Paul Makonda: Kuna makundi matano yanataka kuniua, likiwemo wanaotafuta kulipa kisasi kwa Wasaidizi wa Magufuli

Wauza madawa tunawajua.Huyu mzee na mwanawe kila siku wanatajwa.
 
Dua yako itamsaidia!!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mashoga mabaunsa wapo kwani hujui?
 
Mbona hata Sasa yanajengwa, si alilipwa mshahara au ukijenga ndio uwaue watu, kaua ruge, kateka kina roma, mo dewiji, kina risu umewatia marisasi na kile kikosi kazi, ufe tu jamani

huyu kiazi anasema amejenga shule na mahospitali .... foolish kabisa ... yaani hela ya walipa kodi ni yake ... puke
 
Nashangaa na mie hapa.
 
Bro anataka sympathy kwa vilema leo, kipindi anawaambia polisi wawachape pale Central hakujua haya yatatokea
 
Mshenzi mkubwa bashite
 
Vp mlioambiwa mtapimwa tezi dume mnachukua hatua gani?

Wale mlioambiwa mmetelekeza watoto vp?

Tuliombiwa hakuna kuja mjini kama hujaoga tumemsamehe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa huyu Mwamba itakuwaje wakati Pompeo huko alishaharibu. Potelea mbali jitihada za dawa za kulevya unastahili ulindwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…