Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri

Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri

IMG-20240409-WA0000.jpg
 
Akitoa salaam za mkoa kwenye kongamano la kumbukizi ya Edward Moringe Sokoine leo hii 11 April 2024, amesema kuna watu, wakiwemo mawaziri wanawatuma watu kumtukana Rais Samia mitandaoni.

Makonda kasema anawajua na wao wanamjua. Amewataka waache kufanya hivyo leo hii. Ameonya wasipoacha atawataja majina yao siku ya Jumatatu tarehe 14 April 2024.

Unaweza kubashiri ni mawaziri gani wanafanya hujuma hizi dhidi ya bosi wao? Au Makonda anatafuta kiki?

Maana hata jiwe alimdanganya kama hivi, ndiyo maana jiwe akawa karibu sana na Makonda. Jiwe alipokuja kugundua kuwa aliingizwa chaka akamtema.

Source:. Kumbukizi ya Edward Moringe Sokoine

Pia, soma=> Rais Samia akiashiriki Misa Maalumu ya miaka 40 ya kumbukizi ya Kifo cha Hayati Sokoine

Ndizo siasa anazoweza Makonda, siasa za kizandiki hakuna jingine.
 
Akitoa salaam za mkoa kwenye kongamano la kumbukizi ya Edward Moringe Sokoine leo hii 11 April 2024, amesema kuna watu, wakiwemo mawaziri wanawatuma watu kumtukana Rais Samia mitandaoni.

Makonda kasema anawajua na wao wanamjua. Amewataka waache kufanya hivyo leo hii. Ameonya wasipoacha atawataja majina yao siku ya Jumatatu tarehe 14 April 2024.

Unaweza kubashiri ni mawaziri gani wanafanya hujuma hizi dhidi ya bosi wao? Au Makonda anatafuta kiki?

Maana hata jiwe alimdanganya kama hivi, ndiyo maana jiwe akawa karibu sana na Makonda. Jiwe alipokuja kugundua kuwa aliingizwa chaka akamtema.

Source:. Kumbukizi ya Edward Moringe Sokoine

Pia, soma=> Rais Samia akiashiriki Misa Maalumu ya miaka 40 ya kumbukizi ya Kifo cha Hayati Sokoine

Apewe ulinzi Mtu huyu
 
Hakuna waziri anafanya hicho kitu bali Makonda anatafuta namna ya kuwapaka shombo mawaziri ambao hana mahusiano nao mazuri kama; Nape Nnauye, Januari Makamba, Hussein Bashe, Riz 1 Kikwette.

Kupata uwaziri ndiyo ndoto ya wabunge wengi baada ya uchaguzi. Rais Samia amekupa Uwaziri, unaanzaje kulipa watu wamtukane mtu alikupa Uwaziri ambayo ni privilege adimu?

Yaani huyu Makonda anaweza kuwa na TAARIFA za ndani kuliko TISS wenye kazi yao?

Kama ambavyo akiwa Mwenezi wa CCM hakujua majukumu yake, huku nako kwenye u RC wa Arusha bado Makonda hajui kazi yake.

USHAURI KWA RAIS SAMIA:
Chonde chonde Rais Samia USIINGIE mtego huu wa Makonda. Huyu NI ZEROBRAIN atakuharibia uRais wako.

Haiba yako Rais Samia na ya Makonda haziendani. Wewe ni muungwana na mpenda haki na uhuru wa maoni. Huyu ananuka damu za watu aliowaua na anatamani na wewe umruhusu aanze kuteka na kuua.

Piga chini, muache na maisha yake maana hata Magufuli aliyemleta mwaka 2016 kama RC Dar alikuja akamchoka na akamtema mwaka 2020.
Yaani aibu tupu. RC anawapa onyo Mawaziri tena kwa vitisho!! Ndiyo maana tunasema CCM na Serikali yake imeishiwa maarifa.

Hebu fikiria wakati Konda Boy anatoa upupu wake ule, Kuna Watendaji Wakuu wa Chama na Serikali walimshangilia.
 
hapo kwenye kaka zangu hawakosekani chadema

nawasiwasi huwenda walimtumia mange
Ninavyofahamu ni ambition ya kila mbunge kuteuliwa Uwaziri,haingii akilini Waziri alipe watu kumtukana mtu aliyempa ulaji. Mawaziri wote ni machawa wa Rais hivyo haingii akilini wao walipe watu kumtukana Rais boss wao. Hapo Makonda amejichanganya kutaka kumlaghai Rais.
 
Jamaa
Akitoa salaam za mkoa kwenye kongamano la kumbukizi ya Edward Moringe Sokoine leo hii 11 April 2024, amesema kuna watu, wakiwemo mawaziri wanawatuma watu kumtukana Rais Samia mitandaoni.

Makonda kasema anawajua na wao wanamjua. Amewataka waache kufanya hivyo leo hii. Ameonya wasipoacha atawataja majina yao siku ya Jumatatu tarehe 14 April 2024.

Unaweza kubashiri ni mawaziri gani wanafanya hujuma hizi dhidi ya bosi wao? Au Makonda anatafuta kiki?

Maana hata jiwe alimdanganya kama hivi, ndiyo maana jiwe akawa karibu sana na Makonda. Jiwe alipokuja kugundua kuwa aliingizwa chaka akamtema.

Source:. Kumbukizi ya Edward Moringe Sokoine

Jamaa kaehuka masikini hata hajui kazi ya ukuu wa mkoa aliyopewa ni ipi.
Maandiko matakatifu hayajawahi kukosea.
Ukimwaga damu ya mtu huwa inakulilia kutoka mavumbini ikidai kisasi kwa Muumba.
Damu ya kina Ben saa8 na za wengine zinamlilia kutoka mavumbini.
Magu alimtema ukuu wa mkoa baada ya kumshtukia ila haikusaidia maana alichelewa sana kumtema.
Kikombe kilikuwa kishajaa.
Mawaziri adui za makonda hasa wale ambao hawatetemishwi na mikwara mbuzi yake jiandaeni kutajwa kuwa nyie ndio mnamlipa mange kimambi kwa matusi aliyomtukana rais.
Mtu huyu Makonda hana haya ya uso ndiye aliyewataja kina Gwajima kuwa ni wauza unga na wengine wingi kwa uongo tu kutimiza lengo lake kujipendekeza kwa Magu.
Bahati mbaya Magu alipenda umbeya na alinaswa nao.
Mh rais Samia akiingia mtego wa ubuyu wa huyu mteule wake atajikuta akiingia kwenye tope la udongo wa mfinyanzi.
Huyu makonda haoni shida kujipendekeza kwa hata gharama ya kuua nafsi ya mwingine.
 
Back
Top Bottom