Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
ndiyo anawajibu hao wanaomtukana Rais inaonekana Makonda anachukizwa na hayo mambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakiendelea hivi hivi wengine watasusa watajitoa chamani na mvurugano juu kama 2015 na hii itapelekea wale jamaa wa ndiyoooo watapungua japo kidogo kule mjengoni.Kunguru anachekeleaG
Sasa ni wakati wa kuwa tunuku wajumbe waliofanya vyema na kuwaporomosha vigogo walio chemka,na kulivuruga taifa😝Makonda hafai kuwa kiongozi
Asante Mkuu.Nakuelewa Sana Charismatic Fella
hukutakiwa na nani?🐒Tamko alilotamka Mkuu wa Mkoa wa Arusha ni tamko mbaya sana na linaleta uchochezi na chuki. Ni aibu kutamka mbele ya kadamnasi ya watu kuwa kuna watu wanamtukana Mhe. Rais. Jambo hili alitakiwa amueleze Mhe. Rais kwa siri kubwa. Mhe. Rais Mkuu wa Mkoa wa Arusha hakufai ni bora umtumbue mapema atakuletea uadui mkubwa na Watanzania. Kikubwa anajipendekeza kwako.
Attach uzi husika..!!Hivi ni lini mtaniheshimisha na hata Kunijengea Mnara wangu GENTAMYCINE hapa JamiiForums? Mna uhakika kuwa sikuwahi Kuanzisha Uzi hapa hapa JamiiFoums tena nikisema na kuna mahala nikayafumba Majina ya hawa hawa waliotajwa jana na Makonda na baadhi ya Intelligent Members hapa wakayajua?
Mna uhakika kabisa hakuna Uzi hapa JamiiForums wa mwaka Juzi au mwaka Jana ambao GENTAMYCINE niliuandika tena kwa kumtaka Mheshimiwa Rais Samia awe makini sana na Watu wanaomzunguka na kumtaka awe nao makini na tena Kimafumbo kabisa na hadi kule Kijiweni Kwao Mbezi Beach wanakokaaga nikawataja?
Nasisitiza tena kubalini tu kuwa kuna Watu wengine hapa duniani hatukubarikiwa tu Akili Kubwa bali tuna Maono pia. Hivi mnadhani GENTAMYCINE kuwa na Signature yangu hii pendwa na Tukuka ya "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Enterainer" nilikurupuka tu? Signature yangu inaelezea Uhalisia wangu.
hautumiki vibaya neno uhuru unatambua maana yake?unatambua maana ya demokrasia?kwenye demokrasia unatakiwa kuvumilia (political torelance) sababu binadamu tumetafautiana wapo ambao njia yao ya kutuma ujumbe mpaka afokee,mwingine aseme kwa upole,mwengine atukane,mwengine afikiriee sana hivyo vyote unatakiwa kukubali.Kiukweli Uhuru wa kuongea tuna utumia vibaya
Niaibu hata kuyaweka hapa mkuu, yaani mama katukanwa haswaa....hayo matukano yapo wapi
Utafute upo na tena siyo Mmoja.Attach uzi husika..!!
Pamoja na yote hayo unadhani kwanini Samia alimchukua huyo Makonda?Kujua kipi useme, useme wapi, wakati gani, na kwenye mazingira gani, kunahitaji akili ya kiwango fulani. Kama huna hiyo akili utabakia kuropoka chochote, wakati wowote na mahali popote.
Rais Samia ameyataka mwenyewe. Hakuna aliyemlazimisha amteue Makonda kwenye nafasi yoyote ile. Haya ni madogo, asubirie makubwa zaidi. Magufuli aliamua kuachana naye kabisa alipokuja kugundua kuwa aliyekuwa anamwamini alikuwa tapeli. Akaenda kugombea ubunge huku akiwadanganya watu kuwa ametumwa na Magufuli agombee ubunge ili ateuliwa kuwa Waziri wa mambo ya ndani. Hayati Magufuli alipoambiwa, aling'aka na kusema kuwa yeye hajamtuma mtu yeyote akagombee ubunge. Ndipo akaomba arudi kwenye ukuu wa mkoa, marehemu akamkatalia katakata, wakati huo akiwa tayari amefikishiwa taarifa kuwa jamaa amewatapeli GSM nyumba kwa kuwadanganya kuwa Rais alikuwa ameomba wamjengee, kumbe ni yeye ndiye aliyekuwa anahitaji kujengewa nyumba. Hapo akawa takataka mbele ya JPM.
Samia, takataka aliyoitupa mtangulizi wake, ameiona lulu. Asubirie kashfa zitakazompata kwa kupitia huyu mtu. Atapora magari, fedha na nyumba za watu kwa kutumia jina la anayemwita eti ni mama yake. Rais ameyataka mwenyewe, hajajua kuwa tumbili huwa hafugiki.
Ametukanajwe kwani? Na nani? Lini?hayo matukano yapo wapi
yule mpumbavuNendeni page ya Mange kimambi instagram
Hafai kuwa kiongozi wa wapi au akina nani? Hilo ni la msingi kujiuliza, kwa nchi kama Tanzania sidhani kama Makonda hafai labda ingekuwa nchi nyengine. Ndio maana hapo wengine wanakwambia pengine Rais mwenyewe ndio anamtuma Makonda kufanya hicho anachofanya.Makonda hafai kuwa kiongozi
Nani kamtukana tenaKwa matusi yale ni aibu..mimi sio mpenda siasa ila hapana sikubaliani raisi kutukanwa vile na kudhalilishwa namna ile....yule ni mama na mzazi..halafu ni Rais...
mangekimambi pamoja na baaadhi ya mawaziriNani kamtukana tena