Paul Makonda: Kuna makundi matano yanataka kuniua, likiwemo wanaotafuta kulipa kisasi kwa Wasaidizi wa Magufuli

Paul Makonda: Kuna makundi matano yanataka kuniua, likiwemo wanaotafuta kulipa kisasi kwa Wasaidizi wa Magufuli

Nilichoelewa kuhusu msemo wake wa ..... Usione maji yametulia ..... Kina kirefu, bi maana wasione ametulia. Anajua wanayopanga na hawatomuweza. Wakiingia kuogelea watazama
 
Miye kwenye kundi namba #5 hizo ......... ndiyo nataka kujua ni akina nani?
 
Aliyekuwa RC wa Dar es salaam, Paul Makonda anasema kuna makundi matano yanamuwinda ili kumuua.

Ameandika hayo kupitua ukurasa wake wa Instagram na kusema Makundi hayo ni pamoja na Wauza Madawa ya kulevya, mashoga nk

Ameandika “
Nafahamu kuna mkakati unaoratibiwa na Makundi 5 kuangamiza maisha yangu.

1) WAUZA MADAWA YA KULEVYA
2)WANUFAIKA NA MADAWA YA KULEVYA
3) MASHOGA
4)WANAOKESHA USIKU KUCHA KUTAFUTA KULIPA KISASI KWA WASAIDIZI WA DR MAGUFULI.
5) WALIOWAHI KUWA SEHEMU YA ……. Nafahamu pia juu ya mbinu zinazoandaliwa ili kuniuwa kwa faida ya familia zao pamoja na kutengeneza mashaidi wa uongo ili mnipe kesi ya uhujumu uchumi.

Mambo mawili najiuliza

1)PAMOJA NA KAZI ZOTE NZURI NILIZOZIFANYA KWA CHAMA CHANGU,SERIKALI YANGU NA WANANCHI WA DAR HAYA NDIYO MALIPO YAKE?

2)Hakika ukiwa mtumishi mwaminifu unaetetea haki za wanyonge tena ukitokea kwenye familia masikini haya ndiyo malipo yake ?

MTU aliejemga hospital , aliejenga ofc cha CCM, Magari ya police 👮‍♀️, ofc za Walimu, vituo vya police, shule za secondary mpaka na msingi, kutibu wagonjwa mpaka Meli kuja Tanzania,kuhudumia Makundi mbali mbali mpaka kuiunganisha Serikali na Viongozi wa Dini. leo hii naonekana eti natakiwa kunyongwa.

Pamoja na kwamba lipo kundi kwenye mitandao linalolipwa ili kuwaanda watanzania pale watakapo nikamata ionekane ni sawa. Hakika ipo siku Walemavu, yatima, wajane na waliotamani watoto WAO wasife kwa MADAWA ya KULEVYA SAUTI ZAO ZITASIKIKA.

#Ukiona maji yametulia jua kina nikilefu.”

Let us spill the beans on this weakleaks.

Lazima afikshwe kwenye vyombo vya dola ili kila mmoja wetu atambue kwamba cheo ni dhamana na unyama kwa binadamu haufai. Kila baya alilofanya kama lipo lienikwe kweupe kama ilivyokuwa kwa Sabaya. Utaratibu huu utatusaidia kuondoa uongozi wa kidhalimu ndani ya jamii yetu.

Maswahili muhimu ya kujibu kabla ya kumuadhibu mtuhumiwa huyu:

  1. Je tetesi za kwenye mitandao za Makonda kushikiriki kumdhuru Lissu ni za kweli au anasingiziwa?
  2. Je na hili la kujitajirisha kwa kasi kwa kusigina haki za watu ni la kweli?
  3. Je lile sakata la kuvamia clouds FM ni la kweli au lilitengezwa ili kumchafua yaani zile zilukuwa photoshop au alikuwa Makondo?
  4. Ukaguzi maalum wa mali anazo miliki Makonda: mashamba, viwanja, nyumba, na magari kuhakiki iwapo umiliki wake unaendana na biashara zake na ikiwezekana ijulikane mtaji alipata wapi na lini?.
  5. Baada ya hapo ushabiki uwekwe mbali na Makonda awajibishwe kwa mujibu wa taratibu. Asionewe wala kupendelewa. Tumeamua kuimarisha haki kwenye jamii yetu naye atendewe haki bila kulipa kisasi.
  6. Tukikumbatia ulipaji kisasi tuta kuza madonda ndugu kwenye jamii yetu.
 
Pole sana Makonda.

Hii nchi watu washazoea kula vya kupiga. Sasa hivi watu wametulia wanakula tu milungula na wametulia tuli. Wanasiasa nao wanapata pesa nzuri toka huko serikalini ili kupunguza joto la ushindani. Siasa za Bongo haziendi bila unafiki.

Ila utafaulu huu mtihani.
Hata aibie majibu mtihani huu hawezi kufaulu why? Kwa sababu alibugi big time. Kwenye politics, hasa vijana ambao anafukuzia good future, fanya mambo kwa kipimo/kwa akiba. Unaowaona akina Nape, makamba Jr, Antony Mtaka etc kama wangefanya kazi kwa staili ya Makonda au Sabaya au yule Happy Leo wasingekuws pale.
 
Aliyekuwa RC wa Dar es salaam, Paul Makonda anasema kuna makundi matano yanamuwinda ili kumuua.

Ameandika hayo kupitua ukurasa wake wa Instagram na kusema Makundi hayo ni pamoja na Wauza Madawa ya kulevya, mashoga nk

Ameandika “
Nafahamu kuna mkakati unaoratibiwa na Makundi 5 kuangamiza maisha yangu.

1) WAUZA MADAWA YA KULEVYA
2)WANUFAIKA NA MADAWA YA KULEVYA
3) MASHOGA
4)WANAOKESHA USIKU KUCHA KUTAFUTA KULIPA KISASI KWA WASAIDIZI WA DR MAGUFULI.
5) WALIOWAHI KUWA SEHEMU YA ……. Nafahamu pia juu ya mbinu zinazoandaliwa ili kuniuwa kwa faida ya familia zao pamoja na kutengeneza mashaidi wa uongo ili mnipe kesi ya uhujumu uchumi.

Mambo mawili najiuliza

1)PAMOJA NA KAZI ZOTE NZURI NILIZOZIFANYA KWA CHAMA CHANGU,SERIKALI YANGU NA WANANCHI WA DAR HAYA NDIYO MALIPO YAKE?

2)Hakika ukiwa mtumishi mwaminifu unaetetea haki za wanyonge tena ukitokea kwenye familia masikini haya ndiyo malipo yake ?

MTU aliejemga hospital , aliejenga ofc cha CCM, Magari ya police 👮‍♀️, ofc za Walimu, vituo vya police, shule za secondary mpaka na msingi, kutibu wagonjwa mpaka Meli kuja Tanzania,kuhudumia Makundi mbali mbali mpaka kuiunganisha Serikali na Viongozi wa Dini. leo hii naonekana eti natakiwa kunyongwa.

Pamoja na kwamba lipo kundi kwenye mitandao linalolipwa ili kuwaanda watanzania pale watakapo nikamata ionekane ni sawa. Hakika ipo siku Walemavu, yatima, wajane na waliotamani watoto WAO wasife kwa MADAWA ya KULEVYA SAUTI ZAO ZITASIKIKA.

#Ukiona maji yametulia jua kina nikilefu.”

Kwenye hili genge la wahuni na majizi, hawashindwi kufanya chochote. Mtangulize mungu mbele utashinda bila shaka.
 
Wewe makonda ulijisahau Sanaaa kipindi Cha yule raisi wako, u were untouchable tulia watu wakushughulikie
 
Aliyekuwa RC wa Dar es salaam, Paul Makonda anasema kuna makundi matano yanamuwinda ili kumuua.

Ameandika hayo kupitua ukurasa wake wa Instagram na kusema Makundi hayo ni pamoja na Wauza Madawa ya kulevya, mashoga nk

Ameandika “
Nafahamu kuna mkakati unaoratibiwa na Makundi 5 kuangamiza maisha yangu.

1) WAUZA MADAWA YA KULEVYA
2)WANUFAIKA NA MADAWA YA KULEVYA
3) MASHOGA
4)WANAOKESHA USIKU KUCHA KUTAFUTA KULIPA KISASI KWA WASAIDIZI WA DR MAGUFULI.
5) WALIOWAHI KUWA SEHEMU YA ……. Nafahamu pia juu ya mbinu zinazoandaliwa ili kuniuwa kwa faida ya familia zao pamoja na kutengeneza mashaidi wa uongo ili mnipe kesi ya uhujumu uchumi.

Mambo mawili najiuliza

1)PAMOJA NA KAZI ZOTE NZURI NILIZOZIFANYA KWA CHAMA CHANGU,SERIKALI YANGU NA WANANCHI WA DAR HAYA NDIYO MALIPO YAKE?

2)Hakika ukiwa mtumishi mwaminifu unaetetea haki za wanyonge tena ukitokea kwenye familia masikini haya ndiyo malipo yake ?

MTU aliejemga hospital , aliejenga ofc cha CCM, Magari ya police [emoji1986], ofc za Walimu, vituo vya police, shule za secondary mpaka na msingi, kutibu wagonjwa mpaka Meli kuja Tanzania,kuhudumia Makundi mbali mbali mpaka kuiunganisha Serikali na Viongozi wa Dini. leo hii naonekana eti natakiwa kunyongwa.

Pamoja na kwamba lipo kundi kwenye mitandao linalolipwa ili kuwaanda watanzania pale watakapo nikamata ionekane ni sawa. Hakika ipo siku Walemavu, yatima, wajane na waliotamani watoto WAO wasife kwa MADAWA ya KULEVYA SAUTI ZAO ZITASIKIKA.

#Ukiona maji yametulia jua kina nikilefu.”

Si akatoe ripoti polisi then atulie tuli polisi wafanye kazi yao, mpaka ameorodhesha makundi ina maana anawafahamu.

Kwa kumbukumbu tu:Yeye ni mmoja ya wale waliodhihaki pale Lissu alipolalamika kuwindwa, kufuatiliwa(huku akiwapa polisi mpaka namba za gari linalomfuatilia) na kutaka kuuawa.

Karma is real, apambane na hali yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo Bashite ndio amekuwa ametaka kumuua Lissu ? na yule jamaa humu mliyesema few weeks ago aliyemshambulia Lissu hausiki tena ?
Acheni kumsingizia Bashite,issue ya Lissu ni Jiwe ndiye alipayuka maneno ya kuashiria Lissu achapwe risasi.Taifa hili hatujui tunataka nini wewe ni kama wale jamaa humu asubuhi walikuwa wanawatetea TISS kwa kumnyanyasa dogo fulani
Hata kama tuseme basi Lissu shambio lake lilipangwa na Bashite nduo auwawe ? kwanini asipelekwe mahakamani ahukumiwe ?
Mbowe alibebeshwa kesi kihuni tukapiga kelele sana humu,leo mnashabikia na Bashite abebeshwe kesi which Means mnapenda haya mambo ya kubambikiana makesi
Narudia tena,Lissu damu yake kuna uwezekano mkubwa ilimwagika kwa sababu ya kauli ya jiwe,muacheni Bashite kwenye hili Mkuu
Hakuna Press ambayo Jiwe alifanya Dar then Makonda asishiriki! Press zote Makonda alikuwa front row kasoro Press ya siku ambayo Lissu alipigwa risasi.

Ana Alibi kwamba hiyo siku alionekana mahali fulani sasa kwanini watu wasikuhusishe? Ni kwa vile tu nchi yetu haifati sheria, ila angekamatwa athibitishe alikuwa wapi huo muda Lissu anachapwa risasi
 
Nilichoelewa kuhusu msemo wake wa ..... Usione maji yametulia ..... Kina kirefu, bi maana wasione ametulia. Anajua wanayopanga na hawatomuweza. Wakiingia kuogelea watazama
Inatafakarisha. Huyu bwana anatuhumiwa kumiliki mali nyingi sana zisizowiana na kipato chake; lakini pamoja na kelele nyingi zinazopigwa na wananchi serikali haitaki kusikia.

Mahakamani ndio sehemu stahiki kutoa utetezi wake. Awahishwe huko kama alivyowahishwa Sabaya.

Kama kweli kuna watu wanapanga kuutoa uhai wake, watu hao watakuwa waovu zaidi yake wanaokusudia kufunika uovu wao.
 
Back
Top Bottom