Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Hivi ww ni mtakatifu sana mbona unahesabu mabaya tu🥶Kwamba makonda hana mema hivi umeangalia Arusha watu wazima wazee wanalia na kushukuru japo sasa wamepata mtu wa kumweleza shida zao harafu mpuuzi km ww ulie shiba mali za wizi na dhuruma utampendaje Makonda . ila kuna siku mtazitapika tu hizo hela za dhuluma washenzi nyie
Kumbe na wewe huipendi dhuluma?. Sasa kwann unamfagilia dhulumati Makonda?
 
Jambo moja ambalo anapaswa abadilike upesi ni kukurupuka kutoa uamuzi kwenye mikutano na wananchi, pale upande A unapolalamikia upande B.
Huwa anaamua na kutoa maagizo kabla ya kusikiliza upande mwingine ili kupata uhalisia wa jambo.
Kwa mfano karibuni nimeona video ya mzee mmoja akilalamika kuuzwa kwa nyumba yake kwasababu ya mkopo wa Milioni 3,makonda akakurupuka "askari kamata hao wahusika weka ndani"
Ana uhakika gani deni ni M3?
Amejiridhishaje nyumba ni M50?
Yani ni kukimbilia kutoa uamuzi wa kufurahisha kadamnasi lakini unaweza usimsaidie lolote mlalamikaji pindi mambo yakifika mahakamani
 
View attachment 2984794
Nimesoma comment hiyo huko Instagram nikashtuka sana.

Haiba ya Paul Makonda inalingana sana na ya Adolf Hitler, fuhrer wa dola la Ujerumani baada ya WWI

Kwa mantiki hiyo si ajabu wataalamu wa kuchunguza mienendo na tabia za viongozi wenye traits za ukatili duniani, kutoka Serikali ya Marekani waliona Makonda siyo kiumbe wa kuedekeza, wakampiga pin mapema asitie mguu kwenye ardhi yao bali abaki kuwa tatizo letu Tanzania.

Kabla ya kuanza vurugu zake, Adolf Hitler alipenda sana kujionesha kuwa ni mcha Mungu na hotuba zake nyingi alimalizia kwa kuapa kwa Jina la Baba, na la Mwana, na Roho Mtakatifu....viongozi wengi wa dini wakaingia kwenye mfumo baadaye walikiona cha mtema kuni...mfano mzuri ni Martin Niemoller.

Hitler aliwafanya Wajerumani waamini kwamba yeye peke yake ndiye mwenye suluhu ya maisha magumu kufuatia baada ya WW I.

Alibeba kisasi moyoni mwake, akatafuta jamii ya kuilaumu baada ya vita hiyo, akaelekeza lawama zake kwa Wayahudi na Wakomunisti.

Makuzi ya Makonda na ya Hitler hayatofautiani sana, wote ni watu ambao hawakuwa na uwezo wowote shuleni lkn wamejaliwa vipaji vya kuhamasisha Umma. Kwa maana hii Makonda anatumia kila fursa ndogo kiasi gani, hata shughuli zisizo na maana kujionesha kuwa yeye ni Messiah, wakati mwingine akijisahau kabisa kuwa kuna viongozi wake wakuu wa Kitaifa.

Hoja yangu:
Wote tunaolitakia mema Taifa letu, tusimdekeze huyu kiumbe, kuna siku matukio ya kitaifa yasiyotabirika yanaweza kumpropel tukajikuta ni kiongozi mkuu wa kitaifa na hapo ndipo tutalimia meno kama mentor wale Magufuli alivyojaribu kutulimisha.

Niwapongeze CCM angalau kwa kumwondoa huko kwenye Uongozi wa Kitaifa.

Huyu hapo alipofikia inabidi iwe mwisho wake asipande zaidi ya nafasi hiyo, tutakuja kulia kilio cha kusaga meno, he is a thug.
Niliwahi kupost jambo kama hili hili siku za nyuma. Viongozi wote waliogeuka kuwa madictator walianza kama watetea haki za wanyonge, na walifanya hayo kwa kutumia matangazo makubwa, huyo Hitler ni mfano halisi. Hapa kwetu Magufuli alifanikiwa sana kwa hilo, na Makonda anafuata nyayo zilezile. Iwapo Makonda atafanikiwa kushika madaraka makubwa, vile vikundi vya watekaji vitarejea waziwazi, na mauaji ya wasiojinyenyekeza kwa viongozi yatarejea kama enzi za magu.
 
Hivi ww ni mtakatifu sana mbona unahesabu mabaya tu🥶Kwamba makonda hana mema hivi umeangalia Arusha watu wazima wazee wanalia na kushukuru japo sasa wamepata mtu wa kumweleza shida zao harafu mpuuzi km ww ulie shiba mali za wizi na dhuruma utampendaje Makonda . ila kuna siku mtazitapika tu hizo hela za dhuluma washenzi nyie
Hakuna matatizo serious yanatatuliwa kwa hiyo mbinu ya Makonda, hapo anacheza cheap politics.
 
Kinachomuangusha Makonda ni kisasi amebeba visasi na shida vinampofua utendaji wake

Unakuwa na maigizo mengi kuliko uhalisia kujaribu kutengeneza picha yake iliyqchafuliwa msimu ule
Hivi anavyotatua migogoro na kero za wananchi kwako wewe unaona ni maigizo
View attachment 2984794
Nimesoma comment hiyo huko Instagram nikashtuka sana.

Haiba ya Paul Makonda inalingana sana na ya Adolf Hitler, fuhrer wa dola la Ujerumani baada ya WWI

Kwa mantiki hiyo si ajabu wataalamu wa kuchunguza mienendo na tabia za viongozi wenye traits za ukatili duniani, kutoka Serikali ya Marekani waliona Makonda siyo kiumbe wa kuedekeza, wakampiga pin mapema asitie mguu kwenye ardhi yao bali abaki kuwa tatizo letu Tanzania.

Kabla ya kuanza vurugu zake, Adolf Hitler alipenda sana kujionesha kuwa ni mcha Mungu na hotuba zake nyingi alimalizia kwa kuapa kwa Jina la Baba, na la Mwana, na Roho Mtakatifu....viongozi wengi wa dini wakaingia kwenye mfumo baadaye walikiona cha mtema kuni...mfano mzuri ni Martin Niemoller.

Hitler aliwafanya Wajerumani waamini kwamba yeye peke yake ndiye mwenye suluhu ya maisha magumu kufuatia baada ya WW I.

Alibeba kisasi moyoni mwake, akatafuta jamii ya kuilaumu baada ya vita hiyo, akaelekeza lawama zake kwa Wayahudi na Wakomunisti.

Makuzi ya Makonda na ya Hitler hayatofautiani sana, wote ni watu ambao hawakuwa na uwezo wowote shuleni lkn wamejaliwa vipaji vya kuhamasisha Umma. Kwa maana hii Makonda anatumia kila fursa ndogo kiasi gani, hata shughuli zisizo na maana kujionesha kuwa yeye ni Messiah, wakati mwingine akijisahau kabisa kuwa kuna viongozi wake wakuu wa Kitaifa.

Hoja yangu:
Wote tunaolitakia mema Taifa letu, tusimdekeze huyu kiumbe, kuna siku matukio ya kitaifa yasiyotabirika yanaweza kumpropel tukajikuta ni kiongozi mkuu wa kitaifa na hapo ndipo tutalimia meno kama mentor wale Magufuli alivyojaribu kutulimisha.

Niwapongeze CCM angalau kwa kumwondoa huko kwenye Uongozi wa Kitaifa.

Huyu hapo alipofikia inabidi iwe mwisho wake asipande zaidi ya nafasi hiyo, tutakuja kulia kilio cha kusaga meno, he is a thug.
Kuna siku mtafikiwa tu nyinyi majizi,mbegu aliyopanda JPM kuna siku itamea tu nchi hii.Migogoro na kero za wananchi anazokabiliana nazo, viongozi wengi wameshindwa.
Mlidai hatoiweza Arusha, sasa mmebaki kutusha shuyuma za kipuuuzi zisizo na maslahi yoyotr kwa wananchi zaidi ya ubinafsi wenu.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Hakuna matatizo serious yanatatuliwa kwa hiyo mbinu ya Makonda, hapo anacheza cheap politics.
Matatizo serious ndio yapi hayo yasiyowahusu wananchi au kwakuwa hayakuhusu wewe? Huo ni ubinafsi.Kama wewe huna shida waache wenye shida zao wapate suluhisho.Mimi ni mfaidika wa kampeni za Makonda,nilifanikiwa kupata mirathi ya mzazi wangu niliyoihangaikia for 5 yrs bila mafanikio, lkn Makonda alinisaidia nikafanikiwa kupata akiwa RC wa Dar.
Sasa ukisema anafanya cheap politics nakuona mwendawazimu.
 
Hakuna matatizo serious yanatatuliwa kwa hiyo mbinu ya Makonda, hapo anacheza cheap politics.

Hata haya kwako ni cheap politics kwakuwa hayapo upande wako.
 
Matatizo serious ndio yapi hayo yasiyowahusu wananchi au kwakuwa hayakuhusu wewe? Huo ni ubinafsi.Kama wewe huna shida waache wenye shida zao wapate suluhisho.Mimi ni mfaidika wa kampeni za Makonda,nilifanikiwa kupata mirathi ya mzazi wangu niliyoihangaikia for 5 yrs bila mafanikio, lkn Makonda alinisaidia nikafanikiwa kupata akiwa RC wa Dar.
Sasa ukisema anafanya cheap politics nakuona mwendawazimu.
Sasa ww si ndio muandaaji wa hizo kiki unategemea Nini?
 
Nilitegemea unieleze ni namna gani matatizo ya wananchi uyageuze cheap politcs badala yake unabwabwaja tu.
Hitler ndio aliyeligeuza Taifa la German kuwa Super power,wewe umekalia hizo propaganda za Us na washirika wake zilizopelekea kuangusha utawala wa German na kurithi yeye uchumi wa dunia.Msifikiri kila mtu mjinga.
Kwamba hivyo vita vya pili vya Dunia ni propaganda za US ama.? kwa hiyo mageuzi unayoyataka ndio hayo ya kuletwa na huyo muhalifu Makonda?
 
Mambo nini jombaa? sema nini, mazaa kashusha ndonga saizi yetu, huwezi amini asubuhi hii mdudu niko mageroni.

Sema amsha amsha za hivi tulizimiss sana. Mamaa tuachie hii nyusu chuga... Haina kuhama hadi 2030.

Ukiruhusu na kiroba utatisha sana mazaa, utaboost uchumi wetu sana.

#chuga_kama_mbele
 
Mambo nini jombaa? sema nini, mazaa kashusha ndonga saizi yetu, huwezi amini asubuhi hii mdudu niko mageroni.

Sema amsha amsha za hivi tulizimiss sana. Mamaa tuachie hii nyusu chuga... Haina kuhama hadi 2030.

Ukiruhusu na kiroba utatisha sana mazaa, utaboost uchumi wetu sana.

#chuga_kama_mbele
 
Back
Top Bottom