Umesahau ARV’s na condomsKati yenu na Wadhungu nani anamtegemea mwenzie?hata shati,viatu ,chupi mpaka simu vyote ni vya kwao,labda vyungu na magome ndiyo asili yenu.
Awamu hii kakurupuka Kwa nusu Habari.Mtazidi kuumbuka Pompeo hakukurupuka.
Bange mbaya sana mkuu.
Acha tumbaku /ugoro mkuu huwa unspofusha ubongo usione mapoints hahahahasure jamaaa amepost ujinga kinoma
Mkuu unawakubali kupita uwezo wao.
Haitasaidia chochote kumtetea huyo wakala wa shetani, aondolewe au asiondolewe sio issue, la muhimu sasa ulimwengu mzima unajua huyo Makonda ni vampire, linatoa roho za watu ndio maana linazidi kunenepeana!Aliyewadanganya kuwa Paul Makonda ' atatumbuliwa ' hapo kama Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ni nani? Mnajisumbua bure!
Mkuu mbona unakuwa mgeni duniani.Unafikiri USA wanaropoka bila ushahidi. Serikal ya Tz haiwezi fanya ilo jaribio la kujishambulia. Mmarekani kila data anazo. Anasubiri tu right time afanye mambo yake. Tena akichokonolewa anaweza toa mpaka ya magufuli. Apo wamempa trailer tu. Maguful is next.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumuombe huyo Pompey akamilishe barua yake, imekaa kimajungu. Awake na ushahidi kama alivyoweka vifungu.mwammbie huyo Bashite aandike barua US awaombe ushahidi.