Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

4sure mkuuu uko sahihi dogo Ana nyota sema anakosa wa kuilinda nyota yake
Bahatimbaya sheikh wetu amekufa ningemshauri aende magomenj kusafisha nyota yake
Mtu akiwadhalilisha wazee huwa anapata aina fulani ya laana kutoka kwa wale wazee mpaka akawaombe msamaha. !

Ile kutubu kwa Kiongozi wa dini haihusiani na makosa uliyowafanyia hao wazee !
Aende akawaombe msamaha hata kama ni wazee hohehahe !
Karma is a bitch !
 
Najaribu kuwaza...🤔

Tumeona MAKONDA akitoa kauli mbalimbali AMBAZO kimsingi si rafiki Kwa baadhi viongozi wa CHAMA na zinatishia uwepo wa viongozi hao ndani CCM.

Nina imani Kuna kitu nyuma ya hizi vurugu za MAKONDA kuelekea UCHAGUZI mkuu 2025 mpaka sasa Kwa kiasi kikubwa jamaa anawatu na kaaminika katika jamii kama mtetezi na msemaji wa watu.

SASA BASI, WHAT IF?!

Kabla ya 2025 MAKONDA akawajibishwa na CHAMA Kwa kigezo Cha "maadili" na akaamua kujiunga na upinzani mathalani ACT na kugombea Urais Nini kitatokea?

Je, kabla ya kujiunga na ACT akiwa bado Yuko huru na akaendeleza harakati zake kama mtu huru JE CHADEMA itakua tayari kumpokea?

Mwisho..

What if anatengenezwa Kwa ajili ya hayo hapo kuelekea 2025 apatikane mtu WA kichachafya CCM kidogo mwaka 2025. Na baadae MAMA aseme "we ni mwanangu Rudi nyumbani"

Jumatatu njema.
Hiyo kazi maalum Ina faida Gani kwa nchi na wananchi wakati huu maisha ni magumu
 
Askofu kardinali mbariki watu alikuja na Uzi wake eti makondo ndiye raisi wa mwaka 2033, wenye akili tumemkatalia ujingaa na upumbavu wake
 
Huyu nafasi yake pekee anayofiti ni gerezani pekee achana na hizi drama zake anazotumia kuwahadaa masikini hadi wanadhani ni mtetezi wao!
Mliwahi kuyasema haya kwa lowasa, baadaye mkamzungushia mikono.

Mpumbavu tu anayeweza kuwaamini.
 
nani hajui jamaa anaelekea kufanywa mgombea wa rais 2025 , ndiye vp mtarajiwa hivi karibuni , nje mnamwona fala ila CCM ndani ana following na loyal base kubwa sana makonda
 
Najaribu kuwaza...[emoji848]

Tumeona MAKONDA akitoa kauli mbalimbali AMBAZO kimsingi si rafiki Kwa baadhi viongozi wa CHAMA na zinatishia uwepo wa viongozi hao ndani CCM.

Nina imani Kuna kitu nyuma ya hizi vurugu za MAKONDA kuelekea UCHAGUZI mkuu 2025 mpaka sasa Kwa kiasi kikubwa jamaa anawatu na kaaminika katika jamii kama mtetezi na msemaji wa watu.

SASA BASI, WHAT IF?!

Kabla ya 2025 MAKONDA akawajibishwa na CHAMA Kwa kigezo Cha "maadili" na akaamua kujiunga na upinzani mathalani ACT na kugombea Urais Nini kitatokea?

Je, kabla ya kujiunga na ACT akiwa bado Yuko huru na akaendeleza harakati zake kama mtu huru JE CHADEMA itakua tayari kumpokea?

Mwisho..

What if anatengenezwa Kwa ajili ya hayo hapo kuelekea 2025 apatikane mtu WA kichachafya CCM kidogo mwaka 2025. Na baadae MAMA aseme "we ni mwanangu Rudi nyumbani"

Jumatatu njema.
Sijawahi kuelewa kwanini Makonda huwa anahusishwa na nafasi za juu kabisa za uongozi ikiwemo nafasi ya Rais.

Hivi kumbe nafasi ya Rais ni nyepesi kiasi cha hadi mtu kama Makonda kuishika? Wanaomuwazia hayo huwa mnaangalia nini kwake?
 
Mteuzi ameonyesha udhaifu mkubwa katika kufanya maamuzi.
Makonda amekuwa na mtiririko wa matukio kuanzia alipompiga makofi makamu wa Rais na waziri mkuu mstaafu mzee Warioba anayeheshimika katika jamii na matukio mfululizo yanayomnyima nafasi ya kuwa kiongozi wa maamuzi.
Lakini pamoja na Rais Magufuli kuamua kumweka pembeni kimyakimya bado aliyekuwa msaidizi wake na kachukua nafasi baada ya kifo kadharau maamuzi ya kumuweka pembeni na kumrudisha.
Huo ni udhaifu wa kimaamuzi na kuivunjia heshima hadhi na utukufu wa kiti alichokalia kwa kudra za kifo cha mtangulizi.
Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu, na kilio na masononeko ya wazee kama Warioba ni laana kwa wahusika.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Makonda yupo vizuri
Tulipofikia Watanzania tunahitaji kiongozi mbabe ili kuwanyoosha hao wavivu na wezi wa mali za umma

Makonda aongezewe cheo..!
Makonda ana msururu wa magari ya kifahari kama sio wizi mtumishi wa umma kapuku aliyekaa kwa mzee sita, ameyapata wapi?

Kabla ya kuwa DC kinondoni makonda alikua anamiliki rav4 ! Ghafla bin vuuuu eti ana nyumba mikocheni! Mikocheni ploti alinunua kwa pesa ngapi.

Makonda ni mwizi nambari oni!
 
Najaribu kuwaza...🤔

Tumeona MAKONDA akitoa kauli mbalimbali AMBAZO kimsingi si rafiki Kwa baadhi viongozi wa CHAMA na zinatishia uwepo wa viongozi hao ndani CCM.

Nina imani Kuna kitu nyuma ya hizi vurugu za MAKONDA kuelekea UCHAGUZI mkuu 2025 mpaka sasa Kwa kiasi kikubwa jamaa anawatu na kaaminika katika jamii kama mtetezi na msemaji wa watu.

SASA BASI, WHAT IF?!

Kabla ya 2025 MAKONDA akawajibishwa na CHAMA Kwa kigezo Cha "maadili" na akaamua kujiunga na upinzani mathalani ACT na kugombea Urais Nini kitatokea?

Je, kabla ya kujiunga na ACT akiwa bado Yuko huru na akaendeleza harakati zake kama mtu huru JE CHADEMA itakua tayari kumpokea?

Mwisho..

What if anatengenezwa Kwa ajili ya hayo hapo kuelekea 2025 apatikane mtu WA kichachafya CCM kidogo mwaka 2025. Na baadae MAMA aseme "we ni mwanangu Rudi nyumbani"

Jumatatu njema.
Nani anamtengeneza? Tangu tupate uhuru hakuna kiongozi yeyote wa ngazi ya juu kabisa ametengenezwa. Si Nyerere, si Mwinyi, si Mkapa, si Kikwete, si Magufuli wala si Samia. Viongozi wote huibuka. They emerge. Hawatengengenezwi. Fact.
 
Najaribu kuwaza...🤔

Tumeona MAKONDA akitoa kauli mbalimbali AMBAZO kimsingi si rafiki Kwa baadhi viongozi wa CHAMA na zinatishia uwepo wa viongozi hao ndani CCM.

Nina imani Kuna kitu nyuma ya hizi vurugu za MAKONDA kuelekea UCHAGUZI mkuu 2025 mpaka sasa Kwa kiasi kikubwa jamaa anawatu na kaaminika katika jamii kama mtetezi na msemaji wa watu.

SASA BASI, WHAT IF?!

Kabla ya 2025 MAKONDA akawajibishwa na CHAMA Kwa kigezo Cha "maadili" na akaamua kujiunga na upinzani mathalani ACT na kugombea Urais Nini kitatokea?

Je, kabla ya kujiunga na ACT akiwa bado Yuko huru na akaendeleza harakati zake kama mtu huru JE CHADEMA itakua tayari kumpokea?

Mwisho..

What if anatengenezwa Kwa ajili ya hayo hapo kuelekea 2025 apatikane mtu WA kichachafya CCM kidogo mwaka 2025. Na baadae MAMA aseme "we ni mwanangu Rudi nyumbani"

Jumatatu njema.
Kazi yake ni kufanya mambo ambayo wana-ccm wengine hawawezi kuyafanya, ambayo ni yale kutoa kauli zenye utata na muksheliii kwa umma
 
Mliwahi kuyasema haya kwa lowasa, baadaye mkamzungushia mikono.

Mpumbavu tu anayeweza kuwaamini.
Na kinyume chake ni kuwa ccm nzima 2015 ilizunguka kwenye kampeni kumtusi na kumdhihaki Lowassa ikiongozwa na JK, Kinana, Nape nk lakini baadae ndio hiyohiyo ikampokea kwa tarumbeta ikiongozwa na Magu, Majaliwa na Bashiru pale Lumumba. Kwa hiyo ni nyie wapumbavu tuu ndio mnaweza kuwaamini hao.
Bangladeshi!
 
Inawezekana Ikawa kweli lakini kudra na hatma IPO mikononi mwa mwenyezi mungu!!

Ya Salim Ahmed Salim yamenifunza mengi,pale mfumo unapomuandaa mtu halafu kudra ya Mwenyezi ikagoma!!
 
Kwa hiyo ni nyie wapumbavu tuu ndio mnaweza kuwaamini hao.
Bangladeshi!
Mpumbavu ni mtu asiyeweza kuutumia ubongo wake kuhoji. Tuliwaona 2015 mkizungusha mikono bila kuhoji kwanini mbowe alifanya ujinga alioufanya.
 
Makonda tangu ajulikane 2010's kazi zake ni za kisiasa, matukio yake yote yako wazi kuanzia lile tukio la kumpiga Mjikofi Mzee Warioba mpaka leo yako wazi. Mengi yako mtandaoni, YouTube, Facebook, Instagram, x n.k

Pamoja na hayo yote kuna mtu alimteua pamoja na kuwekwa kando na Rais Magufuli.

Hapo makonda munamsumbua kafanya kosa gani jipya ambalo hajawahi kufanya?
Mama yake aitwe kwenye kamati ya maadili.
 
Najaribu kuwaza...🤔

Tumeona MAKONDA akitoa kauli mbalimbali AMBAZO kimsingi si rafiki Kwa baadhi viongozi wa CHAMA na zinatishia uwepo wa viongozi hao ndani CCM.

Nina imani Kuna kitu nyuma ya hizi vurugu za MAKONDA kuelekea UCHAGUZI mkuu 2025 mpaka sasa Kwa kiasi kikubwa jamaa anawatu na kaaminika katika jamii kama mtetezi na msemaji wa watu.

SASA BASI, WHAT IF?!

Kabla ya 2025 MAKONDA akawajibishwa na CHAMA Kwa kigezo Cha "maadili" na akaamua kujiunga na upinzani mathalani ACT na kugombea Urais Nini kitatokea?

Je, kabla ya kujiunga na ACT akiwa bado Yuko huru na akaendeleza harakati zake kama mtu huru JE CHADEMA itakua tayari kumpokea?

Mwisho..

What if anatengenezwa Kwa ajili ya hayo hapo kuelekea 2025 apatikane mtu WA kichachafya CCM kidogo mwaka 2025. Na baadae MAMA aseme "we ni mwanangu Rudi nyumbani"

Jumatatu njema.
Makonda ni dodoki la jalalani, hana uongozi uliotukuka wala sifa za kuwa kiongozi mwadilifu.
 
Sijui Moderators mnachoka huyu jamaa anasema Makonda amemuibua Rais Mstaafu wakati aliyetangulia kusema ni Rais Mstaafu kwenye mkutano mkuu?Tulinde hadhi ya hii forum tusilete post za Facebook humu.
 
Back
Top Bottom