Paul Makonda: Kuna makundi matano yanataka kuniua, likiwemo wanaotafuta kulipa kisasi kwa Wasaidizi wa Magufuli

Paul Makonda: Kuna makundi matano yanataka kuniua, likiwemo wanaotafuta kulipa kisasi kwa Wasaidizi wa Magufuli

Makonda anataka kuaminisha Dunia kuwa Marekani walikuwa ni waongo!🐒🐒🐒

16410254203540.jpg
 
Kesi ya uhujumu uchumi haitoshi apewe kesi ya ugaidi kabisa ahamishie makazi yake gerezani,mtu gani aliyekosa utu enzi za mwendazake waliishi kama wafalme wakasahau kuwa CCM ni ileile iliojaa sifa zote za ushetani.
 
Mtamuombea mabaya sana Makonda lakini hayatampata kamwe! Mwenyezi Mungu wa Isaka na Ibrahim atamhifadhi!

Nani anamuombea mabaya?. Yeye mwenyewe kalalamika anataka kuuwawa. Sasa mtu anataka kuuawa Nani anashida naye, aende polisi au asubiri auawe akazikwe maisha yaendelee. Kama alikuwa Magufuli aliyedhihaki wengine sembuse huyo tapeli asiyekuwa na faida.
 
Leo Bashite ndio amekuwa ametaka kumuua Lissu ? na yule jamaa humu mliyesema few weeks ago aliyemshambulia Lissu hausiki tena ?
Acheni kumsingizia Bashite,issue ya Lissu ni Jiwe ndiye alipayuka maneno ya kuashiria Lissu achapwe risasi.Taifa hili hatujui tunataka nini wewe ni kama wale jamaa humu asubuhi walikuwa wanawatetea TISS kwa kumnyanyasa dogo fulani
Hata kama tuseme basi Lissu shambio lake lilipangwa na Bashite nduo auwawe ? kwanini asipelekwe mahakamani ahukumiwe ?
Mbowe alibebeshwa kesi kihuni tukapiga kelele sana humu,leo mnashabikia na Bashite abebeshwe kesi which Means mnapenda haya mambo ya kubambikiana makesi
Narudia tena,Lissu damu yake kuna uwezekano mkubwa ilimwagika kwa sababu ya kauli ya jiwe,muacheni Bashite kwenye hili Mkuu

Tatizo Ni kwamba Bashite alikuwepo Dodoma siku Lissu anashambuliwa. Na haya kasema Lissu mwenyewe.
 
Mkuu wa Mkoa wa zamani wa Dar es salaam Paul Makonda amesema kuna mkakati unaoratibiwa na makundi matano kuangamiza maisha yake, ameandika haya kwenye Instagram yake.

FB_IMG_1649698191199.jpg
 
Aliyekuwa RC wa Dar es salaam, Paul Makonda anasema kuna makundi matano yanamuwinda ili kumuua.

Ameandika hayo kupitua ukurasa wake wa Instagram na kusema Makundi hayo ni pamoja na Wauza Madawa ya kulevya, mashoga nk

Ameandika “
Nafahamu kuna mkakati unaoratibiwa na Makundi 5 kuangamiza maisha yangu.

1) WAUZA MADAWA YA KULEVYA
2)WANUFAIKA NA MADAWA YA KULEVYA
3) MASHOGA
4)WANAOKESHA USIKU KUCHA KUTAFUTA KULIPA KISASI KWA WASAIDIZI WA DR MAGUFULI.
5) WALIOWAHI KUWA SEHEMU YA ……. Nafahamu pia juu ya mbinu zinazoandaliwa ili kuniuwa kwa faida ya familia zao pamoja na kutengeneza mashaidi wa uongo ili mnipe kesi ya uhujumu uchumi.

Mambo mawili najiuliza

1)PAMOJA NA KAZI ZOTE NZURI NILIZOZIFANYA KWA CHAMA CHANGU,SERIKALI YANGU NA WANANCHI WA DAR HAYA NDIYO MALIPO YAKE?

2)Hakika ukiwa mtumishi mwaminifu unaetetea haki za wanyonge tena ukitokea kwenye familia masikini haya ndiyo malipo yake ?

MTU aliejemga hospital , aliejenga ofc cha CCM, Magari ya police 👮‍♀️, ofc za Walimu, vituo vya police, shule za secondary mpaka na msingi, kutibu wagonjwa mpaka Meli kuja Tanzania,kuhudumia Makundi mbali mbali mpaka kuiunganisha Serikali na Viongozi wa Dini. leo hii naonekana eti natakiwa kunyongwa.

Pamoja na kwamba lipo kundi kwenye mitandao linalolipwa ili kuwaanda watanzania pale watakapo nikamata ionekane ni sawa. Hakika ipo siku Walemavu, yatima, wajane na waliotamani watoto WAO wasife kwa MADAWA ya KULEVYA SAUTI ZAO ZITASIKIKA.

#Ukiona maji yametulia jua kina nikilefu.”

Tatizo aliyafanya hayo kwa ujambazi,na aliyekuwa anamkingia kifua,na yeye alikuwa jambazi,sasa akae kimya asubili kunyolewa,yeye alifikiri Jiwe atadumu milele Madarakani?
 
paulo kafanya kazi kubwa kweli kulit3ngenezq jj la dar .yeyote atakayejidanganya kutaka kumdhuru au kumpachikia li kesi la kizandiki,Basi awe tayari kwenda Burundi forever!!
 
Eti mtu aliyejenga hospitali?

Useless kabisa, amejenga hospitali gani huyu na kwa pesa zipi kama sio kodi za watu??

By the way huyu alikua ni among of the state goons hakuna namna ya kujitoa.

US walifanya uchunguzi makini na wa kina ndio maana alizuiwa kuingia US sasa mjiulize mara ya mwisho US kumzuia mtanzania aliye kwenye nafasi za uongozi kuingia US ilikuwa lini mara ya mwisho.

Huyu hana mikono safi kama anavyofanya kutafuta huruma uzuri ni kuwa hata miaka haijapita mingi na rekodi za kielektroniki baadhi zipo.

Nchi ilishikwa na washamba ikapelekwa zama za mawe.
 
Pamoja na tofauti zilizopo.....

Komredi Paulo Makonda asihukumiwe kwa kazi alizozifanya akiwa chini ya UTAWALA WA AWAMU YA 5..........

Kama kiongozi wa zamani ana haki kupaza sauti dhidi ya HUJUMA zozote zilizo juu yake......

Kama taifa tuna mengi mno ya kufanya kwa ajili yetu watanzania na vizazi vyetu zaidi ya NONGWA za makundi ya kisiasa yasiyo na afya yoyote.......

Mwenyezi Mungu akulinde wewe na familia yako ndugu Paulo Makonda ,aaaamen aaaaamen aaaamen🙏

#Siempre JMT🙏
#Yetzer Hatov🙏
#Do Not Do Harm🙏

Makonda Hana hekima anarudi kosa la Sabaya. Umekosea kaa kimya, baadala ya kujimwabafy. Mbona halalamiki kukataliwa kigamboni na Wana CCM wenzake?.
 
paulo kafanya kazi kubwa kweli kulit3ngenezq jj la dar .yeyote atakayejidanganya kutaka kumdhuru au kumpachikia li kesi la kizandiki,Basi awe tayari kwenda Burundi forever!!

Alifanya kazi gani kubwa?. Kutafuta Kiki Ni kufanya kazi kubwa?. Burundi hamia mwenyewe. Watu wamevumilia tozo na Bei ya mafuta kupanda, ije huyo mpenda sifa na dharau ndio awafanye waaandamane. Huwajui Watanzania. Muulize Sabaya atakuambia, alienda mahakamani akakutana na kundi la Watu wanamzomea.
 
Aliyekuwa RC wa Dar es salaam, Paul Makonda anasema kuna makundi matano yanamuwinda ili kumuua.

Ameandika hayo kupitua ukurasa wake wa Instagram na kusema Makundi hayo ni pamoja na Wauza Madawa ya kulevya, mashoga nk

Ameandika “
Nafahamu kuna mkakati unaoratibiwa na Makundi 5 kuangamiza maisha yangu.

1) WAUZA MADAWA YA KULEVYA
2)WANUFAIKA NA MADAWA YA KULEVYA
3) MASHOGA
4)WANAOKESHA USIKU KUCHA KUTAFUTA KULIPA KISASI KWA WASAIDIZI WA DR MAGUFULI.
5) WALIOWAHI KUWA SEHEMU YA ……. Nafahamu pia juu ya mbinu zinazoandaliwa ili kuniuwa kwa faida ya familia zao pamoja na kutengeneza mashaidi wa uongo ili mnipe kesi ya uhujumu uchumi.

Mambo mawili najiuliza

1)PAMOJA NA KAZI ZOTE NZURI NILIZOZIFANYA KWA CHAMA CHANGU,SERIKALI YANGU NA WANANCHI WA DAR HAYA NDIYO MALIPO YAKE?

2)Hakika ukiwa mtumishi mwaminifu unaetetea haki za wanyonge tena ukitokea kwenye familia masikini haya ndiyo malipo yake ?

MTU aliejemga hospital , aliejenga ofc cha CCM, Magari ya police 👮‍♀️, ofc za Walimu, vituo vya police, shule za secondary mpaka na msingi, kutibu wagonjwa mpaka Meli kuja Tanzania,kuhudumia Makundi mbali mbali mpaka kuiunganisha Serikali na Viongozi wa Dini. leo hii naonekana eti natakiwa kunyongwa.

Pamoja na kwamba lipo kundi kwenye mitandao linalolipwa ili kuwaanda watanzania pale watakapo nikamata ionekane ni sawa. Hakika ipo siku Walemavu, yatima, wajane na waliotamani watoto WAO wasife kwa MADAWA ya KULEVYA SAUTI ZAO ZITASIKIKA.

#Ukiona maji yametulia jua kina nikilefu.”



Ujinga anatafuta huruma arudishe nyumba ya watu. Afanye kazi nani ana shida ya huyu looser🤔
 
Bashite ametonywa file lake la uhujumu uchumi liko mezani ndiyo ameanza kurusha miguu kama kuku aliyekatwa kichwa kwa kutoa defence za kitoto kama za sabaya.
Last kicks of a dying horse😂😂

Mr Zero ajiandae tu sisi sio vipofu ile video pale clouds ni matumizi mabaya ya ofisi we must condemn it.
 
Naona kaona maji yanakaribia shingoni, sasa anatafuta huruma ya jamii; aende Clouds akafanye press kama alivyofanya Sabaya 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom