Uchaguzi 2020 Paul Makonda, hawezi kupita Kigamboni kura za Maoni

Uchaguzi 2020 Paul Makonda, hawezi kupita Kigamboni kura za Maoni

Angalia hii list[emoji116]
*WALIO CHUKUA FOMU KURA ZA MAONI JIMBO LA KIGAMBONI*

1-Winifrida Shonde,
2-Frank Chalamila no
3-Kassim Juma
4-Edwin Kweshijabo
5-Christian Hall
6-Daniel Sarungi
7-Ally Malima
8-Januari Kimanywa
9-Wande Kasaja
10-Kwesi Ukwaju
11-Dk. Faustine Ndungulile
12Lilian Wassira
13-Eliudi Mganga
14-Sogone Wambura
15-Mujuni Mwajauki (Mpoki)
16-Christopher Sauti
17-Daniel Madushi
18-Deogratous Kanyesa
19-Ramadhan Abdallah
20- *paul_christian_makonda*
21-Emanuel Lyimo
23-22-Rajabu Gundumu
24-Buimura Mboja
25-Winifrida Shonde
26-Denis Kalikawe
27-Thaddeus Musembi
28-Themis Rwegasira
29-Rashid Jumbe
30-Ally Msaki
31-Francis Mugisha
32-Jovin Sanga
33-Fredrick Mumba
34-Dk. Benjamin Mohamed
35-Dorit Glorious
Kwenye orodha hiyo sioni mwenye uzito wa kupambana na Makonda!! Wote wale ni wepesi! Heavy weight pale Ni Makonda peke yake!! Anayefuatia kwa mbali ni mchekeshaji Mpoki. Andungulile alishaharibu na imekula kwake!! Hajui jinsi ya kula na wakubwa!!
Wenye akili zao waliponusa wakaona kigamboni Kuna potential mteule wakala Kona na kukimbilia majimbo mengine Kama kawe nk, ndiyo maana orodha ndefu lakini wote ni wepesi!! Makonda atapita asubuhi na mapema, hata kabla ya breakfast. Kwenye kampeni atatumia muda mwingi kumnadi "baba" ili apate kura za kishindo wala hatahangaika kujipigia kampeni. X-MP keshajikatia tamaa maana hajui kuusoma mchezo anaocheza "baba" halafu anaishia kumpinga hadharani badala ya kumsifu hadharani na Kama Kuna ulazima unamshauri faraghani!.
Hayo ya X-MP Ni ya mtu kula jeuri yake!! Usipoenda sambamba na aliyekuteua unategemea Nini? Scha ule jeuri yako Wala usikasirike maana huu mchezo hautaki hasira, na bahati hazijirudii Mara mbili!! Kula tu jeuri yako na utelemshie kwa soda ya baridi!! Hata Mpoki atakugaragaza kwenye kura za maoni!!
 
Kama ni hivo hata Gwajima atapita kawe?
Mwenye clip ya Gwajima akisema yeye hawezi kuwa mbunge, waziri au rais ni kujishusha hadhi akimaanisha cheo chake cha uaskofu ni kikubwa muno maana bosi wake ni Mungu,
 
Kuna mjumbe asimpigie Bashite kura kweli? Bashite ana pesa bwana,na hajakurupuka. Akishinda kura wakamkata basi atamfuata Membe ACT.

Na kwa jinsi alivyo na ' Siri ' Kali za Mtu Mmoja hivi sidhani kama kweli akihamia huko Kwingine atakuwa na hata Saa 24 za Kuendelea Kupumua.
 
Naona mlima mrefu Makonda kuukwea kupitishwa Kigamboni..

Kauli za Rais zimemlenga moja kwa moja, leo tena kauli za katibu mkuu CCM zimemlenga moja kwa moja na ukuu wa mkoa utakuwa ushaota mbawa.

Bila shaka kauli zake za madharau akiwatukana watu kwamba ingawa labda nimesoma na nyie, mna vyeo kuliko mimi na wengine mmenizidi umri ila nimewazidi sana hata boss wenu anatambua, hao hao watu ndio anategemea wampitishe, wengi CCM hawampendi.

Wote walioachia nafasi zao walizoteuliwa wanataka kuonyesha kwamba uwezo wa kushinda wanao, na wakuu wao wanaonyesha wazi kuwa prove wrong.

Muda upo tusubiri.
.

Wewe una chuki binafsi na Makonda,mbona kuna viongozi wengi wa Serikali wamehachia ngazi na kuchukua form za kuwania Ubunge - mbona hao huwasemi unakimbilia kumsakama Makonda na kudai eti comments JPJM zilikuwa zinamlenga yeye - your rabid hatred of this man knows no bound, same applies to your like mind ladden herein.

Kama wakazi wa Kigamboni wanamuhitaji mtu mwajibikaji, mfatiliaji, mchapakazi Makonda fits the bill - regardless ya kampein zenu za kutaka kumchafulia jina - mko driven na wivu tu wala si kitu kingine.
 
CCM wanashangilia utitiri wa watia nia ya kugombea ubunge kupitia chama lao la Joka la Kijani la Kishetani, lakini hii so dalili mzuri tunakoelekea tutakuwa kama Somalia kila mtu anataka kuongoza mwisho wake tutaanza kuzichapa kugombania madaraka ya kisiasa maana ndiyo kwenye maslahi. Watumishi hawajaongizewa mashahara kwa miaka Kitano,nani anataka umasikini na unyonge.
Kweli kabisa,baada ya miaka mitano ijayo Rais atakayekuja anaweza kupata tabu sana.Kwani wapenda madaraka wamekuwa wengi sana na wameona kuna security ya kutosha kufisha mambo yao hasa wasio waadilifu
 
Naona mlima mrefu Makonda kuukwea kupitishwa Kigamboni..

Kauli za Rais zimemlenga moja kwa moja, leo tena kauli za katibu mkuu CCM zimemlenga moja kwa moja na ukuu wa mkoa utakuwa ushaota mbawa.

Bila shaka kauli zake za madharau akiwatukana watu kwamba ingawa labda nimesoma na nyie, mna vyeo kuliko mimi na wengine mmenizidi umri ila nimewazidi sana hata boss wenu anatambua, hao hao watu ndio anategemea wampitishe, wengi CCM hawampendi.

Wote walioachia nafasi zao walizoteuliwa wanataka kuonyesha kwamba uwezo wa kushinda wanao, na wakuu wao wanaonyesha wazi kuwa prove wrong.

Muda upo tusubiri.
ACT- wazalendo wanamsubiri kwa hamu ili awe mgombea wao Kigamboni.
 
Mbona povu kwani tusubiri matokeo
.

Wewe una chuki binafsi na Makonda,mbona kuna viongozi wengi wa Serikali wamehachia ngazi na kuchukua form za kuwania Ubunge - mbona hao huwasemi unakimbilia kumsakama Makonda na kudai eti comments JPJM zilikuwa zinamlenga yeye - your rabid hatred of this man knows no bound, same applies to your like mind ladden herein.

Kama wakazi wa Kigamboni wanamuhitaji mtu mwajibikaji, mfatiliaji, mchapakazi Makonda fits the bill - regardless ya kampein zenu za kutaka kumchafulia jina - mko driven na wivu tu wala si kitu kingine.
 
Njia pekee ya kimharibia Makonda ni kumsifia sana kuwa yupo juu ya Jiwe, ili Jiwe limkate kwa hasira.... nje ya hapo hakuna namna.
 
Nadhani ukuu wa mkoa alikuwa hauwezi akajikuta ana friction sana na watendaji wake; ni kama alikuwa katwishwa mzigo mzito sana ndiyo maana ameamua kuutua mzigo huo. Mwanri na General Maganga nadhani wao walikuwa wanazimudu sana nafasi zao bila friction na wtendaji wao, ila sielewi kwa nini nao wamejitua.
 
Binafsi ninaamini Bashite hawezi kutoboa Kigamboni. Liwe jua, iwe mvua, sioni akipenya kwenye kura za maoni za CCM.

Kwa watu msiofahamu tu, viongozi wengi wa CCM Dar na wanaCCM walikuwa wanamchukia Makonda kuliko hata mpinzani. Ukuu wa mkoa ulimfanya Makonda awaone watu wengine wote ni wapuuzi, wajinga na wapumbavu.

Muda ndio huu.
Makada waamue sasa.
Sifa ya kwanza ya kua kada lazima akili uzitie mfukoni..USITEGEMEE jamaa kukosa kura hata kama aliwatendea nn,,what they care ni chambilecho
 
Tunaweka rekodi sawa
 
Utabiri umetimia
Binafsi ninaamini Bashite hawezi kutoboa Kigamboni. Liwe jua, iwe mvua, sioni akipenya kwenye kura za maoni za CCM.

Kwa watu msiofahamu tu, viongozi wengi wa CCM Dar na wanaCCM walikuwa wanamchukia Makonda kuliko hata mpinzani. Ukuu wa mkoa ulimfanya Makonda awaone watu wengine wote ni wapuuzi, wajinga na wapumbavu.

Muda ndio huu.
Makada waamue sasa.
 
Back
Top Bottom