Paul Makonda kukabidhi Ofisi kwa Mkuu mpya wa Mkoa wa Dar es Salaam, Aboubakar Kunenge

Simfagilii makonda ila kumbukeni huyu ni mtoto mpendwa wa baba,na mnajua baba yake anavyompenda atarud kwa kishindo sana!

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
 
Piga keleleee kwa Ndugulile wakeeeeeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndivyo ilivyo.

Mkuu wa mkoa mstaafu wa DSM Paul Makonda atafanya makabidhiano rasmi na mrithi wake Aboubakar Kunenge katika sherehe fupi itakoyohudhuriwa na watumishi wote.

Tumtakie kila la kheri anayeondoka na anayeingia.

Maendeleo hayana vyama!
Nashauri huyo mkuu wa mkoa yupi atafute biongozi wa dini wafanyie sala hiyo ofisi kabda hajaingi huko kuanza kazi
 
Du ile ofisi ilitengenezwa kwa gharama kubwa kabla Makonda hajaanza kuitumia.
Ulitaka isitengenezwe ?,angekuwa kafika asingeachia ofisi ,huyo safari yake ni jumba kuu ,hutaki acha
 
Ndivyo ilivyo.

Mkuu wa mkoa mstaafu wa DSM Paul Makonda atafanya makabidhiano rasmi na mrithi wake Aboubakar Kunenge katika sherehe fupi itakoyohudhuriwa na watumishi wote.

Tumtakie kila la kheri anayeondoka na anayeingia.

Maendeleo hayana vyama!
Nashauri huyo mkuu wa mkoa yupi atafute biongozi wa dini wafanyie sala hiyo ofisi kabda hajaingi huko kuanza kazi
 
Ndivyo ilivyo.

Mkuu wa mkoa mstaafu wa DSM Paul Makonda atafanya makabidhiano rasmi na mrithi wake Aboubakar Kunenge katika sherehe fupi itakoyohudhuriwa na watumishi wote.

Tumtakie kila la kheri anayeondoka na anayeingia.

Maendeleo hayana vyama!
Nashauri huyo mkuu wa mkoa yupi atafute biongozi wa dini wafanyie sala hiyo ofisi kabda hajaingia huko kuanza kazi
 
Ajiandae kuanza safari za mahakamani.
Ataanza kuishi kama digidigi
Maisha yana makusudi
 
Kwenye mkoa wangu# Dah maisha hayana mwenyewe Leo eti dar sio kolomije ? Hatari waisilam tumswalie mtume
 
Ndivyo ilivyo.

Mkuu wa mkoa mstaafu wa DSM Paul Makonda atafanya makabidhiano rasmi na mrithi wake Aboubakar Kunenge katika sherehe fupi itakoyohudhuriwa na watumishi wote.

Tumtakie kila la kheri anayeondoka na anayeingia.

Maendeleo hayana vyama!

Ndio maana ghafla Dar Es Salaam inavuma upepo tulivu, wenye kuleta hali ya kujisikia raha masaa yote. Hatimaye chenye mwanzo kimepata mwisho wake.
 
Wa zamani sio mstaaf, Meck sadick utamwitaje?

Sasa hv Makonda ni Mzururaji wa jiji la Dsm
 
Kila nikifikiria huwaga ninalia, inaniuma sana. Daud daud kuna mtu anakuita!!
Tatizo ni kuamini kwamba "mtu" umetumia nguvu na uwezo wako binafsi kutengeneza ofisi isiyo yako binafsi... bado ukajisahaulisha kwamba yale "mamlaka" ili utumike kwayo "walikufanzia" ili "uwafanzishie yao!!" Sasa huku mtaani utazijua rangi zao... Waliokuomba utawabembeleza!! Uliowafokea watakupiga!! Uliowasaidia watakudharau...
Dunia mapito!!
 
Wekeni akiba ya maneno ili msijepatwa na kiharusi pale mtapoona makonda anatumikia nafasi kubwa zaidi ya u RC mapema baada ya October. Nawatahadharisha!

But hatakuwa na β€œpower” kama aliyokuwa nayo akiwa RC-Dar! Fikiria awe Waziri wa Sanaa na Michezo huko (kama atapewa ubunge viti maalum$ unadhani atamstua nani tema hapa Dar?
 
hilo hatuna tatizo nalo ruksa kikatiba hata akipewa unaibu waziri mkuu!.
muhimu ujumbe umewafikia (mteuaji & mteuliwaji) kwamba jamaa hakubaliki kwa kukataliwa kwenye kura za wazi kbs!.

This is the main point mengine hayatuhusu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…