Paul Makonda nimekumisi

Paul Makonda nimekumisi

Jamani wanaume wa dar tumekosa amani kabisa Mungu atusaidie

Hivi vitoto vinatuonea sana yaani

Hata kutoka nje usiku naogopa nakojolea kwenye kopo

Polisi wameanza kuwa makini ili tatizo litakwisha tu

Piga kelele kwa polisi wake
Weuweeee ..!
Mkuu,
Naona umekua muoga Sana Kama Kunguru wa Manzese kwa baresa[emoji4]
 
Dar unarudi lini Mheshimiwa wetu Baba Keagan
Hii hairuhusuwi maana mpaka Sasa haujui nani anafadhili hicho kikundi cha uhalifu iwapo ukisema yeye ndo anaweza maana yake akitolewa akaandaa genge lake pembeni Ili arudishwe hapo nchi itazalisha makundi mengi ya kihalifu maana Kuna watu unaweza hata usiwafikirie kama wanaweza kuwa na makundi yao ya ugange Ili kuwaharibia wengine na wao warudishwe kwenye vitengo au wapewe vitengo.
 
Wakamatwe na wahojiwe, familia zao zipatikane tujue chanzo au msukumo wa kuingia kwenye hili kundi unakotokea

Tukumbuke hakuna mtoto aliyezaliwa kama panyaroad ila Yapo yanayowapelekea kuwa panyaroad. Tutafute tuyajue na kuyashughulikia

Hakuna kuhojiwa wakikamatwa wauwawe watupwe baharini hakuna excuse kwenye kudhuru wengine, uwiano ni wakamatwe wauwawe na kutupwa baharini au wazikwe na manispaa, wanatakiwa wawekewe kifuani upande wa kushoto silent pistol ambapo risasi moja unasambaratisha moyo anaanguka tu hata watu wa pembeni hawasikii wataona damu tuu, halafu kujifanya wanapelekwa hospital kama bado anapumua anakandamiziwa na moja kwenye shingo kwisha kazi
 
Huyu bwana alichangamsha jiji, Dare salaam siyo ya dezo dezo inahitaji mkuu wa mkoa jeuri mwenye vijembe na masimango kama Makonda.

Huyu wa sasa mwenye shavu kama kameza fundo la castle light na miwani ya kihuni ni tabu tupu mkoa umemshinda

Panya road wanafanya watakavyo pamoja na mikwara yake ya kitoto, hali ni tete wasikie tu panya road kwa jirani ni hatari sana.
imerudi serikali urojo!! miaka hyo polisi kupolwa silaha
 
Mkikamata panya road hakikisheni harudi..

wanatesa San Raia wanaibia Sana watu vitu vyao nchi yetu tuogope na kutembea? Piga ya mkiua watu 100 watasimuliana na hawafanya huo upuuzi..


vijana wa jwts waingia mtaani wafanye demo kamata panya roads wote Raia wanafahamu waweke kura za Siri..
 
Ulishawahi kujaza maji/hewa kwenye puto, hujaa na presha inapokuwa kubwa kitu kidogo tu kitasababisha mpasuko mkubwa. Sasa vitu kama ugumu wa maisha katika jamii ndio imeleta hii kitu. Japo unafuu kinyume chake sio dawa pekee ya kuondoa kwa sasa tatizo hili. Hakuna haja ya kuunda tume, badala yake wahusika wajikite kwenye kuregeza vyuma. Kuwatafuta na makaripio mana vijana panya weshachuzika
 
Huyu bwana alichangamsha jiji, Dare salaam siyo ya dezo dezo inahitaji mkuu wa mkoa jeuri mwenye vijembe na masimango kama Makonda.

Huyu wa sasa mwenye shavu kama kameza fundo la castle light na miwani ya kihuni ni tabu tupu mkoa umemshinda

Panya road wanafanya watakavyo pamoja na mikwara yake ya kitoto, hali ni tete wasikie tu panya road kwa jirani ni hatari sana.
Babu nimecheka sana usiku huu peke yangu..! Eti shavu km kameza fundo la castle lite🤣🤣🤣
 
Wakamatwe na wahojiwe, familia zao zipatikane tujue chanzo au msukumo wa kuingia kwenye hili kundi unakotokea

Tukumbuke hakuna mtoto aliyezaliwa kama panyaroad ila Yapo yanayowapelekea kuwa panyaroad. Tutafute tuyajue na kuyashughulikia

Usijitoe ufahamu! Tatizo lipo kwa viongozi ambao wameshindwa kutatua matatizo ya wananchi. Ajira imekuwa tatzio kubwa sana. Huku watoto wa samia na kikwete wakiendelea kula kuku. Mwananchi wa kawaida aendelee kushinda njaa au kuambulia bamia? Tuwe serious haya mambo, mbona ni mwanzo tu.
 
Usijitoe ufahamu! Tatizo lipo kwa viongozi ambao wameshindwa kutatua matatizo ya wananchi. Ajira imekuwa tatzio kubwa sana. Huku watoto wa samia na kikwete wakiendelea kula kuku. Mwananchi wa kawaida aendelee kushinda njaa au kuambulia bamia? Tuwe serious haya mambo, mbona ni mwanzo tu.

Wacha kuropoka kabla hujajua hata hujajua wastani wa umri wa hao panyaroad
Tunapotafuta dawa ya tatizo huwa hatuwezi hisia au chuki au hasira mbele, bali huwa tunatafuta chanzo au chanzo cha uhakika na kukishughulikia
 
Umeona ehh!
Mnyonge mnyongeni Lakini haki yake apewe walahi
 
Unashindwa hata kuwa na UPINDE NA MSHALE hapo ulikopanga ili ujilinde binafsi? Badala yake unalilia kumiss Makonda, eeh? Kijana wa hovyo kabisa wewe.
 
Mimi nawashauri panya road wasiishie kuwacharanga mapanga, Bali wawale Tigo mbele ya wake zenu ndio mtasema Sasa imetosha na hakutakuwa na Panya road Tena.

Panya road siyo issue ya Polisi, hao wanamalizwa na wananchi wenyewe wakiamuwa.
Nakazia
 
Kwa akili hizi, ndo maana wazungu wanasema waafrika zamani tulikuwa nyani.
reasoning and thinking capacity ni sufuri sufuri "0000000000000000"
Tafuta Upinde na Mshale upambane na hao panya road wewe, acha kuishi kizembe zembe kuna siku mtaliwa jicho mbele ya familia zenu.
 
Huyu bwana alichangamsha jiji, Dare salaam siyo ya dezo dezo inahitaji mkuu wa mkoa jeuri mwenye vijembe na masimango kama Makonda.

Huyu wa sasa mwenye shavu kama kameza fundo la castle light na miwani ya kihuni ni tabu tupu mkoa umemshinda

Panya road wanafanya watakavyo pamoja na mikwara yake ya kitoto, hali ni tete wasikie tu panya road kwa jirani ni hatari sana.
Kama unampenda Makonda Mshauri arudishe Mali za watu alizopora pamoja na Magari Kwa kutumia Cheo, cheo ni dhamana Sio kupora watu wema!! Pia Mashamba ya Sumaye Mabwe pande pia arudishe
 
Wakamatwe na wahojiwe, familia zao zipatikane tujue chanzo au msukumo wa kuingia kwenye hili kundi unakotokea

Tukumbuke hakuna mtoto aliyezaliwa kama panyaroad ila Yapo yanayowapelekea kuwa panyaroad. Tutafute tuyajue na kuyashughulikia

Wahojiwe tena 😳 hawa ni kuwawaisha akhera tu.
 
Back
Top Bottom