Paul Makonda: Kuna makundi matano yanataka kuniua, likiwemo wanaotafuta kulipa kisasi kwa Wasaidizi wa Magufuli

Alimpondaga mzee kinana ila juzi akamsifia tena unafiki utaua vijana wachumia tumbo
Asimsifiee mchezo mwenzio Makonda ngoma ngumuu watu wanataka Kummaliza Bashite .. mwenziw sabaya yupo ndani anakula maharage!
 
Daima Mungu huwa analipa hapa hapa duniani.

Kama ulifanya mema atakulipa mema na kama ulitenda ya kumchukiza Mungu basi anakutandika hapa hapa duniani.
 
Bilionea mwenzake ni Sabaya
 
kile kiburi cha midarubini kimemuisha mxiiieeeeeeeeewwwww😏😏😏 hakujua magu ndo alimpa huo mkate na kwakummaliza kinafki alijua atakuwa juu zaidi kumbe ndo anguko lake la,milele linaanza sasa.
 
Asimsifiee mchezo mwenzio Makonda ngoma ngumuu watu wanataka Kummaliza Bashite .. mwenziw sabaya yupo ndani anakula maharage!
Chakumshauli makonda aende tena mahamani kuchukua jina lake halali lamwanzo Daudi Albert bashite aachane nahili la Paul makonda
 
Makonda mwenyewe ni shoga, itakuwaje mashoga watake kumuua mwenzao?
 
Makonda na bosi wako mlitudanganya kuhusu ujio wa meli ya tiba ya mchina, meli ile ilikuwa kwenye mizunguko yake kwenye nchi za Afrika na tiba zilikuwa bure japo mlipiga.
 
Mla damu za watanzania JK anatakiwa aface hukumu ile ile make tumechoka, kaua na kaua na anaendelea kuua. Watanzania tusiposhtuka tutakwisha, One must die.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…