Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Labda atatafuta mdhaifu wakeSijui zamu y nani kudhalilishwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda atatafuta mdhaifu wakeSijui zamu y nani kudhalilishwa
Kwamba Sina uwezo wa kusoma na kuelewa Hadi nisijue propaganda ni zipi? Sisi tuna demokrasia gani boss?Propaganda za US na washirika wake hizo,wachana nazo,dunia ya leo hii utamdanganya nani.China ,Korea,Russia tumekuwa tukiambiwa zinatawaliwa na madikteta,sisi wenye democrasia mbona umaskini umetamalaki?
Sawa mkuu lakini ujue hata wewe ni mzuri kuliko mke wa Makonda. Angekuona wewe kabla ya mke wake wa sasa angekuoa wewe mapema sana. Sasa hivi angekuwa amekuzalisha watoto 5.Hajamtukana, amemweleza ukweli tu. Watanzania munapenda maneno kuliko kazi. Maneno haya kuliko kazi, ndio yametawala ofisi za serikali. Kwa lugha nyingine tunayahita majungu.
Amos Makalla yupo wapi kwenye uenezi.? Hawezi kaz, anaweza maneno na majungu tu. Hata huyu Chatanda anaweza maneno na majungu tu.
Sirahisi Tanzania kuendelea kwa kuwa kazi ya mtu inapimwa kwa uwezo wa majungu na sio kaz zake.
Wewe bila shaka utakuwa mzuri kuliko mke wa Makonda. Unatamani angekuoa wewe akuinamishe akuzalishe watoto mapacha.Kama kuna mtu kadhalilishwa sheria ziko wazi mahakama ziko huru, fungueni jalada la udhalilishaji dhidi yake, kama hamuwezi nyie ni wachawi tu,
Mmemuita mwizi, jambazi dhulmati, sijawahi ona kesi hata mooja dhidi yake leo ni miaka minne, haumoni ya kwamba wewe na wenzako ni mapunguani?
UWT,LHRC na wewe pia saidieni huyo mdhalilishwaji kufungua jalada, pathetic!
Wewe ni mkristo?Nampenda Makonda bila sababu!
NdioWewe ni mkristo?
Utarushwa kichurachura na uzee wakoNdio tunamtaka Kiongozi wa aina yake 😂😂😄
Kumtamani mwanaume asiye wako ni dhambi. Ikiwemo kumpenda bila sababuNdio
Makonda nampenda ila sio kama mawazo yakoKumtamani mwanaume asiye wako ni dhambi. Ikiwemo kumpenda bila sababu
Kuna mtu yeyote anaakili chadema?? Jibu swali?Punguza mazoea, CHADEMA imeingiaje hapa?. Mimi nilisikiliza mahojiano yao mpaka mwisho yule dada hakuwa na kosa la kinidhamu lolote.
Makonda ni zaidi ya Rais na Waziri Mkuu.Hivyo ndio kiongozi anavyotakiwa kuwa.. Mungu ambariki sana makonda.
Ukirusha jiwe gizani kelele Ndio zinakujulisha kuwa kulikuwa na watu hukoMkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda: Kwa umri huu nitishike na kauli za watu? Mtapata watu wengine watakaowapetipeti, nasikia wanaangaika na mitandao.
---
Akiwa wilayani Monduli RC Makonda amesema yeye hajali kelele za wanamitandao bali ataendelea Kuchapa Kazi kwa kuwatumikia Wananchi.
Makonda amesema yeye siyo mtu wa kubembeleza.watu bali anasimamia Uwajibikaji.
"Wale wanaopiga kelele waendelee tu kwangu ni sawa na ule Muziki wakati wa kufanyiwa masaji" amesema Makonda huku akishangiliwa na Makamanda hapo Monduli.
PIA SOMA:
- LHRC yamuonya Makonda kwa kumdhalilisha Mtumishi wa Kike mbele ya Umati wa Wananchi
- Umoja wa wanawake CCM wasikitishwa na udhalilishaji wa Makonda, watoa tamko
Africa haihitajin vongozi imara bali taasisi imaraMakonda yupo vizuriii
Tz tunahitaji viongozi wanaojua kusimamia, wababee
Apewe utlrais atunyooshe kama MuseveniNdio tunamtaka Kiongozi wa aina yake 😂😂😄
PCM Iliyooka Inapiga Mbele MbeleCombination halisi ya science 🤔
Jua kuna uharibifu amefanya mahali..anatafuta hurumaKuna mbaba nmemuona kwenye hiyo video wakati anamsalimu paul alitaka kupiga magoti.
Haa Kwasasa Akipewa Atapiga Bundasliga Mashuti,Pasi Mbili Yupo GoliniApewe utlrais atunyooshe kama Museveni
Na kitabu Cha mudiUnazijua Sifa za Kiongozi wa duniani Lakini?
Hakunaga Kiongozi asiye Muuwaji na Jambazi duniani Kote tokea enzi za Agano la Kale