Paul Makonda kuchukua nafasi ya Ubunge kigamboni na kupewa Uwaziri baada ya Faustine Ndugulile kuchaguliwa WHO?

Mtoeni Chugga haraka after all hana furaha huko mbali na vyombo vikuu vya habari.
 
Kwa hakika ni wakati wa Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda Kijana Jasiri kusini mwa jangwa la Sahara kuingia Bungeni kuwatumikia wana kigamboni kwa nguvu zake zote
Hatutaki mbunge shoga Kigamboni
 
mavi
 
Jimbo la Kigamboni nakwenda kulichukua mimi, Makonda asubiri Jimbo la Nyamagana 2025
 
Hahahahaha, fukara hawezi kuwaza hivyo...mie nilijua anataka yy jimbo, kumbe bado ananyenyekea watu
Huyo anadhani umaskini wake utaisha kwa kulamba miguu ya watawala. Watoto wa akina Kikwete na watawala wanaoishi kwa kodi za wananchi ndio walitakiwa wawe wasifiaji wakubwa sababu ni wanufaika lakini ni tofauti, hukuti hata kwenye kurasa zao za mitandao wakisifia chama wala serikali. Huyo mshamba njaa inamsumbua na anatafuta kula kwa njia ya mkato.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…