Uchaguzi 2020 Paul Makonda, hawezi kupita Kigamboni kura za Maoni

Nani ateseke kwa ajili ya bashite. Hata akipewa viti maalum Ni sawa, Ila ilejulikana Ni mpuuzi tu ambaye anajimwambafai

Wa2 wanamchukia na kumsema kwamba hajaenda shule mara oh amefoj cetifiketi 😁😁 kusoma co mafanikio mukuu,,wangapi 2meshuudia wamesoma lkn menejment yao zero kabisa, na wabinafc na maringo juu. Makonda hicho kitu hana, jamaa chapa kazi na limewadhibiti watumia madawa ya kulevya.
 
Kazi gani Kama sio upayukaji tu. Elimu sio issue Ila yule hana tu akili sema tu Kuna kaupendeleo kapata. Bila kaupendeleo hata huo u-RC angeshapigwa chini kitambo.
 
Hayo ndo unayaweza kureason unaonyesha IQ yako ilivyo low

Mpuuzi sana huyu,jitu zima na akili zake linaropokwa matusi bila aibu! Hapo utakuta ni Baba wa Familia! Haya Sasa Makonda kashindwa sijui atakuja kitukana matusi gani tena hapa
 
Mwambie mama yako amkimbie baba yako maana kaolewa na kilaza Kama mimi

Watu kama wewe hampaswi kuwepo hapa,uwezo wenu wa kujenga/kutetea hoja ni mdogo sana! Achieni walio na uwezo huo mbaki kuwa Wasomaji ! Haya sasa alichotabili Viol kimekuwa kweli,tukana tena maana ndilo unaloweza!
 
Aisee watabiri kuzidi sangoma wapiga ramli. Sijui anapumulia wapi huyu Makonda
 
Ndugulile Ni kijana super,mtulivu na bright sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…