Paul Makonda: Kuna makundi matano yanataka kuniua, likiwemo wanaotafuta kulipa kisasi kwa Wasaidizi wa Magufuli

Paul Makonda: Kuna makundi matano yanataka kuniua, likiwemo wanaotafuta kulipa kisasi kwa Wasaidizi wa Magufuli

Kwahyo mashoga wanataka wamle Jicho au.!???

InFact makonda ni kama anavuna alichopanda,,, japo kumuua haijakaa poa sana....anatafuta huruma ya wananchi....

Kingine pia huenda ni mpango wa kumtokomeza JK.... Naona mashambulizi yamekuwa makali sanaa.... Hizi blame zote soon ataanza kusukumiwa JK ili asiaminike tena...

Mawazo tu.... Hii nchi sio ya kuiamini saaaaaana...
 
 
Huyu dawa yake yake imechemka muda mrefu, mama Samia, tuma mtu akaiipue, kama alijaribu kumuwinda Lissu, arobaini yake imefika.

Anahofia kesi ya uhujumu uchumi wakati nyumbani kajaza magari ya kudhulumu? Kadhulumu viwanja? Alimpakaza Ruge na ma scjajajakaaaa mkononi siku anapatanishwa mbele ya JPM baada ya hapo Ruge akaanza kuugua?, bilionea asiye na biashara!, Alipata ubilionea baada ya kuwa Mkuu wa Mkoa mwenye mshahara wa milioni tano!. Alikuwa anafika katika maofisi ya mabilionea anachota Hela kwa nguvu!

Lemutuz naye kamkimbia, a lone wolf!

ukiitwa utoe ushahidi utatoa
 
makonda humu ndani ya jf wengi ni mazezeta wa mbowe ukiona tusi au wanakusema vibaya usilifuatilie ni chadema waliokosa kura za ubunge na wenye viti bado wanahasira
 
Kweli"ole wake amtegemeaye mwanadamu" mtaumia sana na hatorudi kamwe zaidi ya kumfuata maana njia yetu ni moja
 
Aliyekuwa RC wa Dar es salaam, Paul Makonda anasema kuna makundi matano yanamuwinda ili kumuua.

Ameandika hayo kupitua ukurasa wake wa Instagram na kusema Makundi hayo ni pamoja na Wauza Madawa ya kulevya, mashoga nk

Ameandika “
Nafahamu kuna mkakati unaoratibiwa na Makundi 5 kuangamiza maisha yangu.

1) WAUZA MADAWA YA KULEVYA
2)WANUFAIKA NA MADAWA YA KULEVYA
3) MASHOGA
4)WANAOKESHA USIKU KUCHA KUTAFUTA KULIPA KISASI KWA WASAIDIZI WA DR MAGUFULI.
5) WALIOWAHI KUWA SEHEMU YA ……. Nafahamu pia juu ya mbinu zinazoandaliwa ili kuniuwa kwa faida ya familia zao pamoja na kutengeneza mashaidi wa uongo ili mnipe kesi ya uhujumu uchumi.

Mambo mawili najiuliza

1)PAMOJA NA KAZI ZOTE NZURI NILIZOZIFANYA KWA CHAMA CHANGU,SERIKALI YANGU NA WANANCHI WA DAR HAYA NDIYO MALIPO YAKE?

2)Hakika ukiwa mtumishi mwaminifu unaetetea haki za wanyonge tena ukitokea kwenye familia masikini haya ndiyo malipo yake ?

MTU aliejemga hospital , aliejenga ofc cha CCM, Magari ya police 👮‍♀️, ofc za Walimu, vituo vya police, shule za secondary mpaka na msingi, kutibu wagonjwa mpaka Meli kuja Tanzania,kuhudumia Makundi mbali mbali mpaka kuiunganisha Serikali na Viongozi wa Dini. leo hii naonekana eti natakiwa kunyongwa.

Pamoja na kwamba lipo kundi kwenye mitandao linalolipwa ili kuwaanda watanzania pale watakapo nikamata ionekane ni sawa. Hakika ipo siku Walemavu, yatima, wajane na waliotamani watoto WAO wasife kwa MADAWA ya KULEVYA SAUTI ZAO ZITASIKIKA.

#Ukiona maji yametulia jua kina nikilefu.”

Kama kuna kosa watu wafikishe malalamiko yao mahakamani ila sio kutafutana mtaani..
 
Aliyekuwa RC wa Dar es salaam, Paul Makonda anasema kuna makundi matano yanamuwinda ili kumuua.

Ameandika hayo kupitua ukurasa wake wa Instagram na kusema Makundi hayo ni pamoja na Wauza Madawa ya kulevya, mashoga nk

Ameandika “
Nafahamu kuna mkakati unaoratibiwa na Makundi 5 kuangamiza maisha yangu.

1) WAUZA MADAWA YA KULEVYA
2)WANUFAIKA NA MADAWA YA KULEVYA
3) MASHOGA
4)WANAOKESHA USIKU KUCHA KUTAFUTA KULIPA KISASI KWA WASAIDIZI WA DR MAGUFULI.
5) WALIOWAHI KUWA SEHEMU YA ……. Nafahamu pia juu ya mbinu zinazoandaliwa ili kuniuwa kwa faida ya familia zao pamoja na kutengeneza mashaidi wa uongo ili mnipe kesi ya uhujumu uchumi.

Mambo mawili najiuliza

1)PAMOJA NA KAZI ZOTE NZURI NILIZOZIFANYA KWA CHAMA CHANGU,SERIKALI YANGU NA WANANCHI WA DAR HAYA NDIYO MALIPO YAKE?

2)Hakika ukiwa mtumishi mwaminifu unaetetea haki za wanyonge tena ukitokea kwenye familia masikini haya ndiyo malipo yake ?

MTU aliejemga hospital , aliejenga ofc cha CCM, Magari ya police [emoji1986], ofc za Walimu, vituo vya police, shule za secondary mpaka na msingi, kutibu wagonjwa mpaka Meli kuja Tanzania,kuhudumia Makundi mbali mbali mpaka kuiunganisha Serikali na Viongozi wa Dini. leo hii naonekana eti natakiwa kunyongwa.

Pamoja na kwamba lipo kundi kwenye mitandao linalolipwa ili kuwaanda watanzania pale watakapo nikamata ionekane ni sawa. Hakika ipo siku Walemavu, yatima, wajane na waliotamani watoto WAO wasife kwa MADAWA ya KULEVYA SAUTI ZAO ZITASIKIKA.

#Ukiona maji yametulia jua kina nikilefu.”

Makonda pole sana kwani sio makosa yako ila aliyekupa ile nafasi.
Mbona kipindi cha JK hukutenda mabaya ktk utendaji wako.
Haya makundi uliyoyataja sio kuyaogopa sana ila kundi la kuliogopa sana ni hili Ndugu yangu.

1- Makonda kama ulikuwa ktk ule mpango wa kupigwa Risasi Lissu na Benny Sanane huwezi kuwa salama kwani hawa ulioshirikiana nao hawezi kukuacha kumbuka siku mambo yakavyoanza kufuatiliwa hawa jamaa wanajua kabisa ww ndo wa kwanza kwa hiyo ili asiwepo wa kuwataja lazima wajue unashia wapi.

Kwa ujumla kama ww ndo ulikuwa Kiongozi wa hili kundi kweli basi ww ndo msiri wao ili wao wabaki salama watakushughuliki mpaka senti ya mwisho ndo maani kule Itali na Brazil huwaiana kwani atakayemwai mwenzake sawa.

Ushauri wangu ni huu Ndugu yangu WAOMBE WATANZANIA MSAMAHA hii ni akiba kubwa sana kwao tafuta Hotuba za Rais Moi fanya kama fanya kama yyalivyowaomba msamaha Wakenya kumbuka zikija tuhuma juu yako hii kauli itakusaidia sana.
Ww sio Rais ulikuwa kiongozi omba kama aliyekuwa Mkuu wa Mkoa itakusaidi
Usiwe NUNDA ILA OMBA MSAMAHA WATANZANIA utakubeba

Maoni yangu ni hayo kama Kijana mwenzako
Pole Sana Ndugu
 
Bashite si ulisema hakuna mtu anakula raha nchi hii kama wewe, sasa ni zamu ya kula shubiri, kila kitu na zama zake.
 
Back
Top Bottom