Paul Makonda kufikishwa Mahakamani Februari 3, 2022 katika kesi ya matumizi mabaya ya madaraka

Haya tusubiri kuona kitakachotokea "under this current politically compromised judicial system".
 
Gazeti reeeefu,la kutumia Kama toilet paper.
 
This post appears to be the best post of the year in JF. However, sijacheki kuona kama details ulizoziweka kwenye post hii ziko sahihi ama la. Still, I believe they might be more than correct
 
Waziri aliunda Tume ichunguze tukio.. Kama atashtakiwa na serikali au vip sio maamuzi yake yeye kazi yake ni kukemea uovu uliofanyika
Hilo tukio alikua anawachunguza akina nani kama sio wafanya tukio ambo ndio RC?Sielewi mnaongea vitu gani.
 
Hilo tukio alikua anawachunguza akina nani kama sio wafanya tukio ambo ndio RC?Sielewi mnaongea vitu gani.
Wewe Pale ulimuona makonda tu???? Kulikuwa na wanajeshi pia... So uchunguzi ni kujua nani kafanya tukio akishirikiana na nani kwa lengo gani.. Baada ya hapo ripoti akabidhi kwa Rais sasa yeye atajua kama anamtengua kwa makosa yake na kisha ashtakiwe au aendelee kumlea kama mwanae mpendwa
 
Tukio lilikua wazi Makonda (RC)Akiwa na walinzi wake walienda Clouds usiku. Unataka uchunguzi wa nani kafanya tukio kivipi tena?Hoja yako ingekua na LOGIC kama makonda angekuwepo sehemu ya wafanya uchunguzi. Kinyume cha hapo ni kwamba Makonda na walinzi wake walikua wanachunguzwa, Sio kitu kibaya kuchunguzwa lkn je WAZIRI ana mamlaka ya kuunda tume ya kuchunguza tukio ambalo RC yumo ndani yake?
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu hata tume Haruhusiwi kuunda yani???????? Khaa wee jamaa bhanaa...


Huku kwenye Mikoa kila siku tume zinaundwa kuchunguza wizi kwani kwenye List ya kuhusu mapokezi ya hela na matumizi Wakuu wa mikoa..maras na wakurugenzi hawapo?????


Wewe achana na mambo ya Kudhani mtu akiteiliwa na rais anakuwa kama mungu mtu vilee. Wewe walinzi wa makonda unawajua?? Huwa wanavaa kadet za jeshi na kubeba bunduki eti... Yani we jamaa bhana
 
Waganga waliokula pesa zake walaaniwe.
Mganga ni mfanyabiashara mtaji wake ujinga wako
 
Hakuna tume inayoundwa na Waziri kumchunguza RC akiwa bado madarakani.Kunapotokea kuna shida kwa RC,Waziri huwasiliana na mamlaka yake ya uteuz ambayo ni Rais na Rais anaweza mtumbua au kumuundia tume. Kuna Itifaki ktk utumishi wa umma. Kabla ya Magufuli, uliwahi sikia wapi Waziri kaunda tume kumchunguza RC au tukio ambalo RC naye ni mhusika na anatakiwa kuhojiwa?
 
Pia tunaomba ajibu haya

1. Nani alimuua Ben, Azory, Mawazo Lwajabe.

2. Nani alimteka, Roma, Nondo, Mo,

3. Waliookotwa kwenye viroba ufukweni walikuwa akina nani

Kumbukeni huyu ndiye aliyekuwa anatoa taarifa kuwa Fulani atapatikana siku Fulani.
KILA kitu kitakuwa wazi hawana Kinga tangu shetani apigwe minyororo
 
Siumii kwa lolote bali nawashangaa ninyi kwa kumsakama mtu ambaye hana madhara. Kiukweli, mnamkubali Makonda alikuwa JEMBE NA HAMTAMUWEZA!
Hana madhara kwa nyie mlionufaika.
Makonda ndie chanzo cha watumishi kufukuzwa Kazi kwa uonevu
 
naye atakuwa mjinga kama bado yuko nchini!!
Hana ujanja wa kuishi nje ya nchi,kwa pesa gani aliyonayo.
Hawana ujanja wa kuishi nje ya mshahara na kupewa hawa.
Kuishi kwa kupora ni tofauti na kuishi kwa kumake.
 
Kama imewezapokea ya Mbowe isiyo na ushahidi kwann isipokee ya makonda yenye ushahidi
 
Watatrace simu zake ushahidi wote upo mle.
 
Waliopo nyuma ya kubenea ndo wenye nguvu.
Kisasi ni muhimu Ili kuibalance Jamii isitende uovu.
 
Bila kisasi hakuna haki.
Vipi wale wajane na mayatima machozi yao yanafutwa na nani.
Ufanyi makosa kwa kujifichia kwenye mazuri.
Yapi ya faida aliyofanya zaidi ya propaganda binafsi
 
Hii ndiyo inaitwa open and shut case- Makonda hachomoki, ushahidi nje nje kudadeki!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…