Paul Makonda: Kuna makundi matano yanataka kuniua, likiwemo wanaotafuta kulipa kisasi kwa Wasaidizi wa Magufuli

Paul Makonda: Kuna makundi matano yanataka kuniua, likiwemo wanaotafuta kulipa kisasi kwa Wasaidizi wa Magufuli

Aliyekuwa RC wa Dar es salaam, Paul Makonda anasema kuna makundi matano yanamuwinda ili kumuua.

Ameandika hayo kupitua ukurasa wake wa Instagram na kusema Makundi hayo ni pamoja na Wauza Madawa ya kulevya, mashoga nk

Ameandika “
Nafahamu kuna mkakati unaoratibiwa na Makundi 5 kuangamiza maisha yangu.

1) WAUZA MADAWA YA KULEVYA
2)WANUFAIKA NA MADAWA YA KULEVYA
3) MASHOGA
4)WANAOKESHA USIKU KUCHA KUTAFUTA KULIPA KISASI KWA WASAIDIZI WA DR MAGUFULI.
5) WALIOWAHI KUWA SEHEMU YA ……. Nafahamu pia juu ya mbinu zinazoandaliwa ili kuniuwa kwa faida ya familia zao pamoja na kutengeneza mashaidi wa uongo ili mnipe kesi ya uhujumu uchumi.

Mambo mawili najiuliza

1)PAMOJA NA KAZI ZOTE NZURI NILIZOZIFANYA KWA CHAMA CHANGU,SERIKALI YANGU NA WANANCHI WA DAR HAYA NDIYO MALIPO YAKE?

2)Hakika ukiwa mtumishi mwaminifu unaetetea haki za wanyonge tena ukitokea kwenye familia masikini haya ndiyo malipo yake ?

MTU aliejemga hospital , aliejenga ofc cha CCM, Magari ya police 👮‍♀️, ofc za Walimu, vituo vya police, shule za secondary mpaka na msingi, kutibu wagonjwa mpaka Meli kuja Tanzania,kuhudumia Makundi mbali mbali mpaka kuiunganisha Serikali na Viongozi wa Dini. leo hii naonekana eti natakiwa kunyongwa.

Pamoja na kwamba lipo kundi kwenye mitandao linalolipwa ili kuwaanda watanzania pale watakapo nikamata ionekane ni sawa. Hakika ipo siku Walemavu, yatima, wajane na waliotamani watoto WAO wasife kwa MADAWA ya KULEVYA SAUTI ZAO ZITASIKIKA.

#Ukiona maji yametulia jua kina nikilefu.”

baada ya kubanwa kila kona anataka kujiteka au anataka kumeza kidonge halafu baadaye aseme nilitoa tahadhari
 
MTU aliejemga hospital , aliejenga ofc cha CCM, Magari ya police 👮‍♀️, ofc za Walimu, vituo vya police, shule za secondary mpaka na msingi, kutibu wagonjwa mpaka Meli kuja Tanzania,kuhudumia Makundi mbali mbali mpaka kuiunganisha Serikali na Viongozi wa Dini. leo hii naonekana eti natakiwa kunyongwa

120909684_117545516779837_7410527070517376392_n.jpg
 
Aliyekuwa RC wa Dar es salaam, Paul Makonda anasema kuna makundi matano yanamuwinda ili kumuua.

Ameandika hayo kupitua ukurasa wake wa Instagram na kusema Makundi hayo ni pamoja na Wauza Madawa ya kulevya, mashoga nk

Ameandika “
Nafahamu kuna mkakati unaoratibiwa na Makundi 5 kuangamiza maisha yangu.

1) WAUZA MADAWA YA KULEVYA
2)WANUFAIKA NA MADAWA YA KULEVYA
3) MASHOGA
4)WANAOKESHA USIKU KUCHA KUTAFUTA KULIPA KISASI KWA WASAIDIZI WA DR MAGUFULI.
5) WALIOWAHI KUWA SEHEMU YA ……. Nafahamu pia juu ya mbinu zinazoandaliwa ili kuniuwa kwa faida ya familia zao pamoja na kutengeneza mashaidi wa uongo ili mnipe kesi ya uhujumu uchumi.

Mambo mawili najiuliza

1)PAMOJA NA KAZI ZOTE NZURI NILIZOZIFANYA KWA CHAMA CHANGU,SERIKALI YANGU NA WANANCHI WA DAR HAYA NDIYO MALIPO YAKE?

2)Hakika ukiwa mtumishi mwaminifu unaetetea haki za wanyonge tena ukitokea kwenye familia masikini haya ndiyo malipo yake ?

MTU aliejemga hospital , aliejenga ofc cha CCM, Magari ya police 👮‍♀️, ofc za Walimu, vituo vya police, shule za secondary mpaka na msingi, kutibu wagonjwa mpaka Meli kuja Tanzania,kuhudumia Makundi mbali mbali mpaka kuiunganisha Serikali na Viongozi wa Dini. leo hii naonekana eti natakiwa kunyongwa.

Pamoja na kwamba lipo kundi kwenye mitandao linalolipwa ili kuwaanda watanzania pale watakapo nikamata ionekane ni sawa. Hakika ipo siku Walemavu, yatima, wajane na waliotamani watoto WAO wasife kwa MADAWA ya KULEVYA SAUTI ZAO ZITASIKIKA.

#Ukiona maji yametulia jua kina nikilefu.”

Pamoja na tofauti zilizopo.....

Komredi Paulo Makonda asihukumiwe kwa kazi alizozifanya akiwa chini ya UTAWALA WA AWAMU YA 5..........

Kama kiongozi wa zamani ana haki kupaza sauti dhidi ya HUJUMA zozote zilizo juu yake......

Kama taifa tuna mengi mno ya kufanya kwa ajili yetu watanzania na vizazi vyetu zaidi ya NONGWA za makundi ya kisiasa yasiyo na afya yoyote.......

Mwenyezi Mungu akulinde wewe na familia yako ndugu Paulo Makonda ,aaaamen aaaaamen aaaamen🙏

#Siempre JMT🙏
#Yetzer Hatov🙏
#Do Not Do Harm🙏
 
Sijaelewa hapo aliposema ukiona maji yametulia ujue kinakirefu sijaelewa maanayake nini.

Anyway, amwonbe Mungu atamuepusha na wahuni.

Otherwise HANA BAYA!.
 
MH ; RIZIWANI KIKWETE huyu takataka kumbuka kuwa wewe ndiyo ulimpaisha baada ya kukusafishia vitatu na kwa taarifa yako hata watu wanakudharau kwaajili ya urafiki wako na jambazi huyu na hata wewe alikufanyia ujambazi kwa kuuza Siri yenu wewe na MH MEMBE kwa Jiwe kumbuka mlikuwa timu Membe uchaguzi 2015 ndani Ya chama hata Mh SALMA Kikwete mlikuwa nae sijui kama nae aliwauza kwa Jiwe akapata ubunge
 
Wasukuma watakuwa mazoba kiasi hicho?
JPM, Kwandikwa na wewe pia.

Vita vitafumuka.

Narudi zangu Usafani.

Kama unataka Vita nenda Kongo. Alipigwa risasi Lissu, kapotezwa Been Sananae , Azory Gwanda na kuuwawa kwa Alfonce Mawazo lakini Watu hawakufanya Vita. Sembuse huyo mjaa laana aliyekataliwa Kigamboni na Wana CCM wenzake?. Aende zake huko asitupigie kelele. Wenzake walipokuwa wanalia yeye alicheka, Sasa yeye analia hakuna wa kumtetea.
 
Akiandika kwenye matandao wake wa insta amelalamikia makundi ambayo ameyataja juwa yako kwenye mipango ya kuhakikisha anauawa au kufungwa maisha jela View attachment 2184064
Asitie huruma akazuia madawa akaanza kufanya yeye hiyo bizness, akanunua kujenga majumba na magari ya kifahari mda mfupi wa utumishi na kwenda kuunanga Umma wa watanzania kuwa wewe NDIYE UNAONGOZA KWA KULA RAHA HAPA DUNIANI mbwa wee, umeporapora watu na kuua ua watu leo, unajistukia eti wanataka kukuua, ni matendo yako unajistukia kipindi hiki cha haki ikihubiliwa, dhalimu mkubwa, vijana mjifunze kupitia huyu hayawani wa madaraka.

Tulia uishi kwa adabu Ila Mungu atashughulika na wewe kwa ya hovyo hovyo mengi. Kazi zilizofanyika ukiwa hapo ni sehemu ya majukumu ambapo ulilipwa na maovu uliyofanya kutumia ofisi hayafutwi na kazi sahihi zilizofanyika
 
huyu kiazi anasema amejenga shule na mahospitali .... foolish kabisa ... yaani hela ya walipa kodi ni yake ... puke

Hilo jamaa jinga Sana, Yani halishtuki kwamba lilikataliwa kigamboni leo linajifanya kuleta maujinga yake. Baadala litubu linajitetea eti madawa ya kulevya na mashoga wanataka kumuua. Jinga kweli.
 
Nakumbuka ugomvi wa maraper wa west coast and east coast marekani…Tupac na sijui nani jina limetoka wa east walipoteza maisha…yaani mpaka damu zimwagike ndio watu wanapoaga akili…ila sasa kuna pepo la hasira na visasi tusipokaa sawa litatumaliza….
 
Back
Top Bottom