ndolelejiUduhe
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,837
- 3,027
Inaelekea Mzee Kinana naye yupo kwenye kundi la akina Chatanda 👁😷
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Udhalilishaji tena mkubwa sana 👁🙄Hivi wale wabunge wanaoitwa COVID 19 ule ni udhalilishaji au sio udhalilishaji !
Kama mwendazake tu...Huyu mwamba namkubali ila kuna ujinga flan flan akiuacha atakuwa vizur sana
Hatukutaki kwenye kundi letu la wanaume. Tuko pamoja na Makonda!Kiburi huzaa majuto,wanaokusifia Leo kesho hutowaona
Sasa wewe una taarifa zaidi ya Makonda?Aache uwongo wake lini na wapi Rais ametukanwa? Alizusha kuwa kuna mawaziri wanamtukana Rais na akaahidi kuwataja baada ya siku tatu sasa mwezi wa pili huu hajawataja. Mzushi sana huyu mwizi wa vyeti
Tunawahitaji hao hata 100 hiviKama mwendazake tu...
Kwaiyo kumwambia huyu dada kuwa ninayemke mzuri nalo ni tusi? Chadema mnashida sio bure,mlifikiri Makonda hakija Arusha atapoa na atakosa ushawishi, kumbe ndio amepata uhungwaji mkono kuliko.Lema kapotezwa mazima Sasahivi mnaanza kuokoteza vijimaneno ili Makonda haonekane mbaya.Makonda mwenyewe aliisha sema hata akikaa Arusha siku moja tu kwake inatosha hana cha kupoteza.Ila kumwambia mtumishi wa kike ana mke mzuri sio confidential na umbea?. Nani kamuuliza Kama ana mke mzuri.
wewe unataka democrasia ipi?, kwani tupo chini ya utawala wa kidikteta?Kwamba Sina uwezo wa kusoma na kuelewa Hadi nisijue propaganda ni zipi? Sisi tuna demokrasia gani boss?
Tulisimama na Makonda akiwa Kamanda wa Chipukizi Taifa. Tukasimama nae aliposingiziwa amempiga Mzee Warioba. Tukaenda nae alipoteuliwa DC Kinondoni na Mzee JK na kisha Mwamba Jiwe Magufuli alipomteua kuwa RC Dar es Salaam tukaenda nae na tukasimama nae. Aliposingiziwa kumshambulia Lissu tulikuwa nae na hata aliposema amevamia Clouds rulishangaa nae. Aliposhindwa ugombea Ubunge Kigamboni tulikuwa pembeni yake. Tukaenda nae ku hibernate hadi alipoibukia kwenye Uenezi, Itikadi na Mafunzo. Sasa ni RC Arusha tupo na yeye bila kujali kelele za waja!!!Kiburi huzaa majuto,wanaokusifia Leo kesho hutowaona
Watajulia wapi haya basi?
Watanzania wengi akili ndogo kama za panzi, ni watu wa kufagilia viongozi wanaofanyia maigizo lukuki mbele ya camera dizaini ya Makonda na Magufuli halafu wakitoka kwenye mamlaka hakuna warithi wala mwendelezo wa drama hizo.
Binafsi nitamkubaki kiongozi atakayeondoa mfumo wa kipuuzi wa uongozi katika nchi hii wa utegemezi wa mtu mmojammoja kwenda katika mfumo wa uongozi wa kitaasisi. Bila hivyo hatuwezi kutoboa, huyu anakuja na sarakasi zake, anatoka mwingine anaingia na za kwake, and the chain goes on. Tunajikuta tukizunguka mulemule katika vicious cycle miaka nenda miaka rudi.
Very soon ataanza kulia kwenye nyumba za ibadaKiburi huzaa majuto,wanaokusifia Leo kesho hutowaona
Makonda apingwe kila pahala..👌👌
Wabongo weshazoea kuibiwa na kudanganywa tuKwani anafanya uongozi ili asifiwe akili za wapi hizi?. So hao wanasifia upuuzi, uzembe na upigaji halafu wanawapetipeti ndio viongozi mnaowapenda 😂😂😂😂.
Si bure hicho unachoona ni Ujinga kwake ndio Strength yakeHuyu mwamba namkubali ila kuna ujinga flan flan akiuacha atakuwa vizur sana
Naona UVCCM wanatumia nguvu nyingi sana kutetea kauli za MakondaNimeona Makamanda wanamshangilia Bashite
Makamanda Bogus kabisa
Et walitaka mbadhilifu tumwite mtakatifu hii inchi hiii 😅Huyo ndio mwanaume sasa katika nchi hii