Uchaguzi 2020 Paul Makonda, hawezi kupita Kigamboni kura za Maoni

Uchaguzi 2020 Paul Makonda, hawezi kupita Kigamboni kura za Maoni

Naona mlima mrefu Makonda kuukwea kupitishwa Kigamboni..

Kauli za Rais zimemlenga moja kwa moja, leo tena kauli za katibu mkuu CCM zimemlenga moja kwa moja na ukuu wa mkoa utakuwa ushaota mbawa.

Bila shaka kauli zake za madharau akiwatukana watu kwamba ingawa labda nimesoma na nyie, mna vyeo kuliko mimi na wengine mmenizidi umri ila nimewazidi sana hata boss wenu anatambua, hao hao watu ndio anategemea wampitishe, wengi CCM hawampendi.

Wote walioachia nafasi zao walizoteuliwa wanataka kuonyesha kwamba uwezo wa kushinda wanao, na wakuu wao wanaonyesha wazi kuwa prove wrong.

Muda upo tusubiri.


Matokeo rasmi
----------------------------

Paul Makonda kura 122
Faustine Dungulile kura 190
Mutoto akililia wembe mpe ukimkata atajua uzuri na ubaya wake
 
Binafsi ninaamini Bashite hawezi kutoboa Kigamboni. Liwe jua, iwe mvua, sioni akipenya kwenye kura za maoni za CCM.

Kwa watu msiofahamu tu, viongozi wengi wa CCM Dar na wanaCCM walikuwa wanamchukia Makonda kuliko hata mpinzani. Ukuu wa mkoa ulimfanya Makonda awaone watu wengine wote ni wapuuzi, wajinga na wapumbavu.

Muda ndio huu.
Makada waamue sasa.
Screenshot_2020-07-20-21-34-52-1.png
 
Naona mlima mrefu Makonda kuukwea kupitishwa Kigamboni..

Kauli za Rais zimemlenga moja kwa moja, leo tena kauli za katibu mkuu CCM zimemlenga moja kwa moja na ukuu wa mkoa utakuwa ushaota mbawa.

Bila shaka kauli zake za madharau akiwatukana watu kwamba ingawa labda nimesoma na nyie, mna vyeo kuliko mimi na wengine mmenizidi umri ila nimewazidi sana hata boss wenu anatambua, hao hao watu ndio anategemea wampitishe, wengi CCM hawampendi.

Wote walioachia nafasi zao walizoteuliwa wanataka kuonyesha kwamba uwezo wa kushinda wanao, na wakuu wao wanaonyesha wazi kuwa prove wrong.

Muda upo tusubiri.


Matokeo rasmi
----------------------------

Paul Makonda kura 122
Faustine Dungulile kura 190
Ila kama hatopewa viti maalum basi atarudishwa kuwa RC..yaani huyu wa sasa hivi ahesabu tu kuwa anakaimu.
 
Bora asipite maana tunaenda kuongeza wimbi la kupoteza viumbe hai wengine.
Apigwe chini kwa aibu kabisa mshamba waadaraka yule.

Kuna jamaa kaandika Sasa hivi Gari moja tu ya RC inapita Dar na hakuna ving'ora Wala mapikipiki. Na mkoa una Hali nzuri ya hewa angalau kwa Mara ya kwanza toka alipopew U-RC.

Yani hapo kwenye ving’ora ndio balaa. Utadhani anapita Waziri Mkuu. Yani yule jamaa bwana, ushamba tu! Ila wajumbe wa Kigamboni wamenifurahisha sana [emoji41][emoji28]🤛. Wamekula hela za mtu ila wamemtoselea mbali.
 
Na mkuu wa nchi na kamati yake ni wenye busara Sana hawezi kumkata ndugulile labda athibitike alitumia rushwa, vinginevyo Paulo aombe miungu yote magu awe anampenda kwelikweli ili amteue tena bila hivyo hhiiiiii
 
zote izo ni figisu lakini makonda ni moja ya viongozi wenye uthubutu sana!
 
Kama ndugu yako alivokataliwa kigamboni ndivo itakavokataliwa, jifunze ujasilimali usitegemee ccm ipo icu

Waliopita kwa kuhonga panga linawahusu mamaee 😁😁 Raisi co mjinga ampige chini makonda/msukuma wakat ni chapa kazi na matunda yake 2meyaona.

Atateuliwa na uwaziri atapata,,,endeleeni kuteseka tu.

baba Keagan
 
Matunda yake tumeyaona,,

Atateuliwa na uwaziri atapata,,, endelea kuteseka tu.
Nani ateseke kwa ajili ya bashite. Hata akipewa viti maalum Ni sawa, Ila ilejulikana Ni mpuuzi tu ambaye anajimwambafai
 
Waliopita kwa kuhonga panga linawahusu mamaee 😁😁 Raisi co mjinga ampige chini makonda/msukuma wakat ni chapa kazi na matunda yake 2meyaona.

Atateuliwa na uwaziri atapata,,,endeleeni kuteseka tu.

baba Keagan
Ye mwenyewe ana uhakika gani wa kupita
 
Back
Top Bottom