Pre GE2025 Paul Makonda: Kwa umri huu nitishike na kauli za Watu? Mtapata watu wengine watakaowapetipeti

Pre GE2025 Paul Makonda: Kwa umri huu nitishike na kauli za Watu? Mtapata watu wengine watakaowapetipeti

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Aache uwongo wake lini na wapi Rais ametukanwa? Alizusha kuwa kuna mawaziri wanamtukana Rais na akaahidi kuwataja baada ya siku tatu sasa mwezi wa pili huu hajawataja. Mzushi sana huyu mwizi wa vyeti
Sasa wewe una taarifa zaidi ya Makonda?
 
K
Ila kumwambia mtumishi wa kike ana mke mzuri sio confidential na umbea?. Nani kamuuliza Kama ana mke mzuri.
Kwaiyo kumwambia huyu dada kuwa ninayemke mzuri nalo ni tusi? Chadema mnashida sio bure,mlifikiri Makonda hakija Arusha atapoa na atakosa ushawishi, kumbe ndio amepata uhungwaji mkono kuliko.Lema kapotezwa mazima Sasahivi mnaanza kuokoteza vijimaneno ili Makonda haonekane mbaya.Makonda mwenyewe aliisha sema hata akikaa Arusha siku moja tu kwake inatosha hana cha kupoteza.
 
Mwana-Eagle.🙌
Huu ni mfano tu wa yale mamlaka yanayotolewa moja kwa moja toka kwa mwenye mamlaka.
 
Kwamba Sina uwezo wa kusoma na kuelewa Hadi nisijue propaganda ni zipi? Sisi tuna demokrasia gani boss?
wewe unataka democrasia ipi?, kwani tupo chini ya utawala wa kidikteta?
Huyo Hitler unayemuita dikteta ndio aliyeleta mageuzi makubwa ujerumani,mataifa mangapi ulaya yapo chini tawala za kifalme na bado wana maendeleo makubwa,sisi tumekalia kuimbishwa ngonjera za democrasia lkn changes hakuna, si ajabu mataifa ya Africa magharibi wameamua kuzipindua tawala dhalimu zilizojificha kwenye mwamvuli wa democrasia huku mali zote za Taifa zikitaifishwa huku wananchi wakiogelea kwenye dimbwi la ufukara.
 
Kiburi huzaa majuto,wanaokusifia Leo kesho hutowaona
Tulisimama na Makonda akiwa Kamanda wa Chipukizi Taifa. Tukasimama nae aliposingiziwa amempiga Mzee Warioba. Tukaenda nae alipoteuliwa DC Kinondoni na Mzee JK na kisha Mwamba Jiwe Magufuli alipomteua kuwa RC Dar es Salaam tukaenda nae na tukasimama nae. Aliposingiziwa kumshambulia Lissu tulikuwa nae na hata aliposema amevamia Clouds rulishangaa nae. Aliposhindwa ugombea Ubunge Kigamboni tulikuwa pembeni yake. Tukaenda nae ku hibernate hadi alipoibukia kwenye Uenezi, Itikadi na Mafunzo. Sasa ni RC Arusha tupo na yeye bila kujali kelele za waja!!!
 
Watajulia wapi haya basi?

Watanzania wengi akili ndogo kama za panzi, ni watu wa kufagilia viongozi wanaofanyia maigizo lukuki mbele ya camera dizaini ya Makonda na Magufuli halafu wakitoka kwenye mamlaka hakuna warithi wala mwendelezo wa drama hizo.

Binafsi nitamkubaki kiongozi atakayeondoa mfumo wa kipuuzi wa uongozi katika nchi hii wa utegemezi wa mtu mmojammoja kwenda katika mfumo wa uongozi wa kitaasisi. Bila hivyo hatuwezi kutoboa, huyu anakuja na sarakasi zake, anatoka mwingine anaingia na za kwake, and the chain goes on. Tunajikuta tukizunguka mulemule katika vicious cycle miaka nenda miaka rudi.
FB_IMG_1716843575833.jpg
9
 
Kwani anafanya uongozi ili asifiwe akili za wapi hizi?. So hao wanasifia upuuzi, uzembe na upigaji halafu wanawapetipeti ndio viongozi mnaowapenda 😂😂😂😂.
Wabongo weshazoea kuibiwa na kudanganywa tu
 
Nimeona Makamanda wanamshangilia Bashite
Makamanda Bogus kabisa
 
Back
Top Bottom