Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Inawezekana, nchii hii haikosi surprises na maajabu yake.
 
..
 

Attachments

  • photo_2021-08-11_09-06-26.jpg
    53.4 KB · Views: 2
Ikiwa hivyo si atamroga Rais afe ili awe Rais yeye
 
Mwenzako anatafutiwa mlango wa kutokea maana wameona bado ana umagufuli ndani yake,akifika mwaka huo 2025 bila mkeka wa zuhura unaosema atapangiwa kazi nyingine,ashukuru
 
Atakaye kutukana kwa mawazo yako 'yakinifu' nitapita naye.
 
hujakosea kwenye hayo mawazo yako kuna mambo mawiri au moja litakua sahihi.
 
Upo Sawa mkuu na kwa sasa ndani ya ccm mtu pekee mwenye ushawishi aliyebakia ni makonda nadhani hata 2025 kama ccm wanahitaji kubaki madarakani

Basi wampitishe makonda jiwe kuu walilo likataa waashi kama mgombea Uraisi wa ccm, ninyota inayo ng'ala kaskazini kijana mwenye ujasili na uthubutu

Ni makonda pekee ndio wa kuirudisha heshima na nizamu kwa watumishi wa serikali lakini pia angalau kidogo ndie mzalendo mwenye uwezo wa kuzibiti ufisadi na pengine lipoti ya CAG inayosomwaka kila mwaka inaweza kuleta maana ikiwa tu makonda atakuwa Raisi
 
Mwenzako anatafutiwa mlango wa kutokea maana wameona bado ana umagufuli ndani yake,akifika mwaka huo 2025 bila mkeka wa zuhura unaosema atapangiwa kazi nyingine,ashukuru
Natofautiana na wewe huyu tangu 2020 alikuwa nje ya mfumo
Kwanini walimvuta tena na kumpachika kwenye mfumo?
Na ninajiuliza nani yuko nyuma yake au ana nini cha mno kwa sababu anaonekana kuwa na nguvu sana
 
Hivi ni nani aliye nyuma ya Makonda?
 
Unajivunjia heshima ndugu!!!!!!!
 
Lucas! Lucas Lucas! (nimekuita mara 3)
Achana na maisha ya "ukunguni" ndugu!
Tafuta kazi ya kipato chako halali!
hata huyu unaemsifia mchana na usiku anakudharau sana hujui tu!
Na kwa tabia zake ipo siku atakuvurumisha!
 
Hawakujua utafanya mambo makubwa yote haya, Umekamilisha Miradi hata iliyoshindikana, Umetekeleza miradi kila kata ya Nchi hii, umewapa uhuru raia, vyombo vya habari na online media zote za kijamii, Unawasomesha watoto wao chekechea mpaka vyuo vikuu, barabara kila kijiji, Sekta za uzalishaji zote umeziongezea fedha, umefufua uchumi, umeifungua nchi, umejijengea heshima Duniani kote, BUT hawajataka kuona mazuri yote haya na mengine, sio kwa bahati mbaya.

Tulijua kuwa kutakuwepo na njama za kukuchafua sana mwaka 2024 na 2025, Tunajua Kwenye mikakati yao bado watakuja na mengine ya uongouongo hivi hivi. HATUTAKUBALI KUYUMBISHWA, TUTAPAMBANA NA WANAOTUMWA NA WANAOWATUMA. (Kaandika haya katika Ukurasa wake wa Mtandao wa X juzi )

Hivi ni kwanini lakini nyie Wateule wa Rais Samia mnapenda sana Kumsanifu Mama wa Watu kwa Kujifanya Mnampenda wakati Kutwa tu huwa mnakusanyika Kijiweni Kwenu pale Mbezi Beach na Kumsengenya? Yaani Makonda na Nchemba hii Vita yenu ya Urais wa 2030 huku Mkipambanisha Makundi yenu mtamuharibia Mama wa Watu.

Rais Samia wenye Akili Kubwa tulikuonya sana tu achana na hawa Watu Wawili pamoja na Wenzao wengine Wawili kwani ndiyo Wanakuumiza na Wanakusakizia Ubaya na Chuki kwa Wananchi hutaki Kusikia kwakuwa tu Nchemba anajua kuandika Proposals nzuri kwa Wazungu ambazo zinakufanya upate Fedha zao nyingi za Misaada.

Mwigulu najua umeshajua kuwa katika coming major Cabinet reshuffle ya kuelekea 2025 ambayo nimeambiwa ipo very soon labda kutokee Kitu kingine hapa katikati kuwa haumo kwakuwa tayari umeshashtukiwa haumo / hutokuwepo lakini bado masikini ya Mungu unaendelea Kumsanifu Mama wa Watu kwa kujifanya unampenda wakati Wewe na Kundi lako la The Road to 2030 wala hamumtaki na mnamdharau sana.

Yaani Wewe katika Makabila ni Mtani wangu mkubwa na hata hata Mpira pia ni Watani ukiwa Yanga Mimi Simba sawa?
 
The most dangerous enemy in your life is your close friends. Kikulacho ki nguoni mwako.

Unafikiri watu 'waliomtengeneza' Mwendazake mpaka akapata safari ya kwenda huko aliko hivi sasa unadhani ni watu waliokuwa wakiishi mbali naye kama siyo wale wale ambao walikuwa wakimfanyia unafiki wa kumpigia salute kila wakati?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…