Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Unauzungumziaje ukimya wa zaidi ya wiki wa Waziri wa habari kabla ya kumshambulia RC?
 
Above 35 yrs kwangu wote hao ni wastaafu,nchi inatakiwa ijengwe na vijana wa 18yrs hadi 30yrs,sasa huyu suspect wa mauaji,utekaji etc etc why achukiwe na pensioners?Bunge letu love limejaa vizee vyenye kusinzia bungeni,na wengi wao hawana jipya ni kama wimbo uliorekodiwa ,utakua unajirudia tena,Urais wangu nitawastaafisha wote above 35 yrs na kuajiri young women &men ili waipe nchi directions mpya,na elewa btn 18 yrs to 35 yrs ndio kwenye wasomi wengi na wengi wao ni unemployment
 
ndio urika wake huo gubu haziepukiki...

kila moja anatamani awe kama yeye Lakini ndio hivyo tena haiwezikani.. ...

hata hivyo ni vizuri kua na wivu,

Lakini, wa kimaendeleo na huo wivu, ukusaidie kufanya kazi kwa bidii, na maarifa zaidi, ili hata kama hutafikia alikofika Makonda basi angalau umkaribie kiuchumi, kisiasa na hata kijamii 🐒

wivu wa malalamiko tu na mihemko ni useless kabisa 🐒
 
Umenena
 
Wanampendes makarios
 
Kabisa !
Jamaa nyota inang’ara zaidi !
Inasemekana kwamba ukiona mtu anasemwa sana hata kwa ubaya maana yake ni kwamba jamaa huyo anatisha mbele ya macho ya maadui zake 🙏🙏
 
ccm inajulikana, hasa ikiwa inakaribia kipindi cha uchaguzi... Figisu za hapa na pale, kuraruana makucha, mwisho wa siku lao ni moja
Kikipita kipindi hiki,wengine watu wengine watavuka wakiwa hata masikio wakiwa hawana🤔 au hata vichwa😁
 
Watanzania wanakushangaa wewe yaani tangu lini Makonda aliwahi kuwa na busara?

Huyo yupo pale kutafuta kujikomba na wenzake waonekane hawana thamani mbele ya Rais.

Makonda hana uwezo wa kuwa kiongozi popote pale
 
Uzieako niliouna, makonda kacheza mle mle lakini nani atamfunga paka kengele? Je out of team aliyonayo mhe rais anasikiliza shauri za nje ya mfumo? Maana huo mfumo ndio unamfunga na kuchuja yapi ya kumpelekea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…