Paul Makonda: Kuna makundi matano yanataka kuniua, likiwemo wanaotafuta kulipa kisasi kwa Wasaidizi wa Magufuli

Paul Makonda: Kuna makundi matano yanataka kuniua, likiwemo wanaotafuta kulipa kisasi kwa Wasaidizi wa Magufuli

"#ukiona maji yametulia ujue kina kilefu"
kuna mchezo wa karata unaitwa last card
 
Aliyekuwa RC wa Dar es salaam, Paul Makonda anasema kuna makundi matano yanamuwinda ili kumuua.

Ameandika hayo kupitua ukurasa wake wa Instagram na kusema Makundi hayo ni pamoja na Wauza Madawa ya kulevya, mashoga nk

Ameandika “
Nafahamu kuna mkakati unaoratibiwa na Makundi 5 kuangamiza maisha yangu.

1) WAUZA MADAWA YA KULEVYA
2)WANUFAIKA NA MADAWA YA KULEVYA
3) MASHOGA
4)WANAOKESHA USIKU KUCHA KUTAFUTA KULIPA KISASI KWA WASAIDIZI WA DR MAGUFULI.
5) WALIOWAHI KUWA SEHEMU YA ……. Nafahamu pia juu ya mbinu zinazoandaliwa ili kuniuwa kwa faida ya familia zao pamoja na kutengeneza mashaidi wa uongo ili mnipe kesi ya uhujumu uchumi.

Mambo mawili najiuliza

1)PAMOJA NA KAZI ZOTE NZURI NILIZOZIFANYA KWA CHAMA CHANGU,SERIKALI YANGU NA WANANCHI WA DAR HAYA NDIYO MALIPO YAKE?

2)Hakika ukiwa mtumishi mwaminifu unaetetea haki za wanyonge tena ukitokea kwenye familia masikini haya ndiyo malipo yake ?

MTU aliejemga hospital , aliejenga ofc cha CCM, Magari ya police [emoji1986], ofc za Walimu, vituo vya police, shule za secondary mpaka na msingi, kutibu wagonjwa mpaka Meli kuja Tanzania,kuhudumia Makundi mbali mbali mpaka kuiunganisha Serikali na Viongozi wa Dini. leo hii naonekana eti natakiwa kunyongwa.

Pamoja na kwamba lipo kundi kwenye mitandao linalolipwa ili kuwaanda watanzania pale watakapo nikamata ionekane ni sawa. Hakika ipo siku Walemavu, yatima, wajane na waliotamani watoto WAO wasife kwa MADAWA ya KULEVYA SAUTI ZAO ZITASIKIKA.

#Ukiona maji yametulia jua kina nikilefu.”

 
Aliyekuwa RC wa Dar es salaam, Paul Makonda anasema kuna makundi matano yanamuwinda ili kumuua.

Ameandika hayo kupitua ukurasa wake wa Instagram na kusema Makundi hayo ni pamoja na Wauza Madawa ya kulevya, mashoga nk

Ameandika “
Nafahamu kuna mkakati unaoratibiwa na Makundi 5 kuangamiza maisha yangu.

1) WAUZA MADAWA YA KULEVYA
2)WANUFAIKA NA MADAWA YA KULEVYA
3) MASHOGA
4)WANAOKESHA USIKU KUCHA KUTAFUTA KULIPA KISASI KWA WASAIDIZI WA DR MAGUFULI.
5) WALIOWAHI KUWA SEHEMU YA ……. Nafahamu pia juu ya mbinu zinazoandaliwa ili kuniuwa kwa faida ya familia zao pamoja na kutengeneza mashaidi wa uongo ili mnipe kesi ya uhujumu uchumi.

Mambo mawili najiuliza

1)PAMOJA NA KAZI ZOTE NZURI NILIZOZIFANYA KWA CHAMA CHANGU,SERIKALI YANGU NA WANANCHI WA DAR HAYA NDIYO MALIPO YAKE?

2)Hakika ukiwa mtumishi mwaminifu unaetetea haki za wanyonge tena ukitokea kwenye familia masikini haya ndiyo malipo yake ?

MTU aliejemga hospital , aliejenga ofc cha CCM, Magari ya police [emoji1986], ofc za Walimu, vituo vya police, shule za secondary mpaka na msingi, kutibu wagonjwa mpaka Meli kuja Tanzania,kuhudumia Makundi mbali mbali mpaka kuiunganisha Serikali na Viongozi wa Dini. leo hii naonekana eti natakiwa kunyongwa.

Pamoja na kwamba lipo kundi kwenye mitandao linalolipwa ili kuwaanda watanzania pale watakapo nikamata ionekane ni sawa. Hakika ipo siku Walemavu, yatima, wajane na waliotamani watoto WAO wasife kwa MADAWA ya KULEVYA SAUTI ZAO ZITASIKIKA.

#Ukiona maji yametulia jua kina nikilefu.”

NASEMA WAZI.
"HAKUNA MTANZANIA ANAYEKULA RAHA KAMA MIMI ! HAKUNA.",
Hayo tu! Mpoo!.

Sent from my SM-A115AZ using JamiiForums mobile app
 
Wote mnao mponda makonda ata nanyie mngekua katika nafasi yake mngefanya Yale Yale alio yafanya I mean life is a death race u can't be a King without killing some people .. uwezi kufanya kazi yakudhibiti madawa ya kulevvya bila kuumiza bahadhi ya watu .. kubali ukatae that's the facts .. makonda did the greatest job despite of some personal weaknesses ..

Ata Sasa kuna watu bado wana nyanyasika wanauliwa wanadhurumika vile vile mmesaau ya Hamza ? Kudhurumiwa na polisi adi kuingia mtaani na mtutu ?

Ata mungu aliagiza baadhi ya wafalme na wakuu wa jeshi kuwauwa watu fulani au jamii fulani ili kulinda ufalme ..

Even in life u have to cut off some people so that u can move forward .

Just look at this time .. raisi samia anachokifanya .. she just tryna cut off people faith on magufuli Ili kujiakikishia wapiga kura 2025 according to her speech alisikika akisema zamani kulikua na nidham ya uwoga maana tulikua na Simba wayuda anae rarua hii Ni kauli yaki snitch mnoo but all in all siwezi kumchukia kwakua najua Ni njia yakulinda uwongozi wake usionekane Ni dhaifu dhidi ya uwongozi uliopita ..


wengiwenu bado vijana Kama Mimi ila mkiwauliza ma Babu zenu watawambia jinsi mwalimu nyerere alivyo kua ndio rais alieogopwa Zaid nchini ata magufuli aeziona ndani ..

Come on guys uraisi Ni power rais inatakiwa uwe na uzito fulani ukifika mahali watu wajue Kuna eagle yupo apa tazama magufuli alivyokua akifika ata nchi jirani Kama Kenya angalia speech zake linganisha na speech za nyerere ndio maraisi ambao walikua na speech zinazoeleweka na zenye uzito na amasa ..

Sisemi kwamba awakukosea maali .. .

Makonda needs some respect from y'all acheni kumnanga .. soko la karume kwa Sasa Ni sodoma part 2 lakini Nani anaongelea ilo ?

Ambao wako kwenye nafasi ya makonda wamesha fanya makubwa Kama yeye ? Am out ..
Unajielezea sana.
 
Kama anaogopa kweli basi atafute nchi ya kuhamia kama mkimbizi. Hii nchi inaelekea kuwa kama Pakistan, watu wanalipizana visasi kila kukicha.
 
20220411_211858.jpg

Moja kati ya majibu ya Tuco alikuwa akimwambia blondie kwenye the good, the bad & the ugly. Sasa hii ndo angemwambia makonda
 
Makonda kaa Kimia, wewe ni unyama GANI umewatendea watz ? Mpaka kupigwa burn na USA, siku Sabaya anaanza lalamika nilisema namfuta katika ulimwengu wa kiroho kuanzia nywele mpaka unyayo na wewe nakwambia fungal siku 21 na tubu mbele za Mungu ,uza mali zote ambazo unajua hukupata kihalali na Iyo pesa wapatie watu wenye huitaji , vinginevyo Dunia utaiyona chungu ,

Aliyekuwa RC wa Dar es salaam, Paul Makonda anasema kuna makundi matano yanamuwinda ili kumuua.

Ameandika hayo kupitua ukurasa wake wa Instagram na kusema Makundi hayo ni pamoja na Wauza Madawa ya kulevya, mashoga nk

Ameandika “
Nafahamu kuna mkakati unaoratibiwa na Makundi 5 kuangamiza maisha yangu.

1) WAUZA MADAWA YA KULEVYA
2)WANUFAIKA NA MADAWA YA KULEVYA
3) MASHOGA
4)WANAOKESHA USIKU KUCHA KUTAFUTA KULIPA KISASI KWA WASAIDIZI WA DR MAGUFULI.
5) WALIOWAHI KUWA SEHEMU YA ……. Nafahamu pia juu ya mbinu zinazoandaliwa ili kuniuwa kwa faida ya familia zao pamoja na kutengeneza mashaidi wa uongo ili mnipe kesi ya uhujumu uchumi.

Mambo mawili najiuliza

1)PAMOJA NA KAZI ZOTE NZURI NILIZOZIFANYA KWA CHAMA CHANGU,SERIKALI YANGU NA WANANCHI WA DAR HAYA NDIYO MALIPO YAKE?

2)Hakika ukiwa mtumishi mwaminifu unaetetea haki za wanyonge tena ukitokea kwenye familia masikini haya ndiyo malipo yake ?

MTU aliejemga hospital , aliejenga ofc cha CCM, Magari ya police 👮‍♀️, ofc za Walimu, vituo vya police, shule za secondary mpaka na msingi, kutibu wagonjwa mpaka Meli kuja Tanzania,kuhudumia Makundi mbali mbali mpaka kuiunganisha Serikali na Viongozi wa Dini. leo hii naonekana eti natakiwa kunyongwa.

Pamoja na kwamba lipo kundi kwenye mitandao linalolipwa ili kuwaanda watanzania pale watakapo nikamata ionekane ni sawa. Hakika ipo siku Walemavu, yatima, wajane na waliotamani watoto WAO wasife kwa MADAWA ya KULEVYA SAUTI ZAO ZITASIKIKA.

#Ukiona maji yametulia jua kina nikilefu.”

 
Aliyekuwa RC wa Dar es salaam, Paul Makonda anasema kuna makundi matano yanamuwinda ili kumuua.

Ameandika hayo kupitua ukurasa wake wa Instagram na kusema Makundi hayo ni pamoja na Wauza Madawa ya kulevya, mashoga nk

Ameandika “
Nafahamu kuna mkakati unaoratibiwa na Makundi 5 kuangamiza maisha yangu.

1) WAUZA MADAWA YA KULEVYA
2)WANUFAIKA NA MADAWA YA KULEVYA
3) MASHOGA
4)WANAOKESHA USIKU KUCHA KUTAFUTA KULIPA KISASI KWA WASAIDIZI WA DR MAGUFULI.
5) WALIOWAHI KUWA SEHEMU YA ……. Nafahamu pia juu ya mbinu zinazoandaliwa ili kuniuwa kwa faida ya familia zao pamoja na kutengeneza mashaidi wa uongo ili mnipe kesi ya uhujumu uchumi.

Mambo mawili najiuliza

1)PAMOJA NA KAZI ZOTE NZURI NILIZOZIFANYA KWA CHAMA CHANGU,SERIKALI YANGU NA WANANCHI WA DAR HAYA NDIYO MALIPO YAKE?

2)Hakika ukiwa mtumishi mwaminifu unaetetea haki za wanyonge tena ukitokea kwenye familia masikini haya ndiyo malipo yake ?

MTU aliejemga hospital , aliejenga ofc cha CCM, Magari ya police 👮‍♀️, ofc za Walimu, vituo vya police, shule za secondary mpaka na msingi, kutibu wagonjwa mpaka Meli kuja Tanzania,kuhudumia Makundi mbali mbali mpaka kuiunganisha Serikali na Viongozi wa Dini. leo hii naonekana eti natakiwa kunyongwa.

Pamoja na kwamba lipo kundi kwenye mitandao linalolipwa ili kuwaanda watanzania pale watakapo nikamata ionekane ni sawa. Hakika ipo siku Walemavu, yatima, wajane na waliotamani watoto WAO wasife kwa MADAWA ya KULEVYA SAUTI ZAO ZITASIKIKA.

#Ukiona maji yametulia jua kina nikilefu.”

Amewasahau wafia Tindiliso
 
Yaani binadamu, ameshasahau alivyokuwa anabambika watu kesi na kuwalaza ndani kama mbwa wake, kumbe muoga wa kutupwa, aendelee na ujasiri wake akapambane na jela. Pale clouds alipoingia na mabunduki so alijiandaa kuua? Kumbe yeye anaogopa kifo?
Manara pia juzi alisema Paul alimsweka ndani masaa 48 jela
 
Zingekuwa hizi ni zile enzi wa binadamu washenzi barbarians, Makonda angekamatwa auliwe hadharani.

Hapo alipo anaishi kwa kudra tu. Sijui anapata wapi ujasiri wa kulalamika huko Instagram
 
Maisha yanaenda speed ya hypersonic missile...Brother ulishayakanyaga ilikuwa ni suala la muda tu.
Dj waleeeteee!..
 
Back
Top Bottom