Nadhani anakijenga chama maana tulishakisahau kabisa baada ya Aziz Ki kunyimwa goli halali huko South , sote tulihamia huko PretoriaUle wazimu wake haujapona. Wewe mwache azidi kukivuruga chama sisi tumekaa pale👉👉
Kumbe sio kina CHADOMO kama wanavyosema wenzako ChoiceVariable Lucas Mwashambwa chiembe na FaizaFoxyMimi naona awalipue tu hata leo. Mtu unateuliwa kuwa waziri ila bado unampinga aliyekuteua ni zaidi ya ushetani.
Huyu Makonda mnamlaumu bure. Upeo wake wa kuona mambo ni mdogo sana na harekebishiki, hivyo wa kulaumiwa ni huyo aliyemweka pale.Kwenye kumbukumbu ya Sokoine Sokoine mwenyewe kusahaulika!🤣
Hatari sana
Killazza tuKumekucha
c/o dada wa Tandika 🐼
🤣🤣🤣🤣Kweli jamaa alikosa D mbili.
Makonda ni mjinga sana sana. Hana akili na ataishia sehemu mbaya sana.Makonda alitaka kurudi kwenye ukuu wa mkoa, akamwomva Hayati, lakini alimkatalia kwa sababu moja kubwa kwamba alikuwa anaongea uwongo kwa viongozi mbalimbali wa chama eti Hayati Rais Magufuli alikuwa amemtuma akagombee ubunge ili amteue kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani. Hayati Magufuli mpaka akalazimika kutamka hadhari mbele ya vyombo vya habari kuwa wajumbe wasidanganyike, hakuna mtu ambaye yeye Hayati Magufuli alikuwa amemtuma kwenda kugombea ubunge. Aliyasema hayo akimlenga Makonda.
Uwongo, Makonda hajaanza leo, ni hulka yake. Hakuna mtu mwadilifu kabisa wa nafsi anayeweza kufanya kazi na Makonda.
Hata Chalamila alisema kuna Mawaziri wanatafura hela huko nje kwa ajili ya Urais! Lisemwalo lipo japo uwasirishwaji wake ndo tatizo!Bashite, mamlaka ya uteuzi itengue uteuzi wake haraka sana, kwenye kiapo wanakiri na kuahidi kutotoa Siri zozote wanazozijua HADHARANI Kwa maslahi ya TAIFA,au labda Kwa idhini ya Rais,Sasa either ana ruhusa ya Rais katika KUTAMKA huo upuuzi wake au kama Hana basi hiyo nafasi haimstahiki kuendelea nayo.
well done RC, comrade Makonda 🐒Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema ikifika Aprili 15, 2024 atawataja kwa majina Watu wakiwemo Mawaziri wanaotoa fedha za kuwalipa Watu ili wamtukane Rais Samia mitandaoni kama hawataacha.
Akizungumza wakati wa Kumbukumbu ya aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania, Hayati Edward Sokoine, amesema "Kaka zangu mnaotuma na kulipa watu kumchokoza Mama yangu Samia mnanijua na mimi nawajua, wengine ni Mawaziri leo tarehe 12 iwe mwisho"
Aidha Makonda amemwomba Rais Samia kutoa Fedha za ujenzi wa Kilomita za 20 za Lami Jijini humo na kueleza kuwa Wananchi wamemtuma amuombe Mama yake na wanampima kama ni Mama yake kweli
=========
Akitoa salaam za mkoa kwenye kongamano la kumbukizi ya Edward Moringe Sokoine leo hii 11 April 2024, amesema kuna watu, wakiwemo mawaziri wanawatuma watu kumtukana Rais Samia mitandaoni.
Makonda kasema anawajua na wao wanamjua. Amewataka waache kufanya hivyo leo hii. Ameonya wasipoacha atawataja majina yao siku ya Jumatatu tarehe 14 April 2024.
Unaweza kubashiri ni mawaziri gani wanafanya hujuma hizi dhidi ya bosi wao? Au Makonda anatafuta kiki?
Maana hata jiwe alimdanganya kama hivi, ndiyo maana jiwe akawa karibu sana na Makonda. Jiwe alipokuja kugundua kuwa aliingizwa chaka akamtema.
View attachment 2961639
Source:. Kumbukizi ya Edward Moringe Sokoine
Pia, soma=> Rais Samia akiashiriki Misa Maalumu ya miaka 40 ya kumbukizi ya Kifo cha Hayati Sokoine
Makonda hafanyi hayo kwa bahati mbaya! Wewe kwa akili yako unaamini kabisa Makonda kayasema hayo kutoka kwenye akili yake japo mnamsema zero brain!Makonda ni mjinga sana sana. Hana akili na ataishia sehemu mbaya sana.
we itakua umelipwa na mtendaji wa Kijiji kwa mihemko hiyo 🐒Pumbavu zako Makonda! Kwani hufahamu mahali pa kutoa taarifa au na wewe unatafuta umaarufu wa mitandaoni!
Kutwa kucha kuchongea na kuwabamnikizia makosa wenzako!
KAZI IPO!!Kama anabisha kuna kwenye mtandao wa X kuna kundi ambalo linaongozwa wa Waziri fulani na kuwalipa watu wamtukane Rais lengo lao kubwa Mama achafuke ili asigombee 2025 ili team yao iingie!
Na hawezi kuwataha kamwe kwani wameishaacha matusi yao. Lakini kama anawafahamu tangu mwanzo kuwa walikuwa wakimtukana Rais kwanini aliacha kuwashughulikia mapema?Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema ikifika Aprili 15, 2024 atawataja kwa majina Watu wakiwemo Mawaziri wanaotoa fedha za kuwalipa Watu ili wamtukane Rais Samia mitandaoni kama hawataacha.
Akizungumza wakati wa Kumbukumbu ya aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania, Hayati Edward Sokoine, amesema "Kaka zangu mnaotuma na kulipa watu kumchokoza Mama yangu Samia mnanijua na mimi nawajua, wengine ni Mawaziri leo tarehe 12 iwe mwisho"
Aidha Makonda amemwomba Rais Samia kutoa Fedha za ujenzi wa Kilomita za 20 za Lami Jijini humo na kueleza kuwa Wananchi wamemtuma amuombe Mama yake na wanampima kama ni Mama yake kweli
=========
Akitoa salaam za mkoa kwenye kongamano la kumbukizi ya Edward Moringe Sokoine leo hii 11 April 2024, amesema kuna watu, wakiwemo mawaziri wanawatuma watu kumtukana Rais Samia mitandaoni.
Makonda kasema anawajua na wao wanamjua. Amewataka waache kufanya hivyo leo hii. Ameonya wasipoacha atawataja majina yao siku ya Jumatatu tarehe 14 April 2024.
Unaweza kubashiri ni mawaziri gani wanafanya hujuma hizi dhidi ya bosi wao? Au Makonda anatafuta kiki?
Maana hata jiwe alimdanganya kama hivi, ndiyo maana jiwe akawa karibu sana na Makonda. Jiwe alipokuja kugundua kuwa aliingizwa chaka akamtema.
View attachment 2961639
Source:. Kumbukizi ya Edward Moringe Sokoine
Pia, soma=> Rais Samia akiashiriki Misa Maalumu ya miaka 40 ya kumbukizi ya Kifo cha Hayati Sokoine
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema ikifika Aprili 15, 2024 atawataja kwa majina Watu wakiwemo Mawaziri wanaotoa fedha za kuwalipa Watu ili wamtukane Rais Samia mitandaoni kama hawataacha.
Akizungumza wakati wa Kumbukumbu ya aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania, Hayati Edward Sokoine, amesema "Kaka zangu mnaotuma na kulipa watu kumchokoza Mama yangu Samia mnanijua na mimi nawajua, wengine ni Mawaziri leo tarehe 12 iwe mwisho"
Aidha Makonda amemwomba Rais Samia kutoa Fedha za ujenzi wa Kilomita za 20 za Lami Jijini humo na kueleza kuwa Wananchi wamemtuma amuombe Mama yake na wanampima kama ni Mama yake kweli
=========
Akitoa salaam za mkoa kwenye kongamano la kumbukizi ya Edward Moringe Sokoine leo hii 11 April 2024, amesema kuna watu, wakiwemo mawaziri wanawatuma watu kumtukana Rais Samia mitandaoni.
Makonda kasema anawajua na wao wanamjua. Amewataka waache kufanya hivyo leo hii. Ameonya wasipoacha atawataja majina yao siku ya Jumatatu tarehe 14 April 2024.
Unaweza kubashiri ni mawaziri gani wanafanya hujuma hizi dhidi ya bosi wao? Au Makonda anatafuta kiki?
Maana hata jiwe alimdanganya kama hivi, ndiyo maana jiwe akawa karibu sana na Makonda. Jiwe alipokuja kugundua kuwa aliingizwa chaka akamtema.
View attachment 2961639
Source:. Kumbukizi ya Edward Moringe Sokoine
Pia, soma=> Rais Samia akiashiriki Misa Maalumu ya miaka 40 ya kumbukizi ya Kifo cha Hayati Sokoine