Hata kama Watanzania ni Wajinga, lakini ndio wakubali kudanganywa kibwege namna hii?
Makonda amemzidi nini Lissu kisiasa, Huyu jamaa ni Mzima kweli? Hata kama ni Mkuu wa Mkoa lakini Anapaswa kuwa na Heshima kwa wakubwa waliomzidi Kila kitu.
Nadhani anapaswa kupelekwa haraka hospitali ya karibu kabla ya kusafirishwa hadi Milembe
==========
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda, amesema kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara Tundu Lissu ni mchanga kiasiasa kwake, kutokana ya kuwa alipokuwa akishiriki vikao na viongozi wake wa Chadema akiwemo Freeman Mbowe na aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama hiko Dk. Slaa halikuwa hana uwezo wa kuingia kwa kuwa alikuwa hawezi kuaminiki.
Hata kama Watanzania ni Wajinga, lakini ndio wakubali kudanganywa kibwege namna hii?
Makonda amemzidi nini Lissu kisiasa, Huyu jamaa ni Mzima kweli? Hata kama ni Mkuu wa Mkoa lakini Anapaswa kuwa na Heshima kwa wakubwa waliomzidi Kila kitu.
Nadhani anapaswa kupelekwa haraka hospitali ya karibu kabla ya kusafirishwa hadi Milembe
Hata kama Watanzania ni Wajinga, lakini ndio wakubali kudanganywa kibwege namna hii?
Makonda amemzidi nini Lissu kisiasa, Huyu jamaa ni Mzima kweli? Hata kama ni Mkuu wa Mkoa lakini Anapaswa kuwa na Heshima kwa wakubwa waliomzidi Kila kitu.
Nadhani anapaswa kupelekwa haraka hospitali ya karibu kabla ya kusafirishwa hadi Milembe
cha UTANI Mkuu. Unless, akili yako haina kumbukumbu!!
Wakati Lowasa anahamia Chadema Lissu alikuwa tayari ni Mbunge. Kwa taarifa tu, Lissu alikuwa kati ya wagombea Ubumge wa mwanzo kwenye vyama vyingi. Aligombea Ubunge kwa mara ya kwanza 1995...!! Wakati huo Bashite alikuwa bado anatumia nepi za kanga zilizochakaa za bibi yake kule Koromije.
Hata kama Watanzania ni Wajinga, lakini ndio wakubali kudanganywa kibwege namna hii?
Makonda amemzidi nini Lissu kisiasa, Huyu jamaa ni Mzima kweli? Hata kama ni Mkuu wa Mkoa lakini Anapaswa kuwa na Heshima kwa wakubwa waliomzidi Kila kitu.
Nadhani anapaswa kupelekwa haraka hospitali ya karibu kabla ya kusafirishwa hadi Milembe
cha UTANI Mkuu. Unless, akili yako haina kumbukumbu!!
Wakati Lowasa anahamia Chadema Lissu alikuwa tayari ni Mbunge. Kwa taarifa tu, Lissu alikuwa kati ya wagombea Ubumge wa mwanzo kwenye vyama vyingi. Aligombea Ubunge kwa mara ya kwanza 1995...!! Wakati huo Bashite alikuwa bado anatumia nepi za kanga zilizochakaa za bibi yake kule Koromije.
Hata kama Watanzania ni Wajinga, lakini ndio wakubali kudanganywa kibwege namna hii?
Makonda amemzidi nini Lissu kisiasa, Huyu jamaa ni Mzima kweli? Hata kama ni Mkuu wa Mkoa lakini Anapaswa kuwa na Heshima kwa wakubwa waliomzidi Kila kitu.
Nadhani anapaswa kupelekwa haraka hospitali ya karibu kabla ya kusafirishwa hadi Milembe
Hata kama Watanzania ni Wajinga, lakini ndio wakubali kudanganywa kibwege namna hii?
Makonda amemzidi nini Lissu kisiasa, Huyu jamaa ni Mzima kweli? Hata kama ni Mkuu wa Mkoa lakini Anapaswa kuwa na Heshima kwa wakubwa waliomzidi Kila kitu.
Nadhani anapaswa kupelekwa haraka hospitali ya karibu kabla ya kusafirishwa hadi Milembe