Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Yeye alikwenda?baadhi ya watu hawakuwahi kwenda kumuona akiwa anaumwa lakini sasa wanatamba kwenye msiba wake.
Yeye alikwenda?baadhi ya watu hawakuwahi kwenda kumuona akiwa anaumwa lakini sasa wanatamba kwenye msiba wake.
Kuna zile kashfa za chadema juu ya Lowasa!..Nakumbuka Makonda alivyomtengenezea Lowassa kashfa ya kuzaa nje ya ndoa na kutekeleza mtoto.
Kwani wewe ndo mkewe?..Nakumbuka Makonda alivyomtengenezea Lowassa kashfa ya kuzaa nje ya ndoa na kutekeleza mtoto.
"Binti aliyetelekezwa na Lowassa asema Fred alimtambua na kumhudumia. Lowassa agoma kupima DNA..Nakumbuka Makonda alivyomtengenezea Lowassa kashfa ya kuzaa nje ya ndoa na kutekeleza mtoto.
Ben saanane tunahija kweli yake toka kwa MakondaKatibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Paul Makonda amewasihi Watanzania kuwa na desturi ya kuzungumza mazuri ya mtu akiwa bado yupo hai badala ya kusubiri afariki.
Makonda ameyasema hayo kwenye msiba wa Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa na kueleza kuwa baadhi ya watu hawakuwahi kwenda kumuona akiwa anaumwa lakini sasa wanatamba kwenye msiba wake.
Makonda ameyasema hayo kwenye msiba wa Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa na kueleza kuwa baadhi ya watu hawakuwahi kwenda kumuona akiwa anaumwa lakini sasa wanatamba kwenye msiba wake.
Pia soma:
Msafara wa Makonda wapata ajali
Ajali ya Magari 13 Msafara wa Makonda; Tusome Alama za Nyakati
Nadhani humo ndani tayari kunafukuta moto na ndio sababu pia ya yeye kuteuliwa pale ili alidhibiti kundi lisiloendana na Mkulu wa kaya !Makonda hatoicha salama CCM.
Si ni Makonda alitafuta kabinti kakawa kanalalamika baba yake ni Lowassa? Aache unafiki.Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Paul Makonda amewasihi Watanzania kuwa na desturi ya kuzungumza mazuri ya mtu akiwa bado yupo hai badala ya kusubiri afariki.
Makonda ameyasema hayo kwenye msiba wa Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa na kueleza kuwa baadhi ya watu hawakuwahi kwenda kumuona akiwa anaumwa lakini sasa wanatamba kwenye msiba wake.
Makonda ameyasema hayo kwenye msiba wa Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa na kueleza kuwa baadhi ya watu hawakuwahi kwenda kumuona akiwa anaumwa lakini sasa wanatamba kwenye msiba wake.
Pia soma:
Msafara wa Makonda wapata ajali
Ajali ya Magari 13 Msafara wa Makonda; Tusome Alama za Nyakati
Tukubali alimdharilisha Lowassa. Tuache kupepesaKwani wewe ndo mkewe?
ndiyoo.....Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Paul Makonda amewasihi Watanzania kuwa na desturi ya kuzungumza mazuri ya mtu akiwa bado yupo hai badala ya kusubiri afariki.
Makonda ameyasema hayo kwenye msiba wa Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa na kueleza kuwa baadhi ya watu hawakuwahi kwenda kumuona akiwa anaumwa lakini sasa wanatamba kwenye msiba wake.
Makonda ameyasema hayo kwenye msiba wa Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa na kueleza kuwa baadhi ya watu hawakuwahi kwenda kumuona akiwa anaumwa lakini sasa wanatamba kwenye msiba wake.
Pia soma:
Msafara wa Makonda wapata ajali
Ajali ya Magari 13 Msafara wa Makonda; Tusome Alama za Nyakati
kwenye list of shameeee.....Tukubali alimdharilisha Lowassa. Tuache kupepesa
..mbona una maswali ya kijinga?Kwani wewe ndo mkewe?