Eti wadudu π nchi sahv inavituko sanaMei mosi ni ya wafanyakazi, wote wanaokwenda uwanjani wanalipwa posho makazini kwao, sasa wewe jobless uende uwanjani may day inakuhusu nini?
Waje kwenye pombe tucheze may day ya Fally Ipupa.
Hakuna mtu anayemiliki akiliUzuri mbatizaji hujawahi miliki akili
Arusha ina vibweka sana, vijana wanaojiita wadudu, hatari sana wangemaliza kabisa "wadudu weusi"Vijana wa mjini Arusha wajulikanao kama Wadudu wamemuhakikishia mkuu wa mkoa huo mh Paul Makonda kwamba Wataujaza uwanja Siku ya Mei Mosi na Wanahamasisha Wana Arusha wote wawepo Uwanjani
Makonda amewashukuru sana vijana hao kwa upendo na amewataka wasijiite Wadudu kwa sababu wao wameumbwa kwa mfano wa Mungu wa Mbinguni
Nawatakieni Dominica njema
Sasa hao wadudu wanaenda kufanya nini wakati ni sikukuu ya wafanyakazi.Vijana wa mjini Arusha wajulikanao kama Wadudu wamemuhakikishia mkuu wa mkoa huo mh Paul Makonda kwamba Wataujaza uwanja Siku ya Mei Mosi na Wanahamasisha Wana Arusha wote wawepo Uwanjani
Makonda amewashukuru sana vijana hao kwa upendo na amewataka wasijiite Wadudu kwa sababu wao wameumbwa kwa mfano wa Mungu wa Mbinguni
Nawatakieni Dominica njema
Majibu yako yanaonesha we ndo wale watu wa Iringa waliokua wanatumia bange kama mbogaπHakuna mtu anayemiliki akili
Watu tunamiliki Maarifa au AI ππ
Mbegu za Bangi kwetu ni kiungo cha mboga kama karanga hadi leoMajibu yako yanaonesha we ndo wale watu wa Iringa waliokua wanatumia bange kama mbogaπ
Ndo maana mkiwa wakubwa mnashindwa kua seriousMbegu za Bangi kwetu ni kiungo cha mboga kama karanga hadi leo
Tanzania ukiwa serious utateseka Sana ππNdo maana mkiwa wakubwa mnashindwa kua serious
Bila shaka ni kina kenyenyo wa kizazi OG π€£Vijana wa mjini Arusha wajulikanao kama Wadudu wamemuhakikishia mkuu wa mkoa huo mh Paul Makonda kwamba Wataujaza uwanja Siku ya Mei Mosi na Wanahamasisha Wana Arusha wote wawepo Uwanjani
Makonda amewashukuru sana vijana hao kwa upendo na amewataka wasijiite Wadudu kwa sababu wao wameumbwa kwa mfano wa Mungu wa Mbinguni
Nawatakieni Dominica njema
Unatoa madafu kigamboni unaenda kuuza ikulu siku zinaenda fresh wakati huo Kuna mtu na ana cheo kikubwa jeshini hajawahi kanyaga ikuluTanzania ukiwa serious utateseka Sana ππ
Ishi kama Muuza madafu π
Yaani Mpumbavu apewe Ubalozi kutuwakilisha Watanzania Werevu akina GENTAMYCINE na Wenzake? Uko serious?Wakati tetesi za Uteuzi wa Paul Makonda kwenye nafasi ya Ukatibu Mwenezi wa CCM zilipoibuka na uzi wake kuwekwa humu JF, Nakumbuka Mimi nilitoa comment kwamba "Naomba Mungu habari hii iwe kweli ili kuharakisha Anguko." Nafikiri wahusika walikuwa hawajanielewa, matokeo yake kweli Makonda aliteuliwa, na hatimaye ndani ya kipindi kifupi kabisa akasababisha mtikisiko mkubwa sana kwenye Chama Chao hadi kupelekea Katibu mkuu wao kujiudhuru.
Wananchi wenzangu tukubali ukweli mchungu kwamba Paul Makonda ni mtu asiyefaa kuongoza binadamu, hana hata sifa moja ya kuongoza watu.
Isitoshe, kwa Sasa hapa nchini Tanzania amekuwa ndiye Mkuu wa Mkoa mbumbumbu zaidi kuliko wenzake wote, Rais anapaswa kuondokana naye kwa kumuweka kando.
Kama Rais anaona kwamba haitawezekana kabisa kumuweka kando kutoka ktk Serikali yake, basi amteue Paul Makonda kuwa Balozi na amtume kwenda kuiwakilisha Tanzania kwenye mataifa ambayo Sera zake ziko against na nchi ya Marekani na washirika wake kama vile nchi ya Korea ya Kaskazini, Myanmar (Burma), Belarus, n.k.
Hana huo Ubongo wa Kupambana na Hoja zangu au hata Kuzipangua. Aendelee tu na Kazi yake ya Ajira ya Uchawa.Lucas Mwashambwa una maoni gani hapa?
Hamna kale ni kajitu kazima,si ndio wale walimnyoa nywele yule mshenzi mshenzi ripota wa serikaliYule ndio kenyenyo sijui ni mtoto
πππUnatoa madafu kigamboni unaenda kuuza ikulu siku zinaenda fresh wakati huo Kuna mtu na ana cheo kikubwa jeshini hajawahi kanyaga ikulu
Never underestimate the power of FOOLS when they're in the large number, because they can elect one of their own to rule.Yaani Mpumbavu apewe Ubalozi kutuwakilisha Watanzania Werevu akina GENTAMYCINE na Wenzake? Uko serious?
Kwasababu aliaminiwa na bado anaendelea tu Kuaminiwa na Wapumbavu wenzake.Never underestimate the power of FOOLS when they're in the large number, because they can elect one of their own to rule.
Je, umeshawahi kujiuliza kwamba mtu huyu aliwezaje kuteuliwa kushika wadhifa alionao hivi Sasa licha ya umbumbumbu wake alionao?
Kwa kupitia njia hiyo hiyo ndiyo itakayompatia Ubalozi wa Nchi.Kwasababu aliaminiwa na bado anaendelea tu Kuaminiwa na Wapumbavu wenzake.
Kwahiyo unakiri na kukubaliana nami kuwa Tanzania ya sasa hasa huko Serikalini na Vyamani kuna Wapumbavu wengi?Kwa kupitia njia hiyo hiyo ndiyo itakayompatia Ubalozi wa Nchi.