Hiiii !! Iko kazi !Kabisa.
Jamaa hawamuwezi kwa sababu yeye ndio Starring kwenye naniliu hizo since long time ago !!Mpigie sim mwambie amkumbuke Mangula kwenye vikao kama hivi!
Makonda ni kiboko yao !Wengine wakizingua mama anawapiga kalamu tu hakuna kuhojiwa lkn bashite anaitwa kubembelezwa huyu bashite ccm ilishamshindwa kabisa.
Msd sio duka, Wanashughulikia order za Nchi nzima na Nchi jirani,hata ukiagiza mzigo china huletewi siku hiyo hiyoHaoni tatizo kubwa zaidi ni MSD kutumia miezi mitatu hadi minne kufikisha dawa na vifaa hospitalini ili ashughulike nalo hilo zaidi??
Stori za kulea uzembe hizi na kubembelezana,atakuja next time atakuta hivyo hivyo labda huwajui Watzn Kwa excusesHongera mkuuu wa mkoa Dodoma. Umeonyesha leadership. Licha ya makosa kuna kurekebishana bila kudhalilishana mbele ya watu. Matatizo yamesemwa mbele ya watu na hakuna aliyekuwa embarrassed. Then inaweza kufuata face to face kwa anayehusika kujua chanzo cha mapungufu ili kumsaidia kama anahitaji msaada wako kufanya inavyotakiwa. Na kama hana uwezo hatua zingine zifuate ili ufanisi uwepo . Ila mambo ya kufokeana na kudogoshana mbele ya kadamnasi yanaonyesha immaturity au ukosefu wa maadili na wala hayajengi.
Ukiagiza mzigo China hauwezi kuchukua muda wa miezi 3 pamoja na kwamba ni umbali wa km 10,000 kwa meli. Labda ukwamie hapo bandari ya Dar es Salaam.Msd sio duka,Wanashughulikia order za Nchi nzima na Nchi jirani,hata ukiagiza mzigo china huletewi siku hiyo hiyo
Alitakiwa apambane kuondoa urasimu unaosababisha dawa kuchelewa, vibali vya biashara kuchelewa, passports kuchelewa na mambo kama hayo.Stori za kulea uzembe hizi na kubembelezana,atakuja next time atakuta hivyo hivyo labda huwajui Watzn Kwa excuses
Unahangaikaje na mambo ya dini ya mwenzako?Nimekuwa najiuliza wakati BASHITE yupo NJE ya Uongozi Alikuwa haonekani kuwatembelea VIONGOZI wa DINI na kuwataka WAMWOOMBEE na kumbariki.Mara baada ya Kuteuliwa kuwa Katibu wa Uenezi wa CCM amekwisha watembelea Wafuatao
1.Kardinal Mstaafu
Pengo
2.Sheikh Mkuu Zuberi
3.Askofu mkuu wa Anglican n.k.Na baada ya kuteuliwa tena kuwa MKUU wa MKOA amefanya hivyo hivyo.
Najiuliza ametenda DHAMBI GANI KUBWA inayomtesa na kumfanya Ahangaike hivi kutaka KUOMBEWA?
Mbona alipokuwa Nje ya UONGOZI hatukumwona kuwatafuta hawa VIONGOZI wa DINI?
Ushauri kwa BASHITE
Kama anautafuta WOKOVU basi Awaombe Msamaha KWANZA wale wote aliowatendea MABAYA ktk MAISHA yake na WAKILI kuwa Wamsamehe ndio Aende kwa Hao Viongozi wa Dini bila kufanya hivyo SALA na Mikono ya hao Viongozi wa Dini Wanayomwekea KICHWANI ni kazi Bure