Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Tupinge kama utaonekana tena kuanzia saa 2😃😃😃Jinga sana wewe dogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupinge kama utaonekana tena kuanzia saa 2😃😃😃Jinga sana wewe dogo
halaf akisha waambia nn kinafanyika?Huo ndio ukweli mchungu kwamba Makonda pamoja na mapungufu yake yote YEYE siyo Muoga
Anatembea na Exodus 14:14
Dunia ya Leo inataka viongozi wasio waoga kama Trump 😂😂🔥
Kwenu Lucas na Erythrocyte - Mbeya
Makonda mwenyewe ni fisadi kupindukia.Huo ndio ukweli mchungu kwamba Makonda pamoja na mapungufu yake yote YEYE siyo Muoga
Anatembea na Exodus 14:14
Dunia ya Leo inataka viongozi wasio waoga kama Trump 😂😂🔥
Kwenu Lucas na Erythrocyte - Mbeya
Umwamba huo unaujua wewe tu mnapokuwa faraghaMakonda ni Mwamba kwelikweli. Ni jasiri asiyemuogopa mtu katika kusimamia na kuuzungumza ukweli.
Wewe ni wakusamehewa bure kwa kuwa wewe huna akili kabisaUmwamba huo unaujua wewe tu mnapokuwa faragha
Ulitaka aendeshe Bajaj kama Mnyika?🐼Jana diamond kampost makonda anaendesha gari ya zaidi ya milioni 500 ukimuona makonda anakemea ufisadi kama una akili timamu lazima ujiulize mara mbili mbili.
Anawaachia Takukuruhalaf akisha waambia nn kinafanyika?
Mbatizaji hapo umegongelea msumari. Dkt Samia namshauri kabla ya 2025 amuondoe Nchimbi ukatibu Mkuu na Makonda awe Katibu Mkuu na Mwenezi awe Ali Happy, hapo moto utawaka. Sisi tunataka kura hatutaki siasa za kulindana lindanaHuo ndio ukweli mchungu kwamba Makonda pamoja na mapungufu yake yote YEYE siyo Muoga
Anatembea na Exodus 14:14
Dunia ya Leo inataka viongozi wasio waoga kama Trump 😂😂🔥
Kwenu Lucas na Erythrocyte - Mbeya
Ni kweli Makonda ni jabali! Hana mpinzani. Tunaomba Mwenyekiti wetu Dkt Samia amtengue Nchimbi anatuharibia Chama kwa kuleta siasa za kulinda weziMakonda ni Mwamba kwelikweli. Ni jasiri asiyemuogopa mtu katika kusimamia na kuuzungumza ukweli.
Wewe kufa tu maana huna faida kabisa hapa NchiniWewe ni mpumbavu kabisa kutwa kumsifia mwanaume mwenzako umwamba utakuwa na elements za ushoga wewe.
Utakufa wewe unajigongesha kwa wanaume hata hawana mpango na wewe lazima una vimelea vya ushogaWewe kufa tu maana huna faida kabisa hapa Nchini
Unauliza bei ya mafuta kwa Mwamposa?Kwa hiyo hata Rais anawagwaya mafisadi?!
🤣🤣🤣🤣 unapenda majibu mepesi kwenye maswali mazito.Ulitaka aendeshe Bajaj kama Mnyika?🐼
Makonda aliongea nini juu ya Bandari?Huo ndio ukweli mchungu kwamba Makonda pamoja na mapungufu yake yote YEYE siyo Muoga
Anatembea na Exodus 14:14
Dunia ya Leo inataka viongozi wasio waoga kama Trump 😂😂🔥
Kwenu Lucas na Erythrocyte - Mbeya
Kaamka nalo halafu hela ya supu hana🤣🤣🤣🤣 unapenda majibu mepesi kwenye maswali mazito.
Bandari imefanya nini?Makonda aliongea nini juu ya Bandari?
Inabidi urudi bongo toka huko uliko ulaya!Bandari imefanya nini?