Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana, nchii hii haikosi surprises na maajabu yake.Natumai wote wazima kabisa
Leo nimekaa nikawaza nikawazua bila majibu kamili, ila natabiri haya juu ya Makonda 2025 huenda akawa mgombea mwenza wa Samia, au atagombea ubunge Jimbo lolote kati ya Mwanza au dar baadae ataulamba, uwaziri mkuu au mambo ya ndani
Ni mawazo yangu msinipopoe mawe
..Natumai wote wazima kabisa
Leo nimekaa nikawaza nikawazua bila majibu kamili, ila natabiri haya juu ya Makonda 2025 huenda akawa mgombea mwenza wa Samia, au atagombea ubunge Jimbo lolote kati ya Mwanza au dar baadae ataulamba, uwaziri mkuu au mambo ya ndani
Ni mawazo yangu msinipopoe mawe
Ikiwa hivyo si atamroga Rais afe ili awe Rais yeyeNatumai wote wazima kabisa
Leo nimekaa nikawaza nikawazua bila majibu kamili, ila natabiri haya juu ya Makonda 2025 huenda akawa mgombea mwenza wa Samia, au atagombea ubunge Jimbo lolote kati ya Mwanza au dar baadae ataulamba, uwaziri mkuu au mambo ya ndani
Ni mawazo yangu msinipopoe mawe
Atakaye kutukana kwa mawazo yako 'yakinifu' nitapita naye.Natumai wote wazima kabisa
Leo nimekaa nikawaza nikawazua bila majibu kamili, ila natabiri haya juu ya Makonda 2025 huenda akawa mgombea mwenza wa Samia, au atagombea ubunge Jimbo lolote kati ya Mwanza au dar baadae ataulamba, uwaziri mkuu au mambo ya ndani
Ni mawazo yangu msinipopoe mawe
hujakosea kwenye hayo mawazo yako kuna mambo mawiri au moja litakua sahihi.Natumai wote wazima kabisa
Leo nimekaa nikawaza nikawazua bila majibu kamili, ila natabiri haya juu ya Makonda 2025 huenda akawa mgombea mwenza wa Samia, au atagombea ubunge Jimbo lolote kati ya Mwanza au dar baadae ataulamba, uwaziri mkuu au mambo ya ndani
Ni mawazo yangu msinipopoe mawe
Atakaye kutukana kwa mawazo yako 'yakinifu' nitapita naye.
Upo Sawa mkuu na kwa sasa ndani ya ccm mtu pekee mwenye ushawishi aliyebakia ni makonda nadhani hata 2025 kama ccm wanahitaji kubaki madarakaniNatumai wote wazima kabisa
Leo nimekaa nikawaza nikawazua bila majibu kamili, ila natabiri haya juu ya Makonda 2025 huenda akawa mgombea mwenza wa Samia, au atagombea ubunge Jimbo lolote kati ya Mwanza au dar baadae ataulamba, uwaziri mkuu au mambo ya ndani
Ni mawazo yangu msinipopoe mawe
Natofautiana na wewe huyu tangu 2020 alikuwa nje ya mfumoMwenzako anatafutiwa mlango wa kutokea maana wameona bado ana umagufuli ndani yake,akifika mwaka huo 2025 bila mkeka wa zuhura unaosema atapangiwa kazi nyingine,ashukuru
Hivi ni nani aliye nyuma ya Makonda?Upo Sawa mkuu na kwa sasa ndani ya ccm mtu pekee mwenye ushawishi aliyebakia ni makonda nadhani hata 2025 kama ccm wanahitaji kubaki madarakani
Basi wampitishe makonda jiwe kuu walilo likataa waashi kama mgombea Uraisi wa ccm, ninyota inayo ng'ala kaskazini kijana mwenye ujasili na uthubutu
Ni makonda pekee ndio wa kuirudisha heshima na nizamu kwa watumishi wa serikali lakini pia angalau kidogo ndie mzalendo mwenye uwezo wa kuzibiti ufisadi na pengine lipoti ya CAG inayosomwaka kila mwaka inaweza kuleta maana ikiwa tu makonda atakuwa Raisi
Kwani wee unaonaje wapi ikoshida😵Hivi ni nani aliye nyuma ya Makonda?
Mwenyezi munguHivi ni nani aliye nyuma ya Makonda?
Unajivunjia heshima ndugu!!!!!!!Kwa sasa taifa zima limeweka itikadi za kisiasa pembeni na kumwangalia Paul Makonda kama Kiongozi anayeweza kulivusha taifa kwenye hizi nyakati ngumu Sana
Mungu wa Mbinguni mtangulie Kijana huyu Paul Makonda awafikishe Watanzania Canan
Kwako Lucas 😂😂😂