Na anawanyoosha sio kitoto! Watamkoma mbona
Wote hao wanachaguliwa kwa staili zisizofaa na wanaondoka kwa staili hizo hizo.Vipi kuhusu Shaka Hamdu Shaka ma Bi. Sophia Mjema nao hawakukaa muda mrefu kwenye nafasi ya uenezi. Una lolote la kuwasemea?
Jokate Mwengelo amedumu kama katibu wa UWT taifa miezi miwili tu. Je una chochote cha kuchambua?
Makonda yuko nchi ya wajinga. Nchi ya wajinga ina kawaida ya kuona yule aliye mjinga zaidi ndiye kiongozi wao mzuri.Sifa kubwa ya mwanasiasa ni kuwa na uwezo wa kutunga na kubuni sera nzuri bila kusahau kuwa na ushawishi au umaarufu kwa watu, sera nzuri peke yake haitoshi.
Si mtazami makonda kama mwanasiasa bali namtazama kama mwanasaikolojia wa siasa na kijana anayetafuta ridhiki ili ajikimu kimaisha, Licha ya kutokea ktk familia masikini na skendo alizopitia huyu mwamba ila bado anapambana na hakauki midomoni mwa watu kwa kuja na style ndogo ndogo ambazo wengi huziona za kijinga ila ndizo zinazompa umaarufu na kumfanya apate trendView attachment 2974302
Mwaka 2015 wakati Raisi Magufuli kachukua nchi alitamka kuwa ktk orodha yake ya wakuu wa mikoa itakayotoka mtu pekee ambaye tayari ananafasi kwenye mkeka ni Paul Makonda,
Huyu ndiye mwamba pekee anaeweza kumuweka raisi yeyote close akawa kama mshikaji wake licha ya kuwa na cheo kidogo. Wengi mtachukulia poa lakini ni kazi ngumu sana,
Huyu ndiye mtu pekee Tanzania mwenye uwezo wa kiutrend mwaka mzima.
Yeye siku zote huanzisha trend na ni mjanja mjanja sana anawazidi wanasiasa wengi sana hapo CCM
Mnaikumbuka kauli yake ya juzi kwa raisi samia kuhusu mawaziri wanaolipa watu wamchafue taisi mtandaoni kuwa anawajua na ayawatataja na kuwaonya waache! Ile ni mbinu ya kivita ya kumuweka close mama, wazungu wanasema The enemy of your enemy is your friend
wanasiasa wasaka fursa mnachakujifunza kwa Makonda yule ni mwanasaikolojia wa siasa hawezi kulala njaa mjini
Kwani Marekani ni mbinguni?Huyo jamaa, hata Marekani wamempiga marufuku kuingia nchini mwao, Kwa kuwa WANAZO taarifa za kiintelejensia kuwa anawanyima wananchi wake haki yao ya kuishi!
Kwani wewe unaona makonda ana kosa gani. Au ni wale wenye kwenda na nani wako na madaraka. Kwetu sisi Makonda yuko sahihi kwa kua anatetea kweli na haki. Isitoshe mtindo wake hua na matokeo. Hao wenye kupinga mtindo wake wa uongozi ni wale wababaishaji wenye nia ya kukingia kifua watu na viongozi dhulumati. CCM ni chama cha mapinduzi ila kuna wapinga maendeleo wamekiteka tena baada ya magufuli kuondoka. Kuwaabisha vigogo fisadi na wazembe mbele ya mikutano ya hadhara ni mfumo wa kimapinduzi. Hatukanwi mtu ila maelezo yake kuhsu kero ya mwananchi itaonyesha anawajibika kwa kiwango gani kwenye utumishi wa umma.Nilijua kuwa Makonda kwa staili na hulka yake hasingeweza kubaki kwenye nafasi ya Katibu mwenezi wa CCM kwa muda mrefu na imetokea.
Pia Makonda kubaki RC wa Arusha ni suala la muda tu.
Makonda ameshawekwa kati na kamati ya maadili ya CCM na hiyo ni dadili mbaya kwake.
Cha msingi zaidi ni washauri wa kisiasa wa rais Samia ambao ni dhahiri hawamshauri vizuri katika mambo mengi.
Sasa hivi Makonda atabaki madarakani kwa kitambo kidogo kuondokana na aibu ya teua tangua lakini mwishoni ataachwa mazima. Tusubiri muda ufike.
mara nyingi viongozi wenye uthubutu kwenye mambo madogo hujijengea uzoefu na umahiri mkubwa sana kwenye jamii na huaminika zaidi wanapopewa dhamana kwenye kushughulika na mambo makubwa kutokana na uthubutu wao kwenye madogo πSifa kubwa ya mwanasiasa ni kuwa na uwezo wa kutunga na kubuni sera nzuri bila kusahau kuwa na ushawishi au umaarufu kwa watu, sera nzuri peke yake haitoshi.
Si mtazami makonda kama mwanasiasa bali namtazama kama mwanasaikolojia wa siasa na kijana anayetafuta ridhiki ili ajikimu kimaisha, Licha ya kutokea ktk familia masikini na skendo alizopitia huyu mwamba ila bado anapambana na hakauki midomoni mwa watu kwa kuja na style ndogo ndogo ambazo wengi huziona za kijinga ila ndizo zinazompa umaarufu na kumfanya apate trendView attachment 2974302
Mwaka 2015 wakati Raisi Magufuli kachukua nchi alitamka kuwa ktk orodha yake ya wakuu wa mikoa itakayotoka mtu pekee ambaye tayari ananafasi kwenye mkeka ni Paul Makonda,
Huyu ndiye mwamba pekee anaeweza kumuweka raisi yeyote close akawa kama mshikaji wake licha ya kuwa na cheo kidogo. Wengi mtachukulia poa lakini ni kazi ngumu sana,
Huyu ndiye mtu pekee Tanzania mwenye uwezo wa kiutrend mwaka mzima.
Yeye siku zote huanzisha trend na ni mjanja mjanja sana anawazidi wanasiasa wengi sana hapo CCM
Mnaikumbuka kauli yake ya juzi kwa raisi samia kuhusu mawaziri wanaolipa watu wamchafue taisi mtandaoni kuwa anawajua na ayawatataja na kuwaonya waache! Ile ni mbinu ya kivita ya kumuweka close mama, wazungu wanasema The enemy of your enemy is your friend
wanasiasa wasaka fursa mnachakujifunza kwa Makonda yule ni mwanasaikolojia wa siasa hawezi kulala njaa mjini
Marekani ndo wauwaji wakubwa acheni utumwa
Shaka alipotoka Uenezi akaenda kuwa Mkuu wa wilaya Makonda alipotoka kwenye Uenezi akaenda kuwa Mkuu wa mkoaVipi kuhusu Shaka Hamdu Shaka ma Bi. Sophia Mjema nao hawakukaa muda mrefu kwenye nafasi ya uenezi. Una lolote la kuwasemea?
Jokate Mwengelo amedumu kama katibu wa UWT taifa miezi miwili tu. Je una chochote cha kuchambua?
Wewe utakuwa ni kati ya shoga au basha .Huyo jamaa, hata Marekani wamempiga marufuku kuingia nchini mwao, Kwa kuwa WANAZO taarifa za kiintelejensia kuwa anawanyima wananchi wake haki yao ya kuishi!
Hawana uhalali...Kwa hiyo Makonda anashindana nao katika kuua?
Pointmara nyingi viongozi wenye uthubutu kwenye mambo madogo hujijengea uzoefu na umahiri mkubwa sana kwenye jamii na huaminika zaidi wanapopewa dhamana kwenye kushughulika na mambo makubwa kutokana na uthubutu wao kwenye madogo π
viongozi wengi wa kisiasa hung'ang'ana na mambo makubwa hali ya kua madogo hawajafanya chochote. Matokeo yake huonekana wa kawaida tu kwasabb hata hayo makubwa yenyewe hakuna wanalofanya π
Ndiyo maana siku zote nasema wewe ni MPUMBAVU, kwasababu ya chuki na upumbavu uliokujaa kichwani huoni shida kutunga uongo kama huu.Wamerekani wametoa tamko kuwa kama makalio makubwa ataendelea kuwa RC wamerekani hawataenda kutembelea mbuga za wanyama tena kupitia Arusha.
π±π±π±π΅π΅π΅π΅Mungu hakupi vyote. Huwezi kuwa na tako kubwa halafu uwe na akili.
blaah blaah za sijui amefungiwa kuingia marekani inefika kipindi hzio sio point za kuwambia watu wenye akili maana marekani yenyewe ndo inaogoza kwa mauji duaniani na kudhulumu haki za watu kuishiKwa hiyo Makonda anashindana nao katika kuua?
nitakujibu ukileta ushahidi wa picha hapa.Kwa nini alimpiga vibao mzee warioba? Nijibu hapo