Paul Makonda: Kuna makundi matano yanataka kuniua, likiwemo wanaotafuta kulipa kisasi kwa Wasaidizi wa Magufuli

Paul Makonda: Kuna makundi matano yanataka kuniua, likiwemo wanaotafuta kulipa kisasi kwa Wasaidizi wa Magufuli

Makonda kaa Kimia, wewe ni unyama GANI umewatendea watz ? Mpaka kupigwa burn na USA, siku Sabaya anaanza lalamika nilisema namfuta katika ulimwengu wa kiroho kuanzia nywele mpaka unyayo na wewe nakwambia fungal siku 21 na tubu mbele za Mungu ,uza mali zote ambazo unajua hukupata kihalali na Iyo pesa wapatie watu wenye huitaji , vinginevyo Dunia utaiyona chungu ,

Mkuu usiende mbali hivyo..kufungana kiroho tena?🙄🙄🙄🙄🤣
 
Pole sana Makonda.

Hii nchi watu washazoea kula vya kupiga. Sasa hivi watu wametulia wanakula tu milungula na wametulia tuli. Wanasiasa nao wanapata pesa nzuri toka huko serikalini ili kupunguza joto la ushindani. Siasa za Bongo haziendi bila unafiki.

Ila utafaulu huu mtihani.

Huyo Makonda hatakiwi kuuwawa bali anatakiwa avunjwe miguu yote, au atobolewe macho, kisha aachwe kupata muda wa kurejea uovu wake hapa nchini. Hakuna mradi wowote aliojenga kwa mshahara wake hivyo asitafute kichaka cha kujifichia. Amtoe BenSaa8 au aonyeshe kaburi lake, na ataje wenzake walioshirikiana kutaka kumuua Lisu.
 
Je tuamini hayo makundi yote matano yanamuonea? Na kwani aonewe yeye na sio wengine waliokuwa chawa wa mwendazake? Ukimtoa sabaya ambae mpaka sasa haamini kinachomtokea kikweli (bolo young aliwahi kusema you are next)
 
Kabla hujauliwa, tunaomba utuoneshe ni wapi mlipomzika Ben Saanane?

Kwani Keagan kashaanza hata Baby Class?

Weka wosia mapema uzikwe wapi? Kolomije au Kinondoni
Keagan anahusika vp hapo na makosa ya babaake.
Nyie ndo mnaitwaga manyani mnakataa.
 
Pole sana Makonda.

Hii nchi watu washazoea kula vya kupiga. Sasa hivi watu wametulia wanakula tu milungula na wametulia tuli. Wanasiasa nao wanapata pesa nzuri toka huko serikalini ili kupunguza joto la ushindani. Siasa za Bongo haziendi bila unafiki.

Ila utafaulu huu mtihani.
Acha kumdanganya,unamwambia "nchi hii watu wamezoea kula vya kupiga..." Lakini unasahau hiyo habari ya kupiga, yeye mwenyewe anaijua vizuri sana, aliitumia vibaya nafasi yake pengine zaidi ya mwingine yeyote, wakawanyanyasa waliotoa "maoni tofauti na " mungu" wao, wakatamka wazi wazi kwamba wanayo mamlaka ya kuondoa uhai wa yeyote atakayempinga "mungu" wao, haya sasa Mungu sio babu yao, "mungu" wao anaoza mdogo mdogo huko Tocha, wao wanalalamika na kutia huruma kutafuta kusaidiwa na wananchi!

Bahati mbaya sana, wananchi mnaowalilia leo hamkuwahi kuona umuhimu wao, ndiyo maana hata kura zao mlizipuuza, mkafanya mipango ya kutaka kutawala "milele" haya sasa kiko wapi? Kiko wapi?, twambie hapa, kiko wapi?????

Jifunzeni kuheshimu watu mnapokuwa na madaraka makubwa, kwani bila watu nyie Hanna maisha, tendeni haki mtaheshimiwa, lakini kwa style za kuwafanya wengine ng'ombe ila nyie tu ndiyo binadamu, hakika mtapiga sana kelele, lakini mwisho wa siku hakuna atakayewahurumia, tena Makonda hukumu yake na ipite tu...aonje ladha ya aliyowatendea wengine tena wasio na hatia...
 
Nahisi CHADEMA hawana baya na mtu sema ni ujinga ujinga wao tu wa kutoweza kujenga hoja zao vizuri. Nimeshangaa fedhuli Bashite kwenye list ya maadui zake hajataja chama cha Mboye.
 
Aliyekuwa RC wa Dar es salaam, Paul Makonda anasema kuna makundi matano yanamuwinda ili kumuua.

Ameandika hayo kupitua ukurasa wake wa Instagram na kusema Makundi hayo ni pamoja na Wauza Madawa ya kulevya, mashoga nk

Ameandika “
Nafahamu kuna mkakati unaoratibiwa na Makundi 5 kuangamiza maisha yangu.

1) WAUZA MADAWA YA KULEVYA
2)WANUFAIKA NA MADAWA YA KULEVYA
3) MASHOGA
4)WANAOKESHA USIKU KUCHA KUTAFUTA KULIPA KISASI KWA WASAIDIZI WA DR MAGUFULI.
5) WALIOWAHI KUWA SEHEMU YA ……. Nafahamu pia juu ya mbinu zinazoandaliwa ili kuniuwa kwa faida ya familia zao pamoja na kutengeneza mashaidi wa uongo ili mnipe kesi ya uhujumu uchumi.

Mambo mawili najiuliza

1)PAMOJA NA KAZI ZOTE NZURI NILIZOZIFANYA KWA CHAMA CHANGU,SERIKALI YANGU NA WANANCHI WA DAR HAYA NDIYO MALIPO YAKE?

2)Hakika ukiwa mtumishi mwaminifu unaetetea haki za wanyonge tena ukitokea kwenye familia masikini haya ndiyo malipo yake ?

MTU aliejemga hospital , aliejenga ofc cha CCM, Magari ya police 👮‍♀️, ofc za Walimu, vituo vya police, shule za secondary mpaka na msingi, kutibu wagonjwa mpaka Meli kuja Tanzania,kuhudumia Makundi mbali mbali mpaka kuiunganisha Serikali na Viongozi wa Dini. leo hii naonekana eti natakiwa kunyongwa.

Pamoja na kwamba lipo kundi kwenye mitandao linalolipwa ili kuwaanda watanzania pale watakapo nikamata ionekane ni sawa. Hakika ipo siku Walemavu, yatima, wajane na waliotamani watoto WAO wasife kwa MADAWA ya KULEVYA SAUTI ZAO ZITASIKIKA.

#Ukiona maji yametulia jua kina nikilefu.”

13.05.2020 nilipost ukiuwa kwa upanga juwa utakufa kwa upanga sisi tutabaki kuwa mashahidi. Huwitaji kuhaha mtoto wa mfalme kama hakuna jinai ulifanya kwa jina lajamuhuri basi utaishi. Ila kama uliuwa upate sifa basi stay tune... Utauwona usiku kama mwaka mmoja...
 
Nasema hayo makundi yamechelewa sanaa ila Mungu wetu halali atakuunganisha na mwendazake kea njia rahisi usifu alipo baba ndipo utakuwepo
 
KKa
Wote mnao mponda makonda ata nanyie mngekua katika nafasi yake mngefanya Yale Yale alio yafanya I mean life is a death race u can't be a King without killing some people .. uwezi kufanya kazi yakudhibiti madawa ya kulevvya bila kuumiza bahadhi ya watu .. kubali ukatae that's the facts .. makonda did the greatest job despite of some personal weaknesses ..

Ata Sasa kuna watu bado wana nyanyasika wanauliwa wanadhurumika vile vile mmesaau ya Hamza ? Kudhurumiwa na polisi adi kuingia mtaani na mtutu ?

Ata mungu aliagiza baadhi ya wafalme na wakuu wa jeshi kuwauwa watu fulani au jamii fulani ili kulinda ufalme ..

Even in life u have to cut off some people so that u can move forward .

Just look at this time .. raisi samia anachokifanya .. she just tryna cut off people faith on magufuli Ili kujiakikishia wapiga kura 2025 according to her speech alisikika akisema zamani kulikua na nidham ya uwoga maana tulikua na Simba wayuda anae rarua hii Ni kauli yaki snitch mnoo but all in all siwezi kumchukia kwakua najua Ni njia yakulinda uwongozi wake usionekane Ni dhaifu dhidi ya uwongozi uliopita ..


wengiwenu bado vijana Kama Mimi ila mkiwauliza ma Babu zenu watawambia jinsi mwalimu nyerere alivyo kua ndio rais alieogopwa Zaid nchini ata magufuli aeziona ndani ..

Come on guys uraisi Ni power rais inatakiwa uwe na uzito fulani ukifika mahali watu wajue Kuna eagle yupo apa tazama magufuli alivyokua akifika ata nchi jirani Kama Kenya angalia speech zake linganisha na speech za nyerere ndio maraisi ambao walikua na speech zinazoeleweka na zenye uzito na amasa ..

Sisemi kwamba awakukosea maali .. .

Makonda needs some respect from y'all acheni kumnanga .. soko la karume kwa Sasa Ni sodoma part 2 lakini Nani anaongelea ilo ?

Ambao wako kwenye nafasi ya makonda wamesha fanya makubwa Kama yeye ? Am out ..
Kafe nae huko
 
Aliyekuwa RC wa Dar es salaam, Paul Makonda anasema kuna makundi matano yanamuwinda ili kumuua.

Ameandika hayo kupitua ukurasa wake wa Instagram na kusema Makundi hayo ni pamoja na Wauza Madawa ya kulevya, mashoga nk

Ameandika “
Nafahamu kuna mkakati unaoratibiwa na Makundi 5 kuangamiza maisha yangu.

1) WAUZA MADAWA YA KULEVYA
2)WANUFAIKA NA MADAWA YA KULEVYA
3) MASHOGA
4)WANAOKESHA USIKU KUCHA KUTAFUTA KULIPA KISASI KWA WASAIDIZI WA DR MAGUFULI.
5) WALIOWAHI KUWA SEHEMU YA ……. Nafahamu pia juu ya mbinu zinazoandaliwa ili kuniuwa kwa faida ya familia zao pamoja na kutengeneza mashaidi wa uongo ili mnipe kesi ya uhujumu uchumi.

Mambo mawili najiuliza

1)PAMOJA NA KAZI ZOTE NZURI NILIZOZIFANYA KWA CHAMA CHANGU,SERIKALI YANGU NA WANANCHI WA DAR HAYA NDIYO MALIPO YAKE?

2)Hakika ukiwa mtumishi mwaminifu unaetetea haki za wanyonge tena ukitokea kwenye familia masikini haya ndiyo malipo yake ?

MTU aliejemga hospital , aliejenga ofc cha CCM, Magari ya police 👮‍♀️, ofc za Walimu, vituo vya police, shule za secondary mpaka na msingi, kutibu wagonjwa mpaka Meli kuja Tanzania,kuhudumia Makundi mbali mbali mpaka kuiunganisha Serikali na Viongozi wa Dini. leo hii naonekana eti natakiwa kunyongwa.

Pamoja na kwamba lipo kundi kwenye mitandao linalolipwa ili kuwaanda watanzania pale watakapo nikamata ionekane ni sawa. Hakika ipo siku Walemavu, yatima, wajane na waliotamani watoto WAO wasife kwa MADAWA ya KULEVYA SAUTI ZAO ZITASIKIKA.

#Ukiona maji yametulia jua kina nikilefu.”

Du! Kale kamsemo mwinda uwindwa kanataka kutimia. Makonda jiulize kwanini huwe wewe tu unayefuatiliwa
 
Back
Top Bottom