Uchaguzi 2020 Paul Makonda, hawezi kupita Kigamboni kura za Maoni

Uchaguzi 2020 Paul Makonda, hawezi kupita Kigamboni kura za Maoni

Naona mlima mrefu Makonda kuukwea kupitishwa Kigamboni..

Kauli za Rais zimemlenga moja kwa moja, leo tena kauli za katibu mkuu CCM zimemlenga moja kwa moja na ukuu wa mkoa utakuwa ushaota mbawa.

Bila shaka kauli zake za madharau akiwatukana watu kwamba ingawa labda nimesoma na nyie, mna vyeo kuliko mimi na wengine mmenizidi umri ila nimewazidi sana hata boss wenu anatambua, hao hao watu ndio anategemea wampitishe, wengi CCM hawampendi.

Wote walioachia nafasi zao walizoteuliwa wanataka kuonyesha kwamba uwezo wa kushinda wanao, na wakuu wao wanaonyesha wazi kuwa prove wrong.

Muda upo tusubiri.
Kujisahau kwa huyu bwana na kuweka imani yake kwa WAKUBWA kuliko uwezo wake kunazidi thibitisha tuhuma zile za ziro.
 
Screenshot_2020-07-20-19-27-42.jpeg
tapatalk_1595250375695.jpeg
 
It was a fall which was waiting for a due time. Makonda labda agombee kwa kutumia polisi. Hajajenga mazingira ya kuheshimu wapiga kura. Haheshimu wakubwa wake. Anadhani atawaburuza wote kwa ajiri ya utukufu wake.
This fall is a lesson. He should change the approach when it comes to serving the public. Tujifunze unyenyekevu.
 
Naona mlima mrefu Makonda kuukwea kupitishwa Kigamboni..

Kauli za Rais zimemlenga moja kwa moja, leo tena kauli za katibu mkuu CCM zimemlenga moja kwa moja na ukuu wa mkoa utakuwa ushaota mbawa.

Bila shaka kauli zake za madharau akiwatukana watu kwamba ingawa labda nimesoma na nyie, mna vyeo kuliko mimi na wengine mmenizidi umri ila nimewazidi sana hata boss wenu anatambua, hao hao watu ndio anategemea wampitishe, wengi CCM hawampendi.

Wote walioachia nafasi zao walizoteuliwa wanataka kuonyesha kwamba uwezo wa kushinda wanao, na wakuu wao wanaonyesha wazi kuwa prove wrong.

Muda upo tusubiri.


Matokeo rasmi
----------------------------

Paul Makonda kura 122
Faustine Dungulile kura 190
Hajapita kweli,na angepita ingekuwa ajabu.
 
Pale unapojipiga kifua na kujiamini kwa kitu ambacho hukifahamu
Hizi ni propaganda sizizokuwa na mwelekeo, unaongelea kwa kumlenga mtu as if una bifu naye, Wanakigamboni wanamengi yapo nyuma na wanahitaji mpambanaji, HUYO KIJANA ANAWAFAA SANA KIGAMBONI, Ns atapita, take my word.
 
Mungu ni mwema siku zote
Karibuni tukanywe bia,bado jiwe October fyekeee
 
Back
Top Bottom