Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Na wafe tu hao nyoka πHapo ulichokifanya ni kwenda kwenye shimo la familia ya nyoka na kumimina mafuta ya taa Lita 5
Mtu akiwadhalilisha wazee huwa anapata aina fulani ya laana kutoka kwa wale wazee mpaka akawaombe msamaha. !4sure mkuuu uko sahihi dogo Ana nyota sema anakosa wa kuilinda nyota yake
Bahatimbaya sheikh wetu amekufa ningemshauri aende magomenj kusafisha nyota yake
hehe hehe ehhehehe heheHatari sana umemaliza kwa kutimua vumbi jingi sana!
Hiyo kazi maalum Ina faida Gani kwa nchi na wananchi wakati huu maisha ni magumuNajaribu kuwaza...π€
Tumeona MAKONDA akitoa kauli mbalimbali AMBAZO kimsingi si rafiki Kwa baadhi viongozi wa CHAMA na zinatishia uwepo wa viongozi hao ndani CCM.
Nina imani Kuna kitu nyuma ya hizi vurugu za MAKONDA kuelekea UCHAGUZI mkuu 2025 mpaka sasa Kwa kiasi kikubwa jamaa anawatu na kaaminika katika jamii kama mtetezi na msemaji wa watu.
SASA BASI, WHAT IF?!
Kabla ya 2025 MAKONDA akawajibishwa na CHAMA Kwa kigezo Cha "maadili" na akaamua kujiunga na upinzani mathalani ACT na kugombea Urais Nini kitatokea?
Je, kabla ya kujiunga na ACT akiwa bado Yuko huru na akaendeleza harakati zake kama mtu huru JE CHADEMA itakua tayari kumpokea?
Mwisho..
What if anatengenezwa Kwa ajili ya hayo hapo kuelekea 2025 apatikane mtu WA kichachafya CCM kidogo mwaka 2025. Na baadae MAMA aseme "we ni mwanangu Rudi nyumbani"
Jumatatu njema.
Anatakiwa mtu au katibaAnatakiwa Dikiteta Mzalendo Muadilifu kwa kazi hizo !! π
Mliwahi kuyasema haya kwa lowasa, baadaye mkamzungushia mikono.Huyu nafasi yake pekee anayofiti ni gerezani pekee achana na hizi drama zake anazotumia kuwahadaa masikini hadi wanadhani ni mtetezi wao!
Sijawahi kuelewa kwanini Makonda huwa anahusishwa na nafasi za juu kabisa za uongozi ikiwemo nafasi ya Rais.Najaribu kuwaza...[emoji848]
Tumeona MAKONDA akitoa kauli mbalimbali AMBAZO kimsingi si rafiki Kwa baadhi viongozi wa CHAMA na zinatishia uwepo wa viongozi hao ndani CCM.
Nina imani Kuna kitu nyuma ya hizi vurugu za MAKONDA kuelekea UCHAGUZI mkuu 2025 mpaka sasa Kwa kiasi kikubwa jamaa anawatu na kaaminika katika jamii kama mtetezi na msemaji wa watu.
SASA BASI, WHAT IF?!
Kabla ya 2025 MAKONDA akawajibishwa na CHAMA Kwa kigezo Cha "maadili" na akaamua kujiunga na upinzani mathalani ACT na kugombea Urais Nini kitatokea?
Je, kabla ya kujiunga na ACT akiwa bado Yuko huru na akaendeleza harakati zake kama mtu huru JE CHADEMA itakua tayari kumpokea?
Mwisho..
What if anatengenezwa Kwa ajili ya hayo hapo kuelekea 2025 apatikane mtu WA kichachafya CCM kidogo mwaka 2025. Na baadae MAMA aseme "we ni mwanangu Rudi nyumbani"
Jumatatu njema.
Makonda ana msururu wa magari ya kifahari kama sio wizi mtumishi wa umma kapuku aliyekaa kwa mzee sita, ameyapata wapi?Makonda yupo vizuri
Tulipofikia Watanzania tunahitaji kiongozi mbabe ili kuwanyoosha hao wavivu na wezi wa mali za umma
Makonda aongezewe cheo..!
Nani anamtengeneza? Tangu tupate uhuru hakuna kiongozi yeyote wa ngazi ya juu kabisa ametengenezwa. Si Nyerere, si Mwinyi, si Mkapa, si Kikwete, si Magufuli wala si Samia. Viongozi wote huibuka. They emerge. Hawatengengenezwi. Fact.Najaribu kuwaza...π€
Tumeona MAKONDA akitoa kauli mbalimbali AMBAZO kimsingi si rafiki Kwa baadhi viongozi wa CHAMA na zinatishia uwepo wa viongozi hao ndani CCM.
Nina imani Kuna kitu nyuma ya hizi vurugu za MAKONDA kuelekea UCHAGUZI mkuu 2025 mpaka sasa Kwa kiasi kikubwa jamaa anawatu na kaaminika katika jamii kama mtetezi na msemaji wa watu.
SASA BASI, WHAT IF?!
Kabla ya 2025 MAKONDA akawajibishwa na CHAMA Kwa kigezo Cha "maadili" na akaamua kujiunga na upinzani mathalani ACT na kugombea Urais Nini kitatokea?
Je, kabla ya kujiunga na ACT akiwa bado Yuko huru na akaendeleza harakati zake kama mtu huru JE CHADEMA itakua tayari kumpokea?
Mwisho..
What if anatengenezwa Kwa ajili ya hayo hapo kuelekea 2025 apatikane mtu WA kichachafya CCM kidogo mwaka 2025. Na baadae MAMA aseme "we ni mwanangu Rudi nyumbani"
Jumatatu njema.
Kazi yake ni kufanya mambo ambayo wana-ccm wengine hawawezi kuyafanya, ambayo ni yale kutoa kauli zenye utata na muksheliii kwa ummaNajaribu kuwaza...π€
Tumeona MAKONDA akitoa kauli mbalimbali AMBAZO kimsingi si rafiki Kwa baadhi viongozi wa CHAMA na zinatishia uwepo wa viongozi hao ndani CCM.
Nina imani Kuna kitu nyuma ya hizi vurugu za MAKONDA kuelekea UCHAGUZI mkuu 2025 mpaka sasa Kwa kiasi kikubwa jamaa anawatu na kaaminika katika jamii kama mtetezi na msemaji wa watu.
SASA BASI, WHAT IF?!
Kabla ya 2025 MAKONDA akawajibishwa na CHAMA Kwa kigezo Cha "maadili" na akaamua kujiunga na upinzani mathalani ACT na kugombea Urais Nini kitatokea?
Je, kabla ya kujiunga na ACT akiwa bado Yuko huru na akaendeleza harakati zake kama mtu huru JE CHADEMA itakua tayari kumpokea?
Mwisho..
What if anatengenezwa Kwa ajili ya hayo hapo kuelekea 2025 apatikane mtu WA kichachafya CCM kidogo mwaka 2025. Na baadae MAMA aseme "we ni mwanangu Rudi nyumbani"
Jumatatu njema.
Na kinyume chake ni kuwa ccm nzima 2015 ilizunguka kwenye kampeni kumtusi na kumdhihaki Lowassa ikiongozwa na JK, Kinana, Nape nk lakini baadae ndio hiyohiyo ikampokea kwa tarumbeta ikiongozwa na Magu, Majaliwa na Bashiru pale Lumumba. Kwa hiyo ni nyie wapumbavu tuu ndio mnaweza kuwaamini hao.Mliwahi kuyasema haya kwa lowasa, baadaye mkamzungushia mikono.
Mpumbavu tu anayeweza kuwaamini.
Mpumbavu ni mtu asiyeweza kuutumia ubongo wake kuhoji. Tuliwaona 2015 mkizungusha mikono bila kuhoji kwanini mbowe alifanya ujinga alioufanya.Kwa hiyo ni nyie wapumbavu tuu ndio mnaweza kuwaamini hao.
Bangladeshi!
Mama yake aitwe kwenye kamati ya maadili.Makonda tangu ajulikane 2010's kazi zake ni za kisiasa, matukio yake yote yako wazi kuanzia lile tukio la kumpiga Mjikofi Mzee Warioba mpaka leo yako wazi. Mengi yako mtandaoni, YouTube, Facebook, Instagram, x n.k
Pamoja na hayo yote kuna mtu alimteua pamoja na kuwekwa kando na Rais Magufuli.
Hapo makonda munamsumbua kafanya kosa gani jipya ambalo hajawahi kufanya?
Makonda ni dodoki la jalalani, hana uongozi uliotukuka wala sifa za kuwa kiongozi mwadilifu.Najaribu kuwaza...π€
Tumeona MAKONDA akitoa kauli mbalimbali AMBAZO kimsingi si rafiki Kwa baadhi viongozi wa CHAMA na zinatishia uwepo wa viongozi hao ndani CCM.
Nina imani Kuna kitu nyuma ya hizi vurugu za MAKONDA kuelekea UCHAGUZI mkuu 2025 mpaka sasa Kwa kiasi kikubwa jamaa anawatu na kaaminika katika jamii kama mtetezi na msemaji wa watu.
SASA BASI, WHAT IF?!
Kabla ya 2025 MAKONDA akawajibishwa na CHAMA Kwa kigezo Cha "maadili" na akaamua kujiunga na upinzani mathalani ACT na kugombea Urais Nini kitatokea?
Je, kabla ya kujiunga na ACT akiwa bado Yuko huru na akaendeleza harakati zake kama mtu huru JE CHADEMA itakua tayari kumpokea?
Mwisho..
What if anatengenezwa Kwa ajili ya hayo hapo kuelekea 2025 apatikane mtu WA kichachafya CCM kidogo mwaka 2025. Na baadae MAMA aseme "we ni mwanangu Rudi nyumbani"
Jumatatu njema.