Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba unamtabiria...Uko sahihi, anasema rais anatukanwa, Sasa yeye ndio analipiza rais kutukanwa kwa kutukana? Je rais ametukanwa na mtu mwenye nafasi rasmi ya kiutawala, au wahuni wa mitandaoni? Halafu anamtaja rais ili ionekane ana uchungu sana na rais, kumbe ni utetezi wa kichawa.
Huyo dogo alipata madaraka atatawala kama alivyotawala Magufuli. Na hata hiki anachokifanya ni carbon copy ya alichokuwa anakifanya Magufuli.
Kwq lipi sasa?Ila kusemakweli, nyota njema huandamwa sana. Hivi hakuna wakuu wengine wa mikoa kwenye nchi hii?
Mbona mnamuandama sana huyo kaka?
Watajulia wapi haya basi?Africa haihitajin vongozi imara bali taasisi imara
Halafu katika waenezaji wa matusi dhidi ya mama naye anaplay part kubwa, ni aidha hajui kwa akili yake kisoda ama anafanya makusudi.Uko sahihi, anasema rais anatukanwa, Sasa yeye ndio analipiza rais kutukanwa kwa kutukana? Je rais ametukanwa na mtu mwenye nafasi rasmi ya kiutawala, au wahuni wa mitandaoni? Halafu anamtaja rais ili ionekane ana uchungu sana na rais, kumbe ni utetezi wa kichawa.
Huyo dogo alipata madaraka atatawala kama alivyotawala Magufuli. Na hata hiki anachokifanya ni carbon copy ya alichokuwa anakifanya Magufuli.
mke mzuri si anaonekana!!Ila kumwambia mtumishi wa kike ana mke mzuri sio confidential na umbea?. Nani kamuuliza Kama ana mke mzuri.
Nioneshe mwanasiasa mwenye mali za halaliMali za wizi sio jambo confidential.
Makonda.Nioneshe mwanasiasa mwenye mali za halali
😂😂😂mkuu ebu angalia swali na ulichojibu !Makonda.
Nimekupa jibu lililoendana na swali lako.😂😂😂mkuu ebu angalia swali na ulichojibu !
kifupi mkuu hueleweki unapinga na kukubali nn
Kusema Ukweli ni kiburi Mjomba 🏃Kiburi huzaa majuto,wanaokusifia Leo kesho hutowaona
Makonda for Presidency 2030 👁Zamani mlisema JPM anampa kiburi Makonda,sasa hayupo na tuna SSH bado mnalalama,na bado haji maji myaite mma.
Kuongea si kupitia kutamka maneno tu kuna lugha ya vitendo/body language na wajuzi wa saikolojia wanasema..body language does not lie..kiongozi aliyekamilika anajua kusikia kupitia lugha ya vitendo..kwa hivyo Makonda alisoma lugha ya vitendo ya huyu mtumishi na kufahamu, kwanza alikuwa anasema uongo, pili alikuwa anaonyesha hakustahili kuulizwa na Makonda pengine kwa sababu yeye ni mzuri, na tatu alionyesha dharau na kutojali uwepo wa hadhara ambayo wengine wana umri sawa na wazazi wake..alivyojibiwa alistahili! wengi wanaomtetea mtumishi huyu hawajui binadamu anaongea kwa vitendo pia, wakati mwingine picha haiwezi kukuonyesha dhahiri lugha ya vitendo sawa na yule anayemsikiliza ana ka ana.Yule madam alikosea wapi?. Mbona hakuna na kosa mpaka mwisho. Shida aliongea sauti ndogo ndio kudhalilisha.