Paul Makonda Ndiye Mwanasiasa kijana Mwenye ushawishi na Ujasiri Mkubwa Barani Afrika

Paul Makonda Ndiye Mwanasiasa kijana Mwenye ushawishi na Ujasiri Mkubwa Barani Afrika

Ndugu zangu Watanzania,

Kuna wakati mwanasiasa kijana kutokea Afrika ya kusini Julius Malema alionekana kama ndiye kijana jasiri zaidi hapa Barani Afrika na ambaye alikuwa akilitetea hata Bara zima la Afrika hususani vijana wa ki Afrika, na kwa hakika wengi walitamani kuwa kama kijana huyo anayeongoza chama cha EFF kwa sasa, na ambaye amewahi kuwa mwanachama wa ANC na kiongozi wa vijana wa ANC kabla ya kufukuzwa uwanachama,Lakini kwa sasa kibao kimegeuka kabisa.

kwa sasa Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda ndiye Mwanasiasa kijana anayetajwa kuwa jasiri sana kuwahi kutokea katika miaka ya hivi karibuni. Ni jasiri kwelikweli mithili ya wale makomandoo waliopikwa na kuivishwa kisawasawa kijeshi na kimedani kutoka Marekani waliokwenda Pakistani kwenda kupambana katika ngome ya Gaidi namba moja Duniani Osama Bin laden huku Rais wao akiwa anawatizama kutokea ikulu ya whitehouse Marekani namna wanavyopambana huku wakiwa wamelibeba Taifa lao mabegani mwao.

Haijapata kutokea hapa nchini kwa miaka ya hivi karibuni kuona kijana ambaye jina lake likitajwa kwenye taarifa ya mkurugenzi mkuu wa mawasiliano ya Rais ikulu katika uteuzi wa aina yoyote ile linatetemesha ,kutikisa na linateka habari zote mitaani,vijiweni,makanisani,virabuni, bar, shuleni, masokoni,viwanjani na kuzima mijadala yote mitaani inayokuwa inaendelea na kubakia yeye tu akitamba na kutawala katika medani za kisiasa ,utafikiri jeshi la Tanzania lilipokuwa linaingia katika ardhi ya Uganda kumsaka kwa hasira na uchungu mkali huku mioyo yao ikibubujikwa machozi ya hisia kali za uzalendo ili kumnasa Nduli Iddi Amini Dada.

Makonda ni Mwamba ni Mwamba kwelikweli ni Jabali la siasa ni fundi wa siasa, ni komando. Ni field Marshall wa siasa za Tanzania na nje ya mipaka ya Tanzania.

Ni kivutio na mfano halisi wa kijana jasiri na mzalendo wa kweli. Jina lake tu ni kama Taasisi ,ni mkubwa kuliko Sacco's kama CHADEMA nzima.

Anao ushawishi ambao sijapata kuuona wala kuushuhudia ,anakubalika utafikiri pesa. Ana nguvu iliyo kubwa sana ndani yake. Akiunguruma nchi nzima inatikisika na kubaki ikifanya mjadala tu juu yake.

Mwamba Makonda anazima na kufunika hadi habari za simba na yanga? Huyu mwamba siyo mtu wa kawaida, Mungu amempatia kibali cha kipekee kabisa na Karama ya uongozi.ndio maana ya kuona na kushuhudia namna alivyo na ushawishi na nguvu kubwa ya kisiasa.

Hata ukimtizama anapozungumza tu unaona kabisa huyu ni zaidi ya kiongozi,ni kiongozi mwenye mamlaka tokea ndani yake.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

View attachment 2951049View attachment 2951052View attachment 2951055
KWA HISANI YA WATU WA MAREKANI.

HAHAHAA MNALIPWAGA SH NGAPI MMETUJAXIAA MAICHAFU KILA KONA
 
Kwahiyo anamzidi Malema? Au vipi yule Rais wa Nigeria.
Mambo ya kuliaibisha taifa haya.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kuna wakati mwanasiasa kijana kutokea Afrika ya kusini Julius Malema alionekana kama ndiye kijana jasiri zaidi hapa Barani Afrika na ambaye alikuwa akilitetea hata Bara zima la Afrika hususani vijana wa ki Afrika, na kwa hakika wengi walitamani kuwa kama kijana huyo anayeongoza chama cha EFF kwa sasa, na ambaye amewahi kuwa mwanachama wa ANC na kiongozi wa vijana wa ANC kabla ya kufukuzwa uwanachama,Lakini kwa sasa kibao kimegeuka kabisa.

kwa sasa Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda ndiye Mwanasiasa kijana anayetajwa kuwa jasiri sana kuwahi kutokea katika miaka ya hivi karibuni. Ni jasiri kwelikweli mithili ya wale makomandoo waliopikwa na kuivishwa kisawasawa kijeshi na kimedani kutoka Marekani waliokwenda Pakistani kwenda kupambana katika ngome ya Gaidi namba moja Duniani Osama Bin laden huku Rais wao akiwa anawatizama kutokea ikulu ya whitehouse Marekani namna wanavyopambana huku wakiwa wamelibeba Taifa lao mabegani mwao.

Haijapata kutokea hapa nchini kwa miaka ya hivi karibuni kuona kijana ambaye jina lake likitajwa kwenye taarifa ya mkurugenzi mkuu wa mawasiliano ya Rais ikulu katika uteuzi wa aina yoyote ile linatetemesha ,kutikisa na linateka habari zote mitaani,vijiweni,makanisani,virabuni, bar, shuleni, masokoni,viwanjani na kuzima mijadala yote mitaani inayokuwa inaendelea na kubakia yeye tu akitamba na kutawala katika medani za kisiasa ,utafikiri jeshi la Tanzania lilipokuwa linaingia katika ardhi ya Uganda kumsaka kwa hasira na uchungu mkali huku mioyo yao ikibubujikwa machozi ya hisia kali za uzalendo ili kumnasa Nduli Iddi Amini Dada.

Makonda ni Mwamba ni Mwamba kwelikweli ni Jabali la siasa ni fundi wa siasa, ni komando. Ni field Marshall wa siasa za Tanzania na nje ya mipaka ya Tanzania.

Ni kivutio na mfano halisi wa kijana jasiri na mzalendo wa kweli. Jina lake tu ni kama Taasisi ,ni mkubwa kuliko Sacco's kama CHADEMA nzima.

Anao ushawishi ambao sijapata kuuona wala kuushuhudia ,anakubalika utafikiri pesa. Ana nguvu iliyo kubwa sana ndani yake. Akiunguruma nchi nzima inatikisika na kubaki ikifanya mjadala tu juu yake.

Mwamba Makonda anazima na kufunika hadi habari za simba na yanga? Huyu mwamba siyo mtu wa kawaida, Mungu amempatia kibali cha kipekee kabisa na Karama ya uongozi.ndio maana ya kuona na kushuhudia namna alivyo na ushawishi na nguvu kubwa ya kisiasa.

Hata ukimtizama anapozungumza tu unaona kabisa huyu ni zaidi ya kiongozi,ni kiongozi mwenye mamlaka tokea ndani yake.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

View attachment 2951049View attachment 2951052View attachment 2951055
Uzwazwa wa karne huu. Kuna Kijana huko kashinda uraisi halafu
Ndugu zangu Watanzania,

Kuna wakati mwanasiasa kijana kutokea Afrika ya kusini Julius Malema alionekana kama ndiye kijana jasiri zaidi hapa Barani Afrika na ambaye alikuwa akilitetea hata Bara zima la Afrika hususani vijana wa ki Afrika, na kwa hakika wengi walitamani kuwa kama kijana huyo anayeongoza chama cha EFF kwa sasa, na ambaye amewahi kuwa mwanachama wa ANC na kiongozi wa vijana wa ANC kabla ya kufukuzwa uwanachama,Lakini kwa sasa kibao kimegeuka kabisa.

kwa sasa Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda ndiye Mwanasiasa kijana anayetajwa kuwa jasiri sana kuwahi kutokea katika miaka ya hivi karibuni. Ni jasiri kwelikweli mithili ya wale makomandoo waliopikwa na kuivishwa kisawasawa kijeshi na kimedani kutoka Marekani waliokwenda Pakistani kwenda kupambana katika ngome ya Gaidi namba moja Duniani Osama Bin laden huku Rais wao akiwa anawatizama kutokea ikulu ya whitehouse Marekani namna wanavyopambana huku wakiwa wamelibeba Taifa lao mabegani mwao.

Haijapata kutokea hapa nchini kwa miaka ya hivi karibuni kuona kijana ambaye jina lake likitajwa kwenye taarifa ya mkurugenzi mkuu wa mawasiliano ya Rais ikulu katika uteuzi wa aina yoyote ile linatetemesha ,kutikisa na linateka habari zote mitaani,vijiweni,makanisani,virabuni, bar, shuleni, masokoni,viwanjani na kuzima mijadala yote mitaani inayokuwa inaendelea na kubakia yeye tu akitamba na kutawala katika medani za kisiasa ,utafikiri jeshi la Tanzania lilipokuwa linaingia katika ardhi ya Uganda kumsaka kwa hasira na uchungu mkali huku mioyo yao ikibubujikwa machozi ya hisia kali za uzalendo ili kumnasa Nduli Iddi Amini Dada.

Makonda ni Mwamba ni Mwamba kwelikweli ni Jabali la siasa ni fundi wa siasa, ni komando. Ni field Marshall wa siasa za Tanzania na nje ya mipaka ya Tanzania.

Ni kivutio na mfano halisi wa kijana jasiri na mzalendo wa kweli. Jina lake tu ni kama Taasisi ,ni mkubwa kuliko Sacco's kama CHADEMA nzima.

Anao ushawishi ambao sijapata kuuona wala kuushuhudia ,anakubalika utafikiri pesa. Ana nguvu iliyo kubwa sana ndani yake. Akiunguruma nchi nzima inatikisika na kubaki ikifanya mjadala tu juu yake.

Mwamba Makonda anazima na kufunika hadi habari za simba na yanga? Huyu mwamba siyo mtu wa kawaida, Mungu amempatia kibali cha kipekee kabisa na Karama ya uongozi.ndio maana ya kuona na kushuhudia namna alivyo na ushawishi na nguvu kubwa ya kisiasa.

Hata ukimtizama anapozungumza tu unaona kabisa huyu ni zaidi ya kiongozi,ni kiongozi mwenye mamlaka tokea ndani yake.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

View attachment 2951049View attachment 2951052View attachment 2951055
Muuaji anakuwaje na ushawishi? Labda nyumbani kwenu Huko Lumumba maana ndicho.mnachoweza kukifanya kwa ufanisi.
 
Kaa kwa kutulia na uandae kabisa vidonge vya kunywa pale kishindo kitakapokuwa kikubwa sana siku atakapokanyaga katika ardhi ya Arusha.maana mtetemo wake hautakuwa wa kawaida hata kidogo.
Tofauti ya uchawa na Ushoga ni ndogo sasa, maana chawa anaweza kugeuzwa muda wowote bila kipingamizi ili kumfurahisha bwana wake.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kuna wakati mwanasiasa kijana kutokea Afrika ya kusini Julius Malema alionekana kama ndiye kijana jasiri zaidi hapa Barani Afrika na ambaye alikuwa akilitetea hata Bara zima la Afrika hususani vijana wa ki Afrika, na kwa hakika wengi walitamani kuwa kama kijana huyo anayeongoza chama cha EFF kwa sasa, na ambaye amewahi kuwa mwanachama wa ANC na kiongozi wa vijana wa ANC kabla ya kufukuzwa uwanachama,Lakini kwa sasa kibao kimegeuka kabisa.

kwa sasa Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda ndiye Mwanasiasa kijana anayetajwa kuwa jasiri sana kuwahi kutokea katika miaka ya hivi karibuni. Ni jasiri kwelikweli mithili ya wale makomandoo waliopikwa na kuivishwa kisawasawa kijeshi na kimedani kutoka Marekani waliokwenda Pakistani kwenda kupambana katika ngome ya Gaidi namba moja Duniani Osama Bin laden huku Rais wao akiwa anawatizama kutokea ikulu ya whitehouse Marekani namna wanavyopambana huku wakiwa wamelibeba Taifa lao mabegani mwao.

Haijapata kutokea hapa nchini kwa miaka ya hivi karibuni kuona kijana ambaye jina lake likitajwa kwenye taarifa ya mkurugenzi mkuu wa mawasiliano ya Rais ikulu katika uteuzi wa aina yoyote ile linatetemesha ,kutikisa na linateka habari zote mitaani,vijiweni,makanisani,virabuni, bar, shuleni, masokoni,viwanjani na kuzima mijadala yote mitaani inayokuwa inaendelea na kubakia yeye tu akitamba na kutawala katika medani za kisiasa ,utafikiri jeshi la Tanzania lilipokuwa linaingia katika ardhi ya Uganda kumsaka kwa hasira na uchungu mkali huku mioyo yao ikibubujikwa machozi ya hisia kali za uzalendo ili kumnasa Nduli Iddi Amini Dada.

Makonda ni Mwamba ni Mwamba kwelikweli ni Jabali la siasa ni fundi wa siasa, ni komando. Ni field Marshall wa siasa za Tanzania na nje ya mipaka ya Tanzania.

Ni kivutio na mfano halisi wa kijana jasiri na mzalendo wa kweli. Jina lake tu ni kama Taasisi ,ni mkubwa kuliko Sacco's kama CHADEMA nzima.

Anao ushawishi ambao sijapata kuuona wala kuushuhudia ,anakubalika utafikiri pesa. Ana nguvu iliyo kubwa sana ndani yake. Akiunguruma nchi nzima inatikisika na kubaki ikifanya mjadala tu juu yake.

Mwamba Makonda anazima na kufunika hadi habari za simba na yanga? Huyu mwamba siyo mtu wa kawaida, Mungu amempatia kibali cha kipekee kabisa na Karama ya uongozi.ndio maana ya kuona na kushuhudia namna alivyo na ushawishi na nguvu kubwa ya kisiasa.

Hata ukimtizama anapozungumza tu unaona kabisa huyu ni zaidi ya kiongozi,ni kiongozi mwenye mamlaka tokea ndani yake.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

View attachment 2951049View attachment 2951052View attachment 2951055
Kijana msomi hasiye na vyeti vya kugushi, week jana alitanganzwa kushinda kiti cha Urais Senegal. Utatwambiaje huyu mropokaji kuwa na ushawishi kuliko vijana wengine Africa? Kapime afya ya akili yako.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kuna wakati mwanasiasa kijana kutokea Afrika ya kusini Julius Malema alionekana kama ndiye kijana jasiri zaidi hapa Barani Afrika na ambaye alikuwa akilitetea hata Bara zima la Afrika hususani vijana wa ki Afrika, na kwa hakika wengi walitamani kuwa kama kijana huyo anayeongoza chama cha EFF kwa sasa, na ambaye amewahi kuwa mwanachama wa ANC na kiongozi wa vijana wa ANC kabla ya kufukuzwa uwanachama,Lakini kwa sasa kibao kimegeuka kabisa.

kwa sasa Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda ndiye Mwanasiasa kijana anayetajwa kuwa jasiri sana kuwahi kutokea katika miaka ya hivi karibuni. Ni jasiri kwelikweli mithili ya wale makomandoo waliopikwa na kuivishwa kisawasawa kijeshi na kimedani kutoka Marekani waliokwenda Pakistani kwenda kupambana katika ngome ya Gaidi namba moja Duniani Osama Bin laden huku Rais wao akiwa anawatizama kutokea ikulu ya whitehouse Marekani namna wanavyopambana huku wakiwa wamelibeba Taifa lao mabegani mwao.

Haijapata kutokea hapa nchini kwa miaka ya hivi karibuni kuona kijana ambaye jina lake likitajwa kwenye taarifa ya mkurugenzi mkuu wa mawasiliano ya Rais ikulu katika uteuzi wa aina yoyote ile linatetemesha ,kutikisa na linateka habari zote mitaani,vijiweni,makanisani,virabuni, bar, shuleni, masokoni,viwanjani na kuzima mijadala yote mitaani inayokuwa inaendelea na kubakia yeye tu akitamba na kutawala katika medani za kisiasa ,utafikiri jeshi la Tanzania lilipokuwa linaingia katika ardhi ya Uganda kumsaka kwa hasira na uchungu mkali huku mioyo yao ikibubujikwa machozi ya hisia kali za uzalendo ili kumnasa Nduli Iddi Amini Dada.

Makonda ni Mwamba ni Mwamba kwelikweli ni Jabali la siasa ni fundi wa siasa, ni komando. Ni field Marshall wa siasa za Tanzania na nje ya mipaka ya Tanzania.

Ni kivutio na mfano halisi wa kijana jasiri na mzalendo wa kweli. Jina lake tu ni kama Taasisi ,ni mkubwa kuliko Sacco's kama CHADEMA nzima.

Anao ushawishi ambao sijapata kuuona wala kuushuhudia ,anakubalika utafikiri pesa. Ana nguvu iliyo kubwa sana ndani yake. Akiunguruma nchi nzima inatikisika na kubaki ikifanya mjadala tu juu yake.

Mwamba Makonda anazima na kufunika hadi habari za simba na yanga? Huyu mwamba siyo mtu wa kawaida, Mungu amempatia kibali cha kipekee kabisa na Karama ya uongozi.ndio maana ya kuona na kushuhudia namna alivyo na ushawishi na nguvu kubwa ya kisiasa.

Hata ukimtizama anapozungumza tu unaona kabisa huyu ni zaidi ya kiongozi,ni kiongozi mwenye mamlaka tokea ndani yake.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

View attachment 2951049View attachment 2951052View attachment 2951055
Nenda akupe kazi , mtu mzima na familia unakua na akili ya ajabu , why usijisifie mwenyewe ?

Nakwambia na nilisha kwambia mbeleni maisha yako yatakua ya tabu sana , kwamba wewe upo na macho 3 kama sio manne kuliko watu wa inner cycle ambao ni ccm na wameona hana huwezo wa kutumikia nafasi aliokuwa nayo?

Ni kwa kua ccm imepoteza Dira kama sio hivyo ningejiinga na chama hichi niwatie adabu hasa nyie Machawa .

Badala ya kujenga chama mpo busy na uchawa
 
Nenda akupe kazi , mtu mzima na familia unakua na akili ya ajabu , why usijisifie mwenyewe ?

Nakwambia na nilisha kwambia mbeleni maisha yako yatakua ya tabu sana , kwamba wewe upo na macho 3 kama sio manne kuliko watu wa inner cycle ambao ni ccm na wameona hana huwezo wa kutumikia nafasi aliokuwa nayo?

Ni kwa kua ccm imepoteza Dira kama sio hivyo ningejiinga na chama hichi niwatie adabu hasa nyie Machawa .

Badala ya kujenga chama mpo busy na uchawa
Wala haihitaji wewe kuwa na hasira kiasi hicho zaidi ya kukubali tu ukweli kuwa Makonda ni Mwamba kwelikweli
 
Kijana msomi hasiye na vyeti vya kugushi, week jana alitanganzwa kushinda kiti cha Urais Senegal. Utatwambiaje huyu mropokaji kuwa na ushawishi kuliko vijana wengine Africa? Kapime afya ya akili yako.
Asingepata Urais ikiwa Sonko angegombea Urais
 
Yeah,Jamaa ana uthubutu lakini kwa maoni yangu kuna hawa jamaa Makonda hajawafikia
1.ROBERT KYAGULANYA-UGANDA
2.JULIUS MALEMA-AFRIKA KUSINI
3.OUSMANE SONKO-SENEGAL
4.DIANE RWIGARA -RWANDA
5.NELSON CHAMISA-ZIMBAMBWE

Hao hapo juu ni vyuma kwelikweli,misukosuko waliopitia na wanayopitia Makonda na Sabaya wanasubiri.
Wana ushawishi siyo ndani tu hata nje ya nchi zao...naamini hata mleta mada walijua hilo.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kuna wakati mwanasiasa kijana kutokea Afrika ya kusini Julius Malema alionekana kama ndiye kijana jasiri zaidi hapa Barani Afrika na ambaye alikuwa akilitetea hata Bara zima la Afrika hususani vijana wa ki Afrika, na kwa hakika wengi walitamani kuwa kama kijana huyo anayeongoza chama cha EFF kwa sasa, na ambaye amewahi kuwa mwanachama wa ANC na kiongozi wa vijana wa ANC kabla ya kufukuzwa uwanachama,Lakini kwa sasa kibao kimegeuka kabisa.

kwa sasa Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda ndiye Mwanasiasa kijana anayetajwa kuwa jasiri sana kuwahi kutokea katika miaka ya hivi karibuni. Ni jasiri kwelikweli mithili ya wale makomandoo waliopikwa na kuivishwa kisawasawa kijeshi na kimedani kutoka Marekani waliokwenda Pakistani kwenda kupambana katika ngome ya Gaidi namba moja Duniani Osama Bin laden huku Rais wao akiwa anawatizama kutokea ikulu ya whitehouse Marekani namna wanavyopambana huku wakiwa wamelibeba Taifa lao mabegani mwao.

Haijapata kutokea hapa nchini kwa miaka ya hivi karibuni kuona kijana ambaye jina lake likitajwa kwenye taarifa ya mkurugenzi mkuu wa mawasiliano ya Rais ikulu katika uteuzi wa aina yoyote ile linatetemesha ,kutikisa na linateka habari zote mitaani,vijiweni,makanisani,virabuni, bar, shuleni, masokoni,viwanjani na kuzima mijadala yote mitaani inayokuwa inaendelea na kubakia yeye tu akitamba na kutawala katika medani za kisiasa ,utafikiri jeshi la Tanzania lilipokuwa linaingia katika ardhi ya Uganda kumsaka kwa hasira na uchungu mkali huku mioyo yao ikibubujikwa machozi ya hisia kali za uzalendo ili kumnasa Nduli Iddi Amini Dada.

Makonda ni Mwamba ni Mwamba kwelikweli ni Jabali la siasa ni fundi wa siasa, ni komando. Ni field Marshall wa siasa za Tanzania na nje ya mipaka ya Tanzania.

Ni kivutio na mfano halisi wa kijana jasiri na mzalendo wa kweli. Jina lake tu ni kama Taasisi ,ni mkubwa kuliko Sacco's kama CHADEMA nzima.

Anao ushawishi ambao sijapata kuuona wala kuushuhudia ,anakubalika utafikiri pesa. Ana nguvu iliyo kubwa sana ndani yake. Akiunguruma nchi nzima inatikisika na kubaki ikifanya mjadala tu juu yake.

Mwamba Makonda anazima na kufunika hadi habari za simba na yanga? Huyu mwamba siyo mtu wa kawaida, Mungu amempatia kibali cha kipekee kabisa na Karama ya uongozi.ndio maana ya kuona na kushuhudia namna alivyo na ushawishi na nguvu kubwa ya kisiasa.

Hata ukimtizama anapozungumza tu unaona kabisa huyu ni zaidi ya kiongozi,ni kiongozi mwenye mamlaka tokea ndani yake.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

View attachment 2951049View attachment 2951052View attachment 2951055
Ndiyooooo ni Kweliiiiiii. Paul Makonda Ni mwanasiasa machachari sana kwa sasa Tanzania, Hakika mji wetu wa Arusha sasa tumepata kiongozi wa kutukuka... Kongole..!! Itabidi nifupishe ziara yangu huku Durban SA, kwa ajili ya kuja kumpokea mheshimiwa Chugga.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kuna wakati mwanasiasa kijana kutokea Afrika ya kusini Julius Malema alionekana kama ndiye kijana jasiri zaidi hapa Barani Afrika na ambaye alikuwa akilitetea hata Bara zima la Afrika hususani vijana wa ki Afrika, na kwa hakika wengi walitamani kuwa kama kijana huyo anayeongoza chama cha EFF kwa sasa, na ambaye amewahi kuwa mwanachama wa ANC na kiongozi wa vijana wa ANC kabla ya kufukuzwa uwanachama,Lakini kwa sasa kibao kimegeuka kabisa.

kwa sasa Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda ndiye Mwanasiasa kijana anayetajwa kuwa jasiri sana kuwahi kutokea katika miaka ya hivi karibuni. Ni jasiri kwelikweli mithili ya wale makomandoo waliopikwa na kuivishwa kisawasawa kijeshi na kimedani kutoka Marekani waliokwenda Pakistani kwenda kupambana katika ngome ya Gaidi namba moja Duniani Osama Bin laden huku Rais wao akiwa anawatizama kutokea ikulu ya whitehouse Marekani namna wanavyopambana huku wakiwa wamelibeba Taifa lao mabegani mwao.

Haijapata kutokea hapa nchini kwa miaka ya hivi karibuni kuona kijana ambaye jina lake likitajwa kwenye taarifa ya mkurugenzi mkuu wa mawasiliano ya Rais ikulu katika uteuzi wa aina yoyote ile linatetemesha ,kutikisa na linateka habari zote mitaani,vijiweni,makanisani,virabuni, bar, shuleni, masokoni,viwanjani na kuzima mijadala yote mitaani inayokuwa inaendelea na kubakia yeye tu akitamba na kutawala katika medani za kisiasa ,utafikiri jeshi la Tanzania lilipokuwa linaingia katika ardhi ya Uganda kumsaka kwa hasira na uchungu mkali huku mioyo yao ikibubujikwa machozi ya hisia kali za uzalendo ili kumnasa Nduli Iddi Amini Dada.

Makonda ni Mwamba ni Mwamba kwelikweli ni Jabali la siasa ni fundi wa siasa, ni komando. Ni field Marshall wa siasa za Tanzania na nje ya mipaka ya Tanzania.

Ni kivutio na mfano halisi wa kijana jasiri na mzalendo wa kweli. Jina lake tu ni kama Taasisi ,ni mkubwa kuliko Sacco's kama CHADEMA nzima.

Anao ushawishi ambao sijapata kuuona wala kuushuhudia ,anakubalika utafikiri pesa. Ana nguvu iliyo kubwa sana ndani yake. Akiunguruma nchi nzima inatikisika na kubaki ikifanya mjadala tu juu yake.

Mwamba Makonda anazima na kufunika hadi habari za simba na yanga? Huyu mwamba siyo mtu wa kawaida, Mungu amempatia kibali cha kipekee kabisa na Karama ya uongozi.ndio maana ya kuona na kushuhudia namna alivyo na ushawishi na nguvu kubwa ya kisiasa.

Hata ukimtizama anapozungumza tu unaona kabisa huyu ni zaidi ya kiongozi,ni kiongozi mwenye mamlaka tokea ndani yake.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

View attachment 2951049View attachment 2951052View attachment 2951055
Mpeleke Marekani
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kuna wakati mwanasiasa kijana kutokea Afrika ya kusini Julius Malema alionekana kama ndiye kijana jasiri zaidi hapa Barani Afrika na ambaye alikuwa akilitetea hata Bara zima la Afrika hususani vijana wa ki Afrika, na kwa hakika wengi walitamani kuwa kama kijana huyo anayeongoza chama cha EFF kwa sasa, na ambaye amewahi kuwa mwanachama wa ANC na kiongozi wa vijana wa ANC kabla ya kufukuzwa uwanachama,Lakini kwa sasa kibao kimegeuka kabisa.

kwa sasa Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda ndiye Mwanasiasa kijana anayetajwa kuwa jasiri sana kuwahi kutokea katika miaka ya hivi karibuni. Ni jasiri kwelikweli mithili ya wale makomandoo waliopikwa na kuivishwa kisawasawa kijeshi na kimedani kutoka Marekani waliokwenda Pakistani kwenda kupambana katika ngome ya Gaidi namba moja Duniani Osama Bin laden huku Rais wao akiwa anawatizama kutokea ikulu ya whitehouse Marekani namna wanavyopambana huku wakiwa wamelibeba Taifa lao mabegani mwao.

Haijapata kutokea hapa nchini kwa miaka ya hivi karibuni kuona kijana ambaye jina lake likitajwa kwenye taarifa ya mkurugenzi mkuu wa mawasiliano ya Rais ikulu katika uteuzi wa aina yoyote ile linatetemesha ,kutikisa na linateka habari zote mitaani,vijiweni,makanisani,virabuni, bar, shuleni, masokoni,viwanjani na kuzima mijadala yote mitaani inayokuwa inaendelea na kubakia yeye tu akitamba na kutawala katika medani za kisiasa ,utafikiri jeshi la Tanzania lilipokuwa linaingia katika ardhi ya Uganda kumsaka kwa hasira na uchungu mkali huku mioyo yao ikibubujikwa machozi ya hisia kali za uzalendo ili kumnasa Nduli Iddi Amini Dada.

Makonda ni Mwamba ni Mwamba kwelikweli ni Jabali la siasa ni fundi wa siasa, ni komando. Ni field Marshall wa siasa za Tanzania na nje ya mipaka ya Tanzania.

Ni kivutio na mfano halisi wa kijana jasiri na mzalendo wa kweli. Jina lake tu ni kama Taasisi ,ni mkubwa kuliko Sacco's kama CHADEMA nzima.

Anao ushawishi ambao sijapata kuuona wala kuushuhudia ,anakubalika utafikiri pesa. Ana nguvu iliyo kubwa sana ndani yake. Akiunguruma nchi nzima inatikisika na kubaki ikifanya mjadala tu juu yake.

Mwamba Makonda anazima na kufunika hadi habari za simba na yanga? Huyu mwamba siyo mtu wa kawaida, Mungu amempatia kibali cha kipekee kabisa na Karama ya uongozi.ndio maana ya kuona na kushuhudia namna alivyo na ushawishi na nguvu kubwa ya kisiasa.

Hata ukimtizama anapozungumza tu unaona kabisa huyu ni zaidi ya kiongozi,ni kiongozi mwenye mamlaka tokea ndani yake.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

View attachment 2951049View attachment 2951052View attachment 2951055
kwisha habari yake
 
Back
Top Bottom