Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Huyu jamaa anakurupuka sana aisee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama Hana baraka za 2025,wale jamaa watamleta mwingine watasema umezeeka akishupaza shingo TU!!unajua kabisa huwa wanaanza na safisha uwanja kwanza ! sequence and series za kiaina kabla ya tukio kuu!!naam uko sahihi mkuu, mbinu zile zile tuone Kama wata dumu!!
sema katika wale wawili walio aga, mmoja so tayari!!.Kama Hana baraka za 2025,wale jamaa watamleta mwingine watasema umezeeka akishupaza shingo TU!!unajua kabisa huwa wanaanza na safisha uwanja kwanza ! sequence and series za kiaina kabla ya tukio kuu!!
Nyie mnaompa kichwa ndo mnamuharibu mjue 🤣Paul anatisha kama Hamas dadeki 🐼
Awataje kina nani na yeye kama nani na hayo yanahusiana vipi na shughuli ya leo??? Kuna kitu anakitafuta na atakipata kivingine. Huyu ni empty set.Watajwe wote 😄😄😄,sijaona kosa hapo
Acha watajwe
Sasa Mbona unanikasirikia mimi 😄😄''Acha watajwe'' kwani kuna mtu kamshikilia asiwataje? Mbona mnakuwa kama mazuzu?
Ndizo siasa anazoweza Makonda, siasa za kizandiki hakuna jingine.Akitoa salaam za mkoa kwenye kongamano la kumbukizi ya Edward Moringe Sokoine leo hii 11 April 2024, amesema kuna watu, wakiwemo mawaziri wanawatuma watu kumtukana Rais Samia mitandaoni.
Makonda kasema anawajua na wao wanamjua. Amewataka waache kufanya hivyo leo hii. Ameonya wasipoacha atawataja majina yao siku ya Jumatatu tarehe 14 April 2024.
Unaweza kubashiri ni mawaziri gani wanafanya hujuma hizi dhidi ya bosi wao? Au Makonda anatafuta kiki?
Maana hata jiwe alimdanganya kama hivi, ndiyo maana jiwe akawa karibu sana na Makonda. Jiwe alipokuja kugundua kuwa aliingizwa chaka akamtema.
Source:. Kumbukizi ya Edward Moringe Sokoine
Pia, soma=> Rais Samia akiashiriki Misa Maalumu ya miaka 40 ya kumbukizi ya Kifo cha Hayati Sokoine
Upo sahihi.Alikuwa Mwenezi alishindwa nini kuwataja..Makonda damu ya aliowatesa inamletea shida sana.
Kumbe Chadema wana mawaziri kwenye cabinet ya Samia !!!!hapo chadema sina hakika kama watakosekana
Apewe ulinzi Mtu huyuAkitoa salaam za mkoa kwenye kongamano la kumbukizi ya Edward Moringe Sokoine leo hii 11 April 2024, amesema kuna watu, wakiwemo mawaziri wanawatuma watu kumtukana Rais Samia mitandaoni.
Makonda kasema anawajua na wao wanamjua. Amewataka waache kufanya hivyo leo hii. Ameonya wasipoacha atawataja majina yao siku ya Jumatatu tarehe 14 April 2024.
Unaweza kubashiri ni mawaziri gani wanafanya hujuma hizi dhidi ya bosi wao? Au Makonda anatafuta kiki?
Maana hata jiwe alimdanganya kama hivi, ndiyo maana jiwe akawa karibu sana na Makonda. Jiwe alipokuja kugundua kuwa aliingizwa chaka akamtema.
Source:. Kumbukizi ya Edward Moringe Sokoine
Pia, soma=> Rais Samia akiashiriki Misa Maalumu ya miaka 40 ya kumbukizi ya Kifo cha Hayati Sokoine
hapo kwenye kaka zangu hawakosekani chademaKumbe Chadema wana mawaziri kwenye cabinet ya Samia !!!!
Yaani aibu tupu. RC anawapa onyo Mawaziri tena kwa vitisho!! Ndiyo maana tunasema CCM na Serikali yake imeishiwa maarifa.Hakuna waziri anafanya hicho kitu bali Makonda anatafuta namna ya kuwapaka shombo mawaziri ambao hana mahusiano nao mazuri kama; Nape Nnauye, Januari Makamba, Hussein Bashe, Riz 1 Kikwette.
Kupata uwaziri ndiyo ndoto ya wabunge wengi baada ya uchaguzi. Rais Samia amekupa Uwaziri, unaanzaje kulipa watu wamtukane mtu alikupa Uwaziri ambayo ni privilege adimu?
Yaani huyu Makonda anaweza kuwa na TAARIFA za ndani kuliko TISS wenye kazi yao?
Kama ambavyo akiwa Mwenezi wa CCM hakujua majukumu yake, huku nako kwenye u RC wa Arusha bado Makonda hajui kazi yake.
USHAURI KWA RAIS SAMIA:
Chonde chonde Rais Samia USIINGIE mtego huu wa Makonda. Huyu NI ZEROBRAIN atakuharibia uRais wako.
Haiba yako Rais Samia na ya Makonda haziendani. Wewe ni muungwana na mpenda haki na uhuru wa maoni. Huyu ananuka damu za watu aliowaua na anatamani na wewe umruhusu aanze kuteka na kuua.
Piga chini, muache na maisha yake maana hata Magufuli aliyemleta mwaka 2016 kama RC Dar alikuja akamchoka na akamtema mwaka 2020.
Ninavyofahamu ni ambition ya kila mbunge kuteuliwa Uwaziri,haingii akilini Waziri alipe watu kumtukana mtu aliyempa ulaji. Mawaziri wote ni machawa wa Rais hivyo haingii akilini wao walipe watu kumtukana Rais boss wao. Hapo Makonda amejichanganya kutaka kumlaghai Rais.hapo kwenye kaka zangu hawakosekani chadema
nawasiwasi huwenda walimtumia mange
Nilifikiri ni c/o dada wa Taifa🤣🤣🤣🤣🤣Kumekucha
c/o dada wa Tandika 🐼
Jamaa kaehuka masikini hata hajui kazi ya ukuu wa mkoa aliyopewa ni ipi.Akitoa salaam za mkoa kwenye kongamano la kumbukizi ya Edward Moringe Sokoine leo hii 11 April 2024, amesema kuna watu, wakiwemo mawaziri wanawatuma watu kumtukana Rais Samia mitandaoni.
Makonda kasema anawajua na wao wanamjua. Amewataka waache kufanya hivyo leo hii. Ameonya wasipoacha atawataja majina yao siku ya Jumatatu tarehe 14 April 2024.
Unaweza kubashiri ni mawaziri gani wanafanya hujuma hizi dhidi ya bosi wao? Au Makonda anatafuta kiki?
Maana hata jiwe alimdanganya kama hivi, ndiyo maana jiwe akawa karibu sana na Makonda. Jiwe alipokuja kugundua kuwa aliingizwa chaka akamtema.
Source:. Kumbukizi ya Edward Moringe Sokoine