Igombe fisherman
JF-Expert Member
- Apr 28, 2017
- 2,178
- 3,865
Kumbe na wewe huipendi dhuluma?. Sasa kwann unamfagilia dhulumati Makonda?Hivi ww ni mtakatifu sana mbona unahesabu mabaya tu🥶Kwamba makonda hana mema hivi umeangalia Arusha watu wazima wazee wanalia na kushukuru japo sasa wamepata mtu wa kumweleza shida zao harafu mpuuzi km ww ulie shiba mali za wizi na dhuruma utampendaje Makonda . ila kuna siku mtazitapika tu hizo hela za dhuluma washenzi nyie
Wavuta bange kama WADUDU.Awakomeshe wavuta bangi wote
Tena hao wadudu ana wa endekeza sijui kwanini haoni hao ni wahuniWavuta bange kama WADUDU.
Kakudhulumu nn mdau weka wazi tuKumbe na wewe huipendi dhuluma?. Sasa kwann unamfagilia dhulumati Makonda?
Niliwahi kupost jambo kama hili hili siku za nyuma. Viongozi wote waliogeuka kuwa madictator walianza kama watetea haki za wanyonge, na walifanya hayo kwa kutumia matangazo makubwa, huyo Hitler ni mfano halisi. Hapa kwetu Magufuli alifanikiwa sana kwa hilo, na Makonda anafuata nyayo zilezile. Iwapo Makonda atafanikiwa kushika madaraka makubwa, vile vikundi vya watekaji vitarejea waziwazi, na mauaji ya wasiojinyenyekeza kwa viongozi yatarejea kama enzi za magu.View attachment 2984794
Nimesoma comment hiyo huko Instagram nikashtuka sana.
Haiba ya Paul Makonda inalingana sana na ya Adolf Hitler, fuhrer wa dola la Ujerumani baada ya WWI
Kwa mantiki hiyo si ajabu wataalamu wa kuchunguza mienendo na tabia za viongozi wenye traits za ukatili duniani, kutoka Serikali ya Marekani waliona Makonda siyo kiumbe wa kuedekeza, wakampiga pin mapema asitie mguu kwenye ardhi yao bali abaki kuwa tatizo letu Tanzania.
Kabla ya kuanza vurugu zake, Adolf Hitler alipenda sana kujionesha kuwa ni mcha Mungu na hotuba zake nyingi alimalizia kwa kuapa kwa Jina la Baba, na la Mwana, na Roho Mtakatifu....viongozi wengi wa dini wakaingia kwenye mfumo baadaye walikiona cha mtema kuni...mfano mzuri ni Martin Niemoller.
Hitler aliwafanya Wajerumani waamini kwamba yeye peke yake ndiye mwenye suluhu ya maisha magumu kufuatia baada ya WW I.
Alibeba kisasi moyoni mwake, akatafuta jamii ya kuilaumu baada ya vita hiyo, akaelekeza lawama zake kwa Wayahudi na Wakomunisti.
Makuzi ya Makonda na ya Hitler hayatofautiani sana, wote ni watu ambao hawakuwa na uwezo wowote shuleni lkn wamejaliwa vipaji vya kuhamasisha Umma. Kwa maana hii Makonda anatumia kila fursa ndogo kiasi gani, hata shughuli zisizo na maana kujionesha kuwa yeye ni Messiah, wakati mwingine akijisahau kabisa kuwa kuna viongozi wake wakuu wa Kitaifa.
Hoja yangu:
Wote tunaolitakia mema Taifa letu, tusimdekeze huyu kiumbe, kuna siku matukio ya kitaifa yasiyotabirika yanaweza kumpropel tukajikuta ni kiongozi mkuu wa kitaifa na hapo ndipo tutalimia meno kama mentor wale Magufuli alivyojaribu kutulimisha.
Niwapongeze CCM angalau kwa kumwondoa huko kwenye Uongozi wa Kitaifa.
Huyu hapo alipofikia inabidi iwe mwisho wake asipande zaidi ya nafasi hiyo, tutakuja kulia kilio cha kusaga meno, he is a thug.
Hakuna matatizo serious yanatatuliwa kwa hiyo mbinu ya Makonda, hapo anacheza cheap politics.Hivi ww ni mtakatifu sana mbona unahesabu mabaya tu🥶Kwamba makonda hana mema hivi umeangalia Arusha watu wazima wazee wanalia na kushukuru japo sasa wamepata mtu wa kumweleza shida zao harafu mpuuzi km ww ulie shiba mali za wizi na dhuruma utampendaje Makonda . ila kuna siku mtazitapika tu hizo hela za dhuluma washenzi nyie
Hivi anavyotatua migogoro na kero za wananchi kwako wewe unaona ni maigizoKinachomuangusha Makonda ni kisasi amebeba visasi na shida vinampofua utendaji wake
Unakuwa na maigizo mengi kuliko uhalisia kujaribu kutengeneza picha yake iliyqchafuliwa msimu ule
Kuna siku mtafikiwa tu nyinyi majizi,mbegu aliyopanda JPM kuna siku itamea tu nchi hii.Migogoro na kero za wananchi anazokabiliana nazo, viongozi wengi wameshindwa.View attachment 2984794
Nimesoma comment hiyo huko Instagram nikashtuka sana.
Haiba ya Paul Makonda inalingana sana na ya Adolf Hitler, fuhrer wa dola la Ujerumani baada ya WWI
Kwa mantiki hiyo si ajabu wataalamu wa kuchunguza mienendo na tabia za viongozi wenye traits za ukatili duniani, kutoka Serikali ya Marekani waliona Makonda siyo kiumbe wa kuedekeza, wakampiga pin mapema asitie mguu kwenye ardhi yao bali abaki kuwa tatizo letu Tanzania.
Kabla ya kuanza vurugu zake, Adolf Hitler alipenda sana kujionesha kuwa ni mcha Mungu na hotuba zake nyingi alimalizia kwa kuapa kwa Jina la Baba, na la Mwana, na Roho Mtakatifu....viongozi wengi wa dini wakaingia kwenye mfumo baadaye walikiona cha mtema kuni...mfano mzuri ni Martin Niemoller.
Hitler aliwafanya Wajerumani waamini kwamba yeye peke yake ndiye mwenye suluhu ya maisha magumu kufuatia baada ya WW I.
Alibeba kisasi moyoni mwake, akatafuta jamii ya kuilaumu baada ya vita hiyo, akaelekeza lawama zake kwa Wayahudi na Wakomunisti.
Makuzi ya Makonda na ya Hitler hayatofautiani sana, wote ni watu ambao hawakuwa na uwezo wowote shuleni lkn wamejaliwa vipaji vya kuhamasisha Umma. Kwa maana hii Makonda anatumia kila fursa ndogo kiasi gani, hata shughuli zisizo na maana kujionesha kuwa yeye ni Messiah, wakati mwingine akijisahau kabisa kuwa kuna viongozi wake wakuu wa Kitaifa.
Hoja yangu:
Wote tunaolitakia mema Taifa letu, tusimdekeze huyu kiumbe, kuna siku matukio ya kitaifa yasiyotabirika yanaweza kumpropel tukajikuta ni kiongozi mkuu wa kitaifa na hapo ndipo tutalimia meno kama mentor wale Magufuli alivyojaribu kutulimisha.
Niwapongeze CCM angalau kwa kumwondoa huko kwenye Uongozi wa Kitaifa.
Huyu hapo alipofikia inabidi iwe mwisho wake asipande zaidi ya nafasi hiyo, tutakuja kulia kilio cha kusaga meno, he is a thug.
Kaua watu mbwa huyu.Kakudhulumu nn mdau weka wazi tu
Matatizo serious ndio yapi hayo yasiyowahusu wananchi au kwakuwa hayakuhusu wewe? Huo ni ubinafsi.Kama wewe huna shida waache wenye shida zao wapate suluhisho.Mimi ni mfaidika wa kampeni za Makonda,nilifanikiwa kupata mirathi ya mzazi wangu niliyoihangaikia for 5 yrs bila mafanikio, lkn Makonda alinisaidia nikafanikiwa kupata akiwa RC wa Dar.Hakuna matatizo serious yanatatuliwa kwa hiyo mbinu ya Makonda, hapo anacheza cheap politics.
Kwani umewahi kuona address inaandikwa hivyo.Kaka mbona KILA andiko lazima uandike address mwishoni.
Hakuna matatizo serious yanatatuliwa kwa hiyo mbinu ya Makonda, hapo anacheza cheap politics.
Sasa ww si ndio muandaaji wa hizo kiki unategemea Nini?Matatizo serious ndio yapi hayo yasiyowahusu wananchi au kwakuwa hayakuhusu wewe? Huo ni ubinafsi.Kama wewe huna shida waache wenye shida zao wapate suluhisho.Mimi ni mfaidika wa kampeni za Makonda,nilifanikiwa kupata mirathi ya mzazi wangu niliyoihangaikia for 5 yrs bila mafanikio, lkn Makonda alinisaidia nikafanikiwa kupata akiwa RC wa Dar.
Sasa ukisema anafanya cheap politics nakuona mwendawazimu.
Kwamba hivyo vita vya pili vya Dunia ni propaganda za US ama.? kwa hiyo mageuzi unayoyataka ndio hayo ya kuletwa na huyo muhalifu Makonda?Nilitegemea unieleze ni namna gani matatizo ya wananchi uyageuze cheap politcs badala yake unabwabwaja tu.
Hitler ndio aliyeligeuza Taifa la German kuwa Super power,wewe umekalia hizo propaganda za Us na washirika wake zilizopelekea kuangusha utawala wa German na kurithi yeye uchumi wa dunia.Msifikiri kila mtu mjinga.