Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri

Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri

TISS hawajui kila kitu jamaniiii... especially hawa wa dunia ya tatu hawa wako busy kutafuna black budget ya Ikulu ambayo CAG Kichere haruhusiwi kuigusa....

Hata TISS ya Putin hawajui kila kitu, sasa hivi wanahaha kutafuta nani kawapiga kwenye ukumbi wa starehe mjini Moscow juzi ... na wale wana technology wakitaka kukupoteza wanakupaka ka poda mkononi paaap... unaenda kufia mbele, sisi TISS wetu mpaka wakukwide kwenye Noah Nyeusi, wakumiminie mirisasi 50 mchana kweupe na bado wanakukosa at point blank range... msiwape credit saaana kwa ukachero eti wana nasa kila taarifa jamani....

Samia kasema computer zetu za TPA na TRA hazisomani, wako wapi hao wataalam wa ku hack into encryption za whatsapp, telegram na telegraph kama hawawezi hata kuunganisha server za mashirika jamani jamani jamaniiiiii ???

Ndo maana Makonda kamchana Mama, huna taarifa mawaziri right under your nose wanakuhujumu, nina ma hard evidence na ma state secrets nyumbani kwangu, nikiamua nitakupa, na wenyewe mawaziri wanajua nawajua, vetting ya cabinet yako is putrid and pitiful, washakujulia, mtu akikusifia sifia kidogo kichawa na kinafiki unampaisha....

Yale yaleeeee ya CDF Mabeyo, Makonda nae anamwambia, Bi Mkubwa when you get a chance call me, I will bring you up to speed on some sensitive material, because you have no skin in the game.... All these new jacks you are stacking at TISS they are all busy plundering and pillaging the black budget, they don't know nothing. No wonder tumeanza kuchapwa na Kagame huko, majeneza ya JWTZ yanarudishwa nyumbani kimya kimya, big elephant in the room.

Watu waachwe wachukue fomu za CCM wakiomba, January Makamba ndio kaibua huo mjadala mitandaoni jana, sio mimi.

Siwezi kuwalaumu TISS. Intelligence kwa sasa ni technology advancement. Je tunajua hata budget ya TISS kwa mwaka ni how much so as to advance in technology such as blockchain , AI, proximity , crowd platform etc etc ?

TISS yetu kwa tafsiri nyingine ni UMBEYA, we don’t have proper technology to detect the danger . Hapa hapa JF , TISS wakimtaka member ni aidha kwenda kumbana pumbu Max atoe taarifa, au wamtishe kwa sms za upuuzi and most members are using fake credentials…… including me .

apart from kumtait Max hawana ujanja, wakienda Tcra kufuatilia connectivity issue watafeli pia , by the way , member wa JF ana impact gani kwenye economic advancement ya nchi…..lakini utaona mambo wanayodili nayo ni form
Of umbeya.

Ishu ni technology na bajeti na ndio maana utaona wakitembea wana silaha nyingi, akili inazunguka kwenye nguvu na silaha while now days unatoa uhai just by technology and no gun shoot
 
IMG_5158.jpeg

Wahenga walisema: “Mdomo uliponza kichwa”.

Mtu unawezaje kuwa na taarifa za kwamba rais wetu anatukanwa alafu ukakaa kimya?

Makonda alitakiwa akamatwe kwa kuficha taarifa za watu wanaomtukana rais wetu wa nchi.

Binafsi napenda Makonda ubunifu wake na ujasiri; ila afanyie kazi hekima.
 
View attachment 2962220
Wahenga walisema: “Mdomo uliponza kichwa”.

Mtu unawezaje kuwa na taarifa za kwamba rais wetu anatukanwa alafu ukakaa kimya?

Makonda alitakiwa akamatwe kwa kuficha taarifa za watu wanaomtukana rais wetu wa nchi.

Binafsi napenda Makonda ubunifu wake na ujasiri; ila afanyie kazi hekima.
Binafsi watanzania wengi wenye lika ya makonda hawapendi kwa kuwa amewapita kwenywe mafasikio kwa hiyo hasira za kuwapita naamua kumshambulia.
 
View attachment 2962220
Wahenga walisema: “Mdomo uliponza kichwa”.

Mtu unawezaje kuwa na taarifa za kwamba rais wetu anatukanwa alafu ukakaa kimya?

Makonda alitakiwa akamatwe kwa kuficha taarifa za watu wanaomtukana rais wetu wa nchi.

Binafsi napenda Makonda ubunifu wake na ujasiri; ila afanyie kazi hekima.
Hayo matusi yako wapi?

Acheni uzushi.
 
Binafsi watanzania wengi wenye lika ya makonda hawapendi kwa kuwa amewapita kwenywe mafasikio kwa hiyo hasira za kuwapita naamua kumshambulia.
Nitapingana na wewe sana, kuna vijana wengi wenye mafanikio makubwa sana kuliko yeye na wako kimya. Kwanini wamchukie? For what?
 
Kwa hiyo yale matusi ya juzi sijui LGBT ni hadi usalama wa Rais ndiyo wayasome kwanza ndipo wamwambie Mh. then wananchi wajue?.

Ni unafiki kama ilivyo desturi yetu waafrika au ulitaka kusema nini?
 
Binafsi watanzania wengi wenye lika ya makonda hawapendi kwa kuwa amewapita kwenywe mafasikio kwa hiyo hasira za kuwapita naamua kumshambulia.
Huyo Makonda ana mafanikio gani? Au teuzi ndiyo unaziita mafanikio?
 
Huyo roporopo anataka Ubunge wa Arusha mjini mana anadhani atakuja kuwa PM baada ya uchaguzi wa 2025.Kuwa RC wa Arusha ni mpango Mkakati kupita njia za Gambo.
 
View attachment 2962220
Wahenga walisema: “Mdomo uliponza kichwa”.

Mtu unawezaje kuwa na taarifa za kwamba rais wetu anatukanwa alafu ukakaa kimya?

Makonda alitakiwa akamatwe kwa kuficha taarifa za watu wanaomtukana rais wetu wa nchi.

Binafsi napenda Makonda ubunifu wake na ujasiri; ila afanyie kazi hekima.
1713004375688.jpg
 
Basi nimepitwa na hayo matusi sijayaona kabisa.

Ila kusagana ni jambo binafsi haliwezi kuwa tusi iwapo maza ni mfuasi wa hizo mambo.
 
View attachment 2962220
Wahenga walisema: “Mdomo uliponza kichwa”.

Mtu unawezaje kuwa na taarifa za kwamba rais wetu anatukanwa alafu ukakaa kimya?

Makonda alitakiwa akamatwe kwa kuficha taarifa za watu wanaomtukana rais wetu wa nchi.

Binafsi napenda Makonda ubunifu wake na ujasiri; ila afanyie kazi hekima.
The statement of the gentleman was right and ofcoz , he is doing a very great job to the country 🐒

The man is the sokoine of modern Times 🐒
 
..hakuna Raisi asiyetukanwa ktk dunia hii.

..Raisi anapaswa kuwa na ngozi ngumu, sio kudekadeka.

..kama Ssh hataki kutukanwa basi arudi kwao Kizimkazi.
 
Wakati wa JPM, kigogo na mangekimambi walitumika na hao hao mawaziri kuwafikishia taarifa za kuhujumu utawala wake. Ikafikia stage wakadukuliwa na wakaenda kuomba radhi ikulu. Lengo lao lilikuwa kumtoa/kumpindua JPM na kumchafua ili wachukue madaraka. Kama lengo lao ni kuingia madarakani kwa nini wasiendelee kumchafua hata mama Samia?? Their mission has not been done yet until it's done. Rais mwenyewe alishawahi kusema wapinzani/wabaya wake hawatatoka huko kwingine bali ndani ya CCM rejeeni hotuba zake. Kwa nini mnashangaa kauli ya Makonda?? Je, kama hao watu wapo mlitaka mmchagulie mama approach atakayoitumia kuwafikishia ujumbe hao wahaini???!!! Walikuwepo tangu kipindi Cha Nyerere, JPM, hata mama Samia anao anawasikia na wengine Kuna namna amewachukulia hatua na tunawajua na Sasa hawako kwenye cabinet yake wametupwa nje kabisa. Hizi kauli za Makonda tumwachie mama Samia na serikali yake ndo anajua zaidi kwa nini na namna ya kudeal nazo.....acheni u much know wakati you don't know what is inside the box.
 
Makonda ni lopolopo tu, hatuhitaji kutajiwa watukanaji.
 
kwajini wanavyozidi kujifanya wanamtetea, ndivyo wanavyozidi kusambaza, kila mtu sasaivi anatafiti ajue nini mange kasema au tusi lipi limetukanwa. wangenyamaza tu yangepita.
 
Back
Top Bottom