Uchaguzi 2020 Paul Makonda, hawezi kupita Kigamboni kura za Maoni

Uchaguzi 2020 Paul Makonda, hawezi kupita Kigamboni kura za Maoni

Mlitukana sana iko wapi
Hapo Magu huwa hakosei na kasema kabisa sijamtuma mtu si ningekuteua tu hamwelewi,polempole akasema hawa wanaojitambulisha huko mitandaoni tutawafundisha taratibu kwamba mmefanya kampeni mapema.

Licha ya yote mkumbuke Tuntemeke Sanga alipigwa viboko na mwalimu, akarudishwa kwao Songea na kuambiwa asikanyage mjini mpaka kwa ruksa ya mwalimu
 
Bora asipite maana tunaenda kuongeza wimbi la kupoteza viumbe hai wengine.
Apigwe chini kwa aibu kabisa mshamba waadaraka yule.

Kuna jamaa kaandika Sasa hivi Gari moja tu ya RC inapita Dar na hakuna ving'ora Wala mapikipiki. Na mkoa una Hali nzuri ya hewa angalau kwa Mara ya kwanza toka alipopew U-RC.
 
Sio wote waccm wanamchukia, baadhi yao tu tena Wanadaresalama kisa msukuma/mchapakazi na anasaidia wagonjwa, walemavu n.k

Navyojua pale kapelekwa makusudi kugombea ubunge na atapita tu ili iwe njia rahisi kupewa uwaziri, Magu anaakili nyingi, anaona mbali huyu mzee.

Makonda usibabaishwe na watu wachache,
Weka sawa sawa, Ni msukuma mshamba wa madaraka.
 
Binafsi sijategemea na nguvu alizokuwa nazo
Chama kimemuonyesha kwamba yeye si kitu; amedhbitiwa nje ndani....

Sasa ni raia kama sisi...ukiondoa ujumbe wa mkutano mkuu wa CCM.
 
Naona mlima mrefu Makonda kuukwea kupitishwa Kigamboni..

Kauli za Rais zimemlenga moja kwa moja, leo tena kauli za katibu mkuu CCM zimemlenga moja kwa moja na ukuu wa mkoa utakuwa ushaota mbawa.

Bila shaka kauli zake za madharau akiwatukana watu kwamba ingawa labda nimesoma na nyie, mna vyeo kuliko mimi na wengine mmenizidi umri ila nimewazidi sana hata boss wenu anatambua, hao hao watu ndio anategemea wampitishe, wengi CCM hawampendi.

Wote walioachia nafasi zao walizoteuliwa wanataka kuonyesha kwamba uwezo wa kushinda wanao, na wakuu wao wanaonyesha wazi kuwa prove wrong.

Muda upo tusubiri.
BASHITE ana kiburi cha uzima
 
112588946_217361206143353_6997867072830416291_n.jpg

Daah hii kali ina maana hadi mwenyewe hajajipigia kura.
 
Back
Top Bottom