macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Hakuna wauza madawa wowote ambao Makonda alisababisha wakashikwa na kufungwa. Pia hakuna mashoga wowote ambao walifungwa kwa ajili ya Makonda. Hii ni mbinu ya kutafuta huruma na kutaka kuwafanya watu wasahau madhambi yake hasa ufisadi aliofanya wa kupora mali za watu.Pole sana Bw. Makonda.
Bahati mbaya hayo makundi ndio ya wale uliowapa kesi ya uhujumu uchumi. Sasa DPP amewaachia wanataka walipize maana huna tena power.
Umenena ukweli wote, kule ndio ulinzi wake utakuwa sawa, asitegemee kk securityMahali salama kwa Makonda kwa sasa ni jela tu, huko ni kuvumilia pipe ya nyapara tu.
Ukiona hivyo keshatonywa kuwa DPP anaanda mafileNadhani angekaa kimya japo nahisi inawezekana kuna jambo analiona linakuja kumletea madhara si muda ndiyo maana amewahi kutafuta public sympathy
Alitaka wastaafu wapelekwe Makumbusho ya taifa!! Like seriously!?Happy ndo ana taabu kila akikumbuka lazima atubu
Tena akamatwe huyu asaidie kulitafuta hilo genge na genge lake pia alitaje alivotesa watu .... paka shumeAtafute maombezi ila pia polisi wamesikia apeleke taarifa
Tunaomba kwanza vyeti vya shule Bashite; hizo ofisi za CCM na Misikiti ulizojenga kwa mtutu wa bunduki na dhulma nani anahitaji?Aliyekuwa RC wa Dar es salaam, Paul Makonda anasema kuna makundi matano yanamuwinda ili kumuua.
Ameandika hayo kupitua ukurasa wake wa Instagram na kusema Makundi hayo ni pamoja na Wauza Madawa ya kulevya, mashoga nk
Ameandika “
Nafahamu kuna mkakati unaoratibiwa na Makundi 5 kuangamiza maisha yangu.
1) WAUZA MADAWA YA KULEVYA
2)WANUFAIKA NA MADAWA YA KULEVYA
3) MASHOGA
4)WANAOKESHA USIKU KUCHA KUTAFUTA KULIPA KISASI KWA WASAIDIZI WA DR MAGUFULI.
5) WALIOWAHI KUWA SEHEMU YA ……. Nafahamu pia juu ya mbinu zinazoandaliwa ili kuniuwa kwa faida ya familia zao pamoja na kutengeneza mashaidi wa uongo ili mnipe kesi ya uhujumu uchumi.
Mambo mawili najiuliza
1)PAMOJA NA KAZI ZOTE NZURI NILIZOZIFANYA KWA CHAMA CHANGU,SERIKALI YANGU NA WANANCHI WA DAR HAYA NDIYO MALIPO YAKE?
2)Hakika ukiwa mtumishi mwaminifu unaetetea haki za wanyonge tena ukitokea kwenye familia masikini haya ndiyo malipo yake ?
MTU aliejemga hospital , aliejenga ofc cha CCM, Magari ya police 👮♀️, ofc za Walimu, vituo vya police, shule za secondary mpaka na msingi, kutibu wagonjwa mpaka Meli kuja Tanzania,kuhudumia Makundi mbali mbali mpaka kuiunganisha Serikali na Viongozi wa Dini. leo hii naonekana eti natakiwa kunyongwa.
Pamoja na kwamba lipo kundi kwenye mitandao linalolipwa ili kuwaanda watanzania pale watakapo nikamata ionekane ni sawa. Hakika ipo siku Walemavu, yatima, wajane na waliotamani watoto WAO wasife kwa MADAWA ya KULEVYA SAUTI ZAO ZITASIKIKA.
#Ukiona maji yametulia jua kina nikilefu.”
Amenusa hatari, anachokifanya ni kuwahi huruma ya wananchiMuungwana akivuliwa nguo huchutama ila simuona RC akichutama
Kwa mantik iyo RC sio muungwana
Hata mm nahisi hivyoUkiona hivyo keshatonywa kuwa DPP anaanda mafile
Leo hii bashite analalamika wanataka kumuua? Kweli dunia duara
Aliyekuwa RC wa Dar es salaam, Paul Makonda anasema kuna makundi matano yanamuwinda ili kumuua.
Ameandika hayo kupitua ukurasa wake wa Instagram na kusema Makundi hayo ni pamoja na Wauza Madawa ya kulevya, mashoga nk
Ameandika “
Nafahamu kuna mkakati unaoratibiwa na Makundi 5 kuangamiza maisha yangu.
1) WAUZA MADAWA YA KULEVYA
2)WANUFAIKA NA MADAWA YA KULEVYA
3) MASHOGA
4)WANAOKESHA USIKU KUCHA KUTAFUTA KULIPA KISASI KWA WASAIDIZI WA DR MAGUFULI.
5) WALIOWAHI KUWA SEHEMU YA ……. Nafahamu pia juu ya mbinu zinazoandaliwa ili kuniuwa kwa faida ya familia zao pamoja na kutengeneza mashaidi wa uongo ili mnipe kesi ya uhujumu uchumi.
Mambo mawili najiuliza
1)PAMOJA NA KAZI ZOTE NZURI NILIZOZIFANYA KWA CHAMA CHANGU,SERIKALI YANGU NA WANANCHI WA DAR HAYA NDIYO MALIPO YAKE?
2)Hakika ukiwa mtumishi mwaminifu unaetetea haki za wanyonge tena ukitokea kwenye familia masikini haya ndiyo malipo yake ?
MTU aliejemga hospital , aliejenga ofc cha CCM, Magari ya police 👮♀️, ofc za Walimu, vituo vya police, shule za secondary mpaka na msingi, kutibu wagonjwa mpaka Meli kuja Tanzania,kuhudumia Makundi mbali mbali mpaka kuiunganisha Serikali na Viongozi wa Dini. leo hii naonekana eti natakiwa kunyongwa.
Pamoja na kwamba lipo kundi kwenye mitandao linalolipwa ili kuwaanda watanzania pale watakapo nikamata ionekane ni sawa. Hakika ipo siku Walemavu, yatima, wajane na waliotamani watoto WAO wasife kwa MADAWA ya KULEVYA SAUTI ZAO ZITASIKIKA.
#Ukiona maji yametulia jua kina nikilefu.”
[/QUOTE
Makonda alishalipwa na Wananchi pale alipopigwa Chini kwenye Kura za maoni kigamboni. Sijui anataka Nini kingine.
Leo Bashite ndio amekuwa ametaka kumuua Lissu ? na yule jamaa humu mliyesema few weeks ago aliyemshambulia Lissu hausiki tena? Acheni kumsingizia Bashite, issue ya Lissu ni Jiwe ndiye alipayuka maneno ya kuashiria Lissu achapwe risasi. Taifa hili hatujui tunataka nini wewe ni kama wale jamaa humu asubuhi walikuwa wanawatetea TISS kwa kumnyanyasa dogo fulani.Damu ya Tundu Lissu utaitapika!
Endelea kurusha msabwada