Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Mtego Gani ? Kwani Arusha siyo Tanzania ?Huyu ni mtu wa kubebwa hawezi kujisimamia mwenyewe. Alijisahau na kuamua kujiuzulu (RPC DSM)na kuchukua form ya ubunge hapo ndipo alipotakiwa kujua kuwa yeye ni mtu wa kubebwa. Makonda kama anaweza uongozi agombee ubunge apate uongozi wa kuchaguliwa na sio kuteuliwa. Hakuna kiongozi hapo na ajichunge maana kupelekwa Arusha ni mtego lakini yeye anajisahau na kujiona kafika.
Wana nini hao ? Arusha overated hizo bangi zao zitatulizwa tu.Unatakiwa uiweke Morogoro kwenye list, huo si mkoa wa kucheza nao kwenye siasa
Kwani ana uspesho gani ambao ni lazima apewa hata huo Ubalozi?Watu wa TISS ni kwanini mnashindwa kumwamba Boss wenu Rais Samia kuwa huyu mtu Paul Makonda hafai na kama anampenda sana basi amtupe tu huko Ubalozini akapumzike? Nimeangalia Video Clip yake akiwa anajitambulisha huko Mkoani Arusha alikotupwa baada ya Kufeli katika Uenezi nikagundua kuwa Kisaikolojia ana tatizo Kubwa mno la Kiakili na huenda Yeye hajijui na hata Wanamzunguka nao hawajui.
Makonda hakuna Mkoa ambao unatakiwa uwe nao makini na uende nao kwa Step kama huo wa Arusha ulipo. GENTAMYCINE pamoja na Usela Nnya wangu wote, Ujanja na Ubabe wa Kimusoma (Mkoani Mara Kwetu) nikienda huko huwa nakuwa Mpole hutoamini kwani nimeishi huo Mkoa, naujua na Watu wa huko Kiasili huwa HAWABIPIWI na UKIWABIPU tu haraka sana wanakupigia.
Ukiwa Mwenezi nilikuambia na Uzi upo kuwa hutodumu hapo hata ndani ya Miezi Sita na kama Kawaida yao au Kawaida yenu baadhi ya watu hapa JamiiForums yakanipuuza GENTAMYCINE lakini kile kile nilichokitabiri juu ya Paul Makonda kimetokea.
Haya Makonda na leo tena nakwambia kuwa hata huko Arusha ulikopelekwa ni Kimkakat zaidi ili Watu wamalize Shughuli mapema kwani tayari umeshaonekana ni tatizo halafu umeshajulikana kuwa kuna Mtu huwa unajifanya Kumpenda mbele za Mic za Media ila ukikaa Vijiweni Kwako na Washkaji pale Mbezi Beach na Masaki huwa Unamkashifu na Unamdharau hakuna mfano na ukimsifia Baba yako wa Hiari aliyemaliza safari yake 2021.
Acha wivuHuyu ni mtu wa kubebwa hawezi kujisimamia mwenyewe. Alijisahau na kuamua kujiuzulu (RPC DSM)na kuchukua form ya ubunge hapo ndipo alipotakiwa kujua kuwa yeye ni mtu wa kubebwa. Makonda kama anaweza uongozi agombee ubunge apate uongozi wa kuchaguliwa na sio kuteuliwa. Hakuna kiongozi hapo na ajichunge maana kupelekwa Arusha ni mtego lakini yeye anajisahau na kujiona kafika.
😁😁😁Mtu kama hajawai fika Arusha anaweza akadhani ni sehemu kubwa na ya kipekee kweli au akadhani sijui Arusha kuna jambo gani jipya kumbe hakuna ni ushamba tuu hakuna lolote😂😂😂😂😂
Balozi ni lazima akubaliwe na nchi unakompeleka.Watu wa TISS ni kwanini mnashindwa kumwamba Boss wenu Rais Samia kuwa huyu mtu Paul Makonda hafai na kama anampenda sana basi amtupe tu huko Ubalozini akapumzike? Nimeangalia Video Clip yake akiwa anajitambulisha huko Mkoani Arusha alikotupwa baada ya Kufeli katika Uenezi nikagundua kuwa Kisaikolojia ana tatizo Kubwa mno la Kiakili na huenda Yeye hajijui na hata Wanamzunguka nao hawajui.
Makonda hakuna Mkoa ambao unatakiwa uwe nao makini na uende nao kwa Step kama huo wa Arusha ulipo. GENTAMYCINE pamoja na Usela Nnya wangu wote, Ujanja na Ubabe wa Kimusoma (Mkoani Mara Kwetu) nikienda huko huwa nakuwa Mpole hutoamini kwani nimeishi huo Mkoa, naujua na Watu wa huko Kiasili huwa HAWABIPIWI na UKIWABIPU tu haraka sana wanakupigia.
Ukiwa Mwenezi nilikuambia na Uzi upo kuwa hutodumu hapo hata ndani ya Miezi Sita na kama Kawaida yao au Kawaida yenu baadhi ya watu hapa JamiiForums yakanipuuza GENTAMYCINE lakini kile kile nilichokitabiri juu ya Paul Makonda kimetokea.
Haya Makonda na leo tena nakwambia kuwa hata huko Arusha ulikopelekwa ni Kimkakat zaidi ili Watu wamalize Shughuli mapema kwani tayari umeshaonekana ni tatizo halafu umeshajulikana kuwa kuna Mtu huwa unajifanya Kumpenda mbele za Mic za Media ila ukikaa Vijiweni Kwako na Washkaji pale Mbezi Beach na Masaki huwa Unamkashifu na Unamdharau hakuna mfano na ukimsifia Baba yako wa Hiari aliyemaliza safari yake 2021.
Unamkanya wewe kama nani?Watu wa TISS ni kwanini mnashindwa kumwamba Boss wenu Rais Samia kuwa huyu mtu Paul Makonda hafai na kama anampenda sana basi amtupe tu huko Ubalozini akapumzike? Nimeangalia Video Clip yake akiwa anajitambulisha huko Mkoani Arusha alikotupwa baada ya Kufeli katika Uenezi nikagundua kuwa Kisaikolojia ana tatizo Kubwa mno la Kiakili na huenda Yeye hajijui na hata Wanamzunguka nao hawajui.
Makonda hakuna Mkoa ambao unatakiwa uwe nao makini na uende nao kwa Step kama huo wa Arusha ulipo. GENTAMYCINE pamoja na Usela Nnya wangu wote, Ujanja na Ubabe wa Kimusoma (Mkoani Mara Kwetu) nikienda huko huwa nakuwa Mpole hutoamini kwani nimeishi huo Mkoa, naujua na Watu wa huko Kiasili huwa HAWABIPIWI na UKIWABIPU tu haraka sana wanakupigia.
Ukiwa Mwenezi nilikuambia na Uzi upo kuwa hutodumu hapo hata ndani ya Miezi Sita na kama Kawaida yao au Kawaida yenu baadhi ya watu hapa JamiiForums yakanipuuza GENTAMYCINE lakini kile kile nilichokitabiri juu ya Paul Makonda kimetokea.
Haya Makonda na leo tena nakwambia kuwa hata huko Arusha ulikopelekwa ni Kimkakat zaidi ili Watu wamalize Shughuli mapema kwani tayari umeshaonekana ni tatizo halafu umeshajulikana kuwa kuna Mtu huwa unajifanya Kumpenda mbele za Mic za Media ila ukikaa Vijiweni Kwako na Washkaji pale Mbezi Beach na Masaki huwa Unamkashifu na Unamdharau hakuna mfano na ukimsifia Baba yako wa Hiari aliyemaliza safari yake 2021.
Ukienda kwa mbwembwe Morogoro, na kujifanya mjuaji kuliko wale waluguru wa milimani, wenye mji wao watakurudisha kwa aliyekuletaWana nini hao ? Arusha overated hizo bangi zao zitatulizwa tu.
Ubalozini ? Ataingia na punda au msululu wa magari kama muvi za kihindi. Labda ubalozi hukoo TogoWatu wa TISS ni kwanini mnashindwa kumwamba Boss wenu Rais Samia kuwa huyu mtu Paul Makonda hafai na kama anampenda sana basi amtupe tu huko Ubalozini akapumzike? Nimeangalia Video Clip yake akiwa anajitambulisha huko Mkoani Arusha alikotupwa baada ya Kufeli katika Uenezi nikagundua kuwa Kisaikolojia ana tatizo Kubwa mno la Kiakili na huenda Yeye hajijui na hata Wanamzunguka nao hawajui.
Makonda hakuna Mkoa ambao unatakiwa uwe nao makini na uende nao kwa Step kama huo wa Arusha ulipo. GENTAMYCINE pamoja na Usela Nnya wangu wote, Ujanja na Ubabe wa Kimusoma (Mkoani Mara Kwetu) nikienda huko huwa nakuwa Mpole hutoamini kwani nimeishi huo Mkoa, naujua na Watu wa huko Kiasili huwa HAWABIPIWI na UKIWABIPU tu haraka sana wanakupigia.
Ukiwa Mwenezi nilikuambia na Uzi upo kuwa hutodumu hapo hata ndani ya Miezi Sita na kama Kawaida yao au Kawaida yenu baadhi ya watu hapa JamiiForums yakanipuuza GENTAMYCINE lakini kile kile nilichokitabiri juu ya Paul Makonda kimetokea.
Haya Makonda na leo tena nakwambia kuwa hata huko Arusha ulikopelekwa ni Kimkakat zaidi ili Watu wamalize Shughuli mapema kwani tayari umeshaonekana ni tatizo halafu umeshajulikana kuwa kuna Mtu huwa unajifanya Kumpenda mbele za Mic za Media ila ukikaa Vijiweni Kwako na Washkaji pale Mbezi Beach na Masaki huwa Unamkashifu na Unamdharau hakuna mfano na ukimsifia Baba yako wa Hiari aliyemaliza safari yake 2021.
Fact mkuuMtu kama hajawai fika Arusha anaweza akadhani ni sehemu kubwa na ya kipekee kweli au akadhani sijui Arusha kuna jambo gani jipya kumbe hakuna ni ushamba tuu hakuna lolote😂😂😂😂😂
Labda ubalozi wa nyumba kumiUbalozi upi ni wa kupumzika?
Shida ya kule ni kwamba kila mtu anaijua hela, atapata shida kama atatibua mifumo ya watu kujipigia hela zao ila anyways, awe makini.Ninachofahamu kuhusiana na Arusha watu wa kule ni wastaarabu ukionyesha ustaarabu. Ni wabaya ukionyesha ubaya. Ni watu wa haki ukionyesha haki.
Hawanaga Utamaduni wa kumuogopa mtu hata akiwa kiongozi.
Usisahau CVBalozi ni lazima akubaliwe na nchi unakompeleka.
Sasa Kwa tabia za Makonda nchi nyingi zinazojitambuwa hawezi kukubaliwa itakuwa ni aibu Kwa Rais unateuwa mtu, vetting ya foreign country inamkataa ni fedhea kubwa.
Tatizo wanalo hao wanaomfuga ndio maana mama sasa ameshaanza kuyakoga matusi, ni matusi anayataka mwenyewe Kwa kukumbatia watu washenzi kama huyo Makonda.
Inawezekana lakini mbona Mrisho Gambo alitembea nao vizuri maana sioni tofauti kubwa kati ya Makonda na Gambo(kama itakuepo ni kidogo sana)Hiki ulichoandika kina uhalisia mwingi, ingawa upokeaji utategemea na aina ya akili ya mpokeaji na uwezo wake wa kutafsiri mambo.
Huyo Makonda anaenda kutumika kama onyo kwa wengine wote.
Kuwa makini unapoaminishwa kwamba hakuna kama wewe, na kwamba hauna mbadala. Hata jiwe ili lihamishiwe kwenye makao ya kudumu walianza kuliamishi kuwa lenyewe ni kubwa na gumu sana, wakalisifia mno, mpaka kule kwenye ukumbi wa machifu , wakasgizwa uangaliwe utaratibu machifu wafanye taratibu za kimila ili jiwe lijengewe kabisa ili lisihamishwe kwenye lile eneo lilipokuwepo.
Kwa kifupi hana hata sifa moja ya kutouliwa kuwa balozi.Usisahau CV
Advantage ya Gambo ni wa Arusha hapohapo, nadhani amekulia hapo ndio maana imekuwa rahisi kupora ubunge Kwa msaada wa Ibilisi Jiwe.Inawezekana lakini mbona Mrisho Gambo alitembea nao vizuri maana sioni tofauti kubwa kati ya Makonda na Gambo(kama itakuepo ni kidogo sana)
Lema amekutuma umsemeheWatu wa TISS ni kwanini mnashindwa kumwamba Boss wenu Rais Samia kuwa huyu mtu Paul Makonda hafai na kama anampenda sana basi amtupe tu huko Ubalozini akapumzike? Nimeangalia Video Clip yake akiwa anajitambulisha huko Mkoani Arusha alikotupwa baada ya Kufeli katika Uenezi nikagundua kuwa Kisaikolojia ana tatizo Kubwa mno la Kiakili na huenda Yeye hajijui na hata Wanamzunguka nao hawajui.
Makonda hakuna Mkoa ambao unatakiwa uwe nao makini na uende nao kwa Step kama huo wa Arusha ulipo. GENTAMYCINE pamoja na Usela Nnya wangu wote, Ujanja na Ubabe wa Kimusoma (Mkoani Mara Kwetu) nikienda huko huwa nakuwa Mpole hutoamini kwani nimeishi huo Mkoa, naujua na Watu wa huko Kiasili huwa HAWABIPIWI na UKIWABIPU tu haraka sana wanakupigia.
Ukiwa Mwenezi nilikuambia na Uzi upo kuwa hutodumu hapo hata ndani ya Miezi Sita na kama Kawaida yao au Kawaida yenu baadhi ya watu hapa JamiiForums yakanipuuza GENTAMYCINE lakini kile kile nilichokitabiri juu ya Paul Makonda kimetokea.
Haya Makonda na leo tena nakwambia kuwa hata huko Arusha ulikopelekwa ni Kimkakat zaidi ili Watu wamalize Shughuli mapema kwani tayari umeshaonekana ni tatizo halafu umeshajulikana kuwa kuna Mtu huwa unajifanya Kumpenda mbele za Mic za Media ila ukikaa Vijiweni Kwako na Washkaji pale Mbezi Beach na Masaki huwa Unamkashifu na Unamdharau hakuna mfano na ukimsifia Baba yako wa Hiari aliyemaliza safari yake 2021.