Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

hukutakiwa na nani?🐒
 
Attach uzi husika..!!
 
Kiukweli Uhuru wa kuongea tuna utumia vibaya
hautumiki vibaya neno uhuru unatambua maana yake?unatambua maana ya demokrasia?kwenye demokrasia unatakiwa kuvumilia (political torelance) sababu binadamu tumetafautiana wapo ambao njia yao ya kutuma ujumbe mpaka afokee,mwingine aseme kwa upole,mwengine atukane,mwengine afikiriee sana hivyo vyote unatakiwa kukubali.
 
Pamoja na yote hayo unadhani kwanini Samia alimchukua huyo Makonda?
 
sio hoja tu,

bali pia kijana ana maono ya mbali, nia ya dhati, uwezo na ujasiri wa kipekee sana, si tu wa kusema kwa maneno, bali pia kutenda kwa vitendo 🐒

ana tofauti ndogo sana na Hayati Edward Moringe Sokoine.
Itoshe tu kusema, Makonda ni Sokoine wa nyakati hizi, atafika mbali 🐒
 
Makonda hafai kuwa kiongozi
Hafai kuwa kiongozi wa wapi au akina nani? Hilo ni la msingi kujiuliza, kwa nchi kama Tanzania sidhani kama Makonda hafai labda ingekuwa nchi nyengine. Ndio maana hapo wengine wanakwambia pengine Rais mwenyewe ndio anamtuma Makonda kufanya hicho anachofanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…