mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Ila katunyoosha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]tushafukuzwa sana kwenye mabar usiku yeye akizifungaDar es Salaama kumetulia sana Tangu Paul aondoke ofisini.
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila katunyoosha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]tushafukuzwa sana kwenye mabar usiku yeye akizifungaDar es Salaama kumetulia sana Tangu Paul aondoke ofisini.
"Kwenye mkoa wangu sitaki wazururaji"Kwa Sasa hana kz Dar ni mzururaji anatakiwa arudi kijijininhadi hapo atakapopangiwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na asije mjini kama hajaoga.
ILIKARABATIWA NA GSM BAADA YA KUOMBWA PERSONALLY NA BASHITE MWENYEWEMkuu:
Kwani alitengeneza kwa fedha zake.
Alikuwa kwenye maombolezo, madaraka matamu asikudanganye mtu. Jiwe mwenyewe huwa anasema angejua kazi ya urais nin ngumu kiasi hicho asingegombea, lakini bado yupo na amegombea tena na atakuwepo.Mbona imemchukua muda mrefu sana kukabidhi Ofisi?
ni mlezi wa WCBKwa Sasa hana kz Dar ni mzururaji anatakiwa arudi kijijininhadi hapo atakapopangiwa
Miaka minne SI imeshachakaa?Du ile ofisi ilitengenezwa kwa gharama kubwa kabla Makonda hajaanza kuitumia.
Huyu jamaa ni kiazi kweli, mtu anayekula raha duniani atokee huku kwa wala vumbi Afrika..Utumishi wa umma! Halafu mtu anaongoza kwa ku-enjoy maisha.
View attachment 1513496
Makonda bado analindwa sana nimemuona anakula uku KIGAMBONI walinzi wale anawalipa nini na anakula KIGAMBONI mgahawani?
Sample kz ya kusoma magazeti asbhni mlezi wa WCB
Anazidi kuudhihirishia umma upumbavu wake...[*Florah Mbasha* [emoji443][emoji443][emoji443]Jipe moyo[emoji443][emoji443][emoji443]]
Hata akiwa RAIS wa chato hamna shida...Wekeni akiba ya maneno ili msijepatwa na kiharusi pale mtapoona makonda anatumikia nafasi kubwa zaidi ya u RC mapema baada ya October. Nawatahadharisha!