View attachment 2093416
Here are the facts about the universe I am sure you don’t know about.
..................................
Jua kumbe alipo still na lenyewe linazunguka galaxy kwa speed ya kilometre 210 kwa sekunde. Galactic year for the sun ni sawa na miaka 230 ya dunia.
Kwa maana hiyo sasa dunia, sayari zote na kila celestial body ndani ya solar system vinalikimbiza jua kwa speed yake 210km/second.
Hapo hizo celestial bodies linaizunguka jua; dunia kwa mfano inatumia siku 365 na kwenye kufanya ivyo inaenda 67000 miles per hour, hapo hapo tena dunia inazunguka katika mhimili wake 1000m/h (wewe unaishi kwenye surface ya dunia wala uoni kitu).
Halafu kuna masela huko NASA kwa kutumia law of physics and applied mathematics modelling wanatengeneza chombo kinaitwa ‘Parker Solar Probe’ jamaa kwa hesabu zao wanakwambia hiko chombo wakitaka kifike karibu na jua haraka wakipeleke kwanza Jupiter na kutumia magnetic fields zake kitakipeleka mapema zaidi kuliko kwenda moja kwa moja through Venus and all that requires timing,
Kifaa kinaruka kinakwenda mpaka Jupiter na kweli kinapelekwa mpaka wanapotaka siku zile zile zilizopangwa. Kinanasa kwenye gravity ya jua kama walivyopanga, wanakifungua wakati wapo million miles apart, kina record; all that just to learn about the outer core of the sun solar flares (not sure ata unajua impact zake kwa dunia ili wachukue tahadhari).
............. ............
What’s the point of all that, there are so many things to amuse the mind with kuliko uthenge mnaojaza kwenye vichwa vyenu yaani binafsi inanisikitisha how is it possible kuna binadamu wapo so shallow minded.
I don’t understand yaani mtu unapata wapi muda wa kuangaika na binadamu mwingine, seriously. Ama kweli akili ni nywele na kila mtu na zake.