ndolelejiUduhe
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,837
- 3,027
Sio ChademaK
Kwaiyo kumwambia huyu dada kuwa ninayemke mzuri nalo ni tusi? Chadema mnashida sio bure,mlifikiri Makonda hakija Arusha atapoa na atakosa ushawishi, kumbe ndio amepata uhungwaji mkono kuliko.Lema kapotezwa mazima Sasahivi mnaanza kuokoteza vijimaneno ili Makonda haonekane mbaya.Makonda mwenyewe aliisha sema hata akikaa Arusha siku moja tu kwake inatosha hana cha kupoteza.
Wewe unamuona huyo makonda ni Google? Mnamu overate sana huyo bwege wenu.Sasa wewe una taarifa zaidi ya Makonda?
Hilo hapo bashite.Very soon ataanza kulia kwenye nyumba za ibada
Uvccm si ndiyo hawa usiku wanakuwa panyaroad?Naona UVCCM wanatumia nguvu nyingi sana kutetea kauli za Makonda
Mwambie Samia aliyemteuwa, maana hakuna jipya hapo ndivyo alivyo Makonda ila Rasi wako mpendwa rais bora akaenda kumtoa huko aliko Makonda na kuwaletea.Kiburi huzaa majuto,wanaokusifia Leo kesho hutowaona
Ajabu Samia asiyemuuwaji kamteuwa mtu kama huyo ambaye ni muuwaji.Ni kweli hata alipoongoza kile kikosi cha kumshambulia Lissu mirisasi ya kutosha talanta yake ilijionyesha zaidi.
Hii bongo mkuu,ndio maana Mbowe pamoja na ulevi wake hadi wa kupanda jukwaani kalewa ila bado watu wanaona ana talanta ya uongozi na hana mbadala hapo Chadema.Huyu talanta yake ni ujambazi na uzushi.
Uongozi ni hekima si majigambo na dharau.Hivyo ndio kiongozi anavyotakiwa kuwa.. Mungu ambariki sana makonda.
Anatabia za mwendazake machoni pa wananchi anaonekana mtu nyuma ya pazi ni izi na jizi lakutishaMakonda ni mtenda kazi asiyependa uzembe. Wazembe na wabathirifu wa mali za umma wanyooshwe
Hayo ya ulevi wa Mbowe unayajua wewe na siyo sehemu ya mjadala huu.Hii bongo mkuu,ndio maana Mbowe pamoja na ulevi wake hadi wa kupanda jukwaani kalewa ila bado watu wanaona ana talanta ya uongozi na hana mbadala hapo Chadema.
Ni sehemu ya mjadala maana ndio aina za viongozi wetu hao, kama Mbowe alipanda jukwaani huku kalewa hadi anaongea kipombe pombe ila watu hawakuona tatizo sasa kwa hali hiyo ndio tunajifanya wanafki kwa Makonda?Hayo ya ulevi wa Mbowe unayajua wewe na siyo sehemu ya mjadala huu.
Women stand up!!Umoja wa Wanawake CCM mmesikia? Yaani ni kama mnampigia kale ka mziki wakati anafanya massage.
YESSSMakonda namuelewa Sana
Mtu anajibu maswali kuhusiana na namna Kodi za wananchi zimetumika kama vile hayuko kabisaa
Makonda kanyaga twende tumechelewa sana