mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
kwa clinic ya haki aliyoifanya leo kwa zaidi ya masaa10 ni balaa, kesho inaendelea na keshokutwa piaHajafanya cha maana mpaka sasa.
Hiyo ni smear campaign tu kwa chadema, CCM wanajua chadema inakubalika sana Arusha.
Kama kuna majitu majinga huyu nae yumo. Mnahadaiwa waziwazi na bado hamuelewi. Huyo ni msanii tu. Hana tofauti na wahubiri wa injili ya matumaini. Weak people , weak mind, ndio mnakuwa manipulated na watu design hii.matumaini na matarajio ya suluhu ya changamoto na matatizo binafsi na ya jumla kwa watu wa Arusha yameamshwa upya na kwakweli ni makubwa mno....
Leo watu wa Arusha wamepata ahueni ya mwanzo, iliyoamsha furaha, matumaini yaliyopotea kwa waliokata tamaa.....
clinic ya haki ni matumaini ya wana Arusha chini ya comrade RC.Paul Makonda...
Mwenyezi Mungu aambatane na kuandamana nawe daima, kiongozi wa mkoa wa Arusha....
clini ya haki, kesho pia inaendelea, licha ya nyomi iloyoko, but utasaidika tuKuna watu wanapenda vibaya unaweza kudhani ni mtindio wa akili. Peleka posa basi.
clini ya haki binafsi na za jumla inatatuliwa live....Kasukuma tena Mkokoteni au kapanda karandinga?
waliosaidika leo wamekusamehe na wanakuombea sana baraka na neema za Mungu, yasikukuteKama kuna majitu majinga huyu nae yumo. Mnahadaiwa waziwazi na bado hamuelewi. Huyo ni msanii tu. Hana tofauti na wahubiri wa injili ya matumaini. Weak people , weak mind, ndio mnakuwa manipulated na watu design hii.
hoyeeeeee......Makonda oyeeee...
Kazi iendelee...
Ata yangenikuta, huyo hawezi kuwa solution. System ikifeli mtu mmoja mmoja hawezi lolote, jiulize Dar alijifanya kulazimisha ma single maza sijui wafanyaje, kiko wapi? jambo gani kawahi kuanzisha na kumalizia zaidi ya uharamia tu.waliosaidika leo wamekusamehe na wanakuombea sana baraka na neema za Mungu, yasikukute
by the way kesho clinic ya haki inaendelea.....
mtetezi wa wanyonge, tumaini la waliokata tamaa ArushaMdhamini mkuu wa WADUDU...
hakuna tatizo,Ata yangenikuta, huyo hawezi kuwa solution. System ikifeli mtu mmoja mmoja hawezi lolote, jiulize Dar alijifanya kulazimisha ma single maza sijui wafanyaje, kiko wapi? jambo gani kawahi kuanzisha na kumalizia zaidi ya uharamia tu.
Uchawa tu.hakuna tatizo,
amini Mungu,
leo wanafaika wanalala kwa amani na kesho wale waliokata tamaa watapata matumaini na pumzi mpya kabisa
Amefanya clinic ya haki kubwa mno ambayo haijawahi kutokea Arusha.....Kuna jipya gani kafanya huko town?
Unaota wewe amka, Mafuriko hayazuiliwi kwa mkono! 🤣 🤣 🤣 🤣Makonda kwa kuongea na kupanga tu, anaweza kweli kweli...
Lakini, baada ya muda jaribu ku-quantify matokeo ya vitu vyote anavyovitaja, hakuna matokeo...