mkakaflani
JF-Expert Member
- Sep 30, 2023
- 702
- 2,716
Ameshasema ni mtani wake😂Kwa nini anaongea huku anamshika shika bega waziri kama mtu mdogo kwake?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameshasema ni mtani wake😂Kwa nini anaongea huku anamshika shika bega waziri kama mtu mdogo kwake?!
Nidhamu ni kutumikia wananchi mambo mengine Waafrica tunapenda kujitukuza tu!Tatizo la makonda ni kujiona yupo juu ya kila mtu, mkuu wa mkoa huwezi kuongea na waziri unampiga piga bega kama hawara yako huo ni utovu wa nidhamu mkubwa sana na ni dharau kabisa, nayote hiyo inatokana na kujiona yuko juu na ana nguvu pamoja na kwamba cheo chake ni cha chini.
Mimi mwenyewe nimefurahi sana natamani makonda atangaze nia ya kugombea ubunge arusha mjini na gambo akose alimdhalilisha sana lema akiwa mbungeGambo akiwa RC wa Arusha alikuwa anam-treat Lema hivi leo kibao kimegeuka.
Karma is a bitch
Acha wafu wazikane…
Ni mnafki ila pale amekutana na kiboko yake makonda mnafki mara mbili yakeIla Gambo namuonaga kama Snitch hivi hata haiba yake inaonesha!
Mbona mkuu wa mkoa mwenyewe anapenda kuheshimiwa tena sio kuheshimiwa tu anapenda kuabudiwa na kunyenyekewa, mtu anaye tafuta sifa huwa yupo hivyo , kama ingekuwa kweli wananchi kwanza madaraka nyuma basi msingekuwa mnawateka wanao wakosoa na kuikosoa mambo yake ya hovyo, mbona mnateka na kuuwa hao wananchi wakiyasema mabaya yenu kama kweli mnawatumikia wao?wapeni full power basi ili tujue kweli mnawatumikia kikamilifu, siyo kutafuta kukubalika kwa kuwachafua viongozi wenzio ukowa nyuma ya mtutu wa bunduki, Acha unafiki?Nidhamu ni kutumikia wananchi mambo mengine Waafrica tunapenda kujitukuza tu!
Waziri ni mtumishi wa wananchi kama ni nidhamu anayestahili kupewa ni mwananchi!
Wewe ndo wale mkipata cheo mnataka kuabudiwa badala ya kutumikia wananchi!
Huyo Waziri ni nani mpaka umuone anastahili kuheshimiwa sana kana kwamba ukiwa Waziri basi sio mwanadamu wa kawaida!
Taifa hili linatakiwa liwaheshimu sana wananchi sio kuabudu viongozi!
Unaushahidi au unaongea tu kwa mihemko!Mbona mkuu wa mkoa mwenyewe anapenda kuheshimiwa tena sio kuheshimiwa tu anapenda kuabudiwa na kunyenyekewa, mtu anaye tafuta sifa huwa yupo hivyo , kama ingekuwa kweli wananchi kwanza madaraka nyuma basi msingekuwa mnawateka wanao wakosoa na kuikosoa mambo yake ya hovyo, mbona mnateka na kuuwa hao wananchi wakiyasema mabaya yenu kama kweli mnawatumikia wao?wapeni full power basi ili tujue kweli mnawatumikia kikamilifu, siyo kutafuta kukubalika kwa kuwachafua viongozi wenzio ukowa nyuma ya mtutu wa bunduki, Acha unafiki?
Ninachojua Gambo hatakubali na kutaka kumletea fitina Makonda. Moto lazima uwake. Sema Gambo hatamuweza Makonda kivyovyote vile.Kwa hiyo hapo wamekutana
Au ndiyo Gambo kakutana na kiboko yake 😄
Ova
Huyu mkuu wa mkoa protocol hazijui au waziri hajui protocolKwa nini anaongea huku anamshika shika bega waziri kama mtu mdogo kwake?!
Kweli kabisa hamuwezi,hapo gambo kapatikanaNinachojua Gambo hatakubali na kutaka kumletea fitina Makonda. Moto lazima uwake. Sema Gambo hatamuweza Makonda kivyovyote vile.
Makonda hakumtendea haki Gambo.Mbunge hata kama analijua jambo linalohusu maendeleo ya jimbo lake,bado anatakiwa aliongee au aliulizie hadharani ili wapiga kura wake nao wapate taarifa ya kinachoendelea.Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda akiambatana na Waziri wa Ujenzi Mhe. Abdallah Ulega wakati wa ukaguzi wa ujenzi wa barabara ya kiwango cha Lami ya Mianzini-Olemringaringa amemtaka Mbunge wa Arusha Mjini Mhe. Mrisho Gambo kuwa anahudhuria vikao mbalimbali vya maendeleo ndani ya Mkoa wa Arusha, badala ya kuwasubiri Viongozi wa Kitaifa na kuzungumzia kero mbalimbali ndani ya Jimbo lake.
Mhe. Makonda ameeleza kuwa kufanya hivyo ni kutafuta huruma ya wananchi kinyume cha taratibu, akiziita kuwa ni siasa zisizokuwa za maendeleo kwa wananchi, akiagiza kuwa ni muhimu kwa Viongozi wateule na wa kuchaguliwa kushiriki vikao vya kupanga na kuamua kuhusu maendeleo ya Mkoa wa Arusha.
Kauli ya Mhe. Makonda inafuatia maombi ya Mhe. Gambo aliyeomba kwa Waziri wa Ujenzi kujengewa barabara ya Kilombero pamoja na ufungaji wa taa kwenye barabara mbalimbali za Jiji la Arusha, masuala ambayo kulingana na Mhe. Makonda yalishajadiliwa na maamuzi kutolewa kwenye vikao mbalimbali vilivyofanyika chini ya Maagizo ya Mawaziri mbalimbali wa Kisekta ikiwemo Kikao cha mapema leo asubuhi kilichohudhuriwa na Waziri wa ujenzi Mhe. Abdallah Ulega na Waziri wa fedha Mhe. Mwigulu Nchemba.
Hayo mawazo ni ya watu wajinga tu wasiopenda uwajibikaji!Huwezi kutumia maneno makali kwa kiongozi mwenzio mbele ya vyombo vya habari.
Napendekeza mheshimiwa Rais Samia, huyu RC Makonda atenguliwe.
Naaam.
Mbona yeye ni mpenda kuongea public katika mambo mengi?
Anajisahaurisha kuwa huwa anaitisha mikutano ya hadhara na kuanza kuhoji watendaji juu ya mambo ambayo tayari yapo serikalini?
Huyu Makonda lazima ana matatizi ya kiakili Leo hii kageuka ghafla kuwa muumini wa vikao? Hataki tena habari za mambo hadharani?
Anakuja kuwa Boss wake ? Chongolo alikimbia mapema kabisaPamoja na Yote bado RC makonda amezingua sana Kumdharirisha Gambo mbele Ya kandamnasi tena Kiongozi aliyechaguliwa na Wananchi hio haijakaa Poa, Kesho Gambo akiwa Boss wake?
Makonda ajifunze Kuheshimu Viongozi wenzie mana hata Chongolo aliwahi Kumkolomea wakati ni RC Dar baadae tuliona Chongolo anakuja kuwa Boss wake hii haijakaa Poa ivo Viti vya Kuteuliwa una Serve at the wish ya aliyekuchagua Tusijione sana tumefika