi kumsikia akikemea kusifiwa kwa kufanya kazi yake) na sasa, zaidi ya kumsifia, wameamua kumwonyesha kuwa wanaumizwa sana na yanayosemwa dhidi yake.
Hahaha hata mimi matusi mapya hayaniumizi kichwa mfano shati lako ama android yk
 
Kuitwa msagaji sio tusi, ni tuhuma ikiwa bado hazijathibitishwa. Sasa suala ni kwamba ni tuhuma za kweli? Kwa nini useme umetukana kuliko kusema umetuhumu basi?
Mkuu naona hauko peke yako mpo wawili jitahidi ukishabaki peke yako haya njoo tujadili!
 
Back
Top Bottom